Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kuna mambo nadhani yanatokea Tanzania tu, sisi hizi hadithi zake stara zinatuhusu nini? nilikuwa namuheshimu kumbe bure kabisa.
imagine wewe ndio umemuoa na unaishi naye halafu mtu anamshobokea marehemu kiasi hiki? gime a break.
Na mimi nilikuwa najiuliza hilo swali mume wake hajasikia?na kama amesikia anajisikiaje?hana adabu hata kidogo huyo kicheche nimemdharau jumla.
Jamani, kwa ukweli nilikua mamuheshimu sana Stara Thomas, kumbe naye ni walewale tu. Kujiheshimu ni pamoja na kuficha mambo yako ya faragha watu wasiyajue au wayajue lakini wasiamini. Ila sipati picha lile titi akiwa naked huwa anatokelezeaje!
Sipati picha kuambiana alivyokua anaruka sarakasi kwa Stara maana ni bongeeee
Ila ana jichoo huyoo
Mi nilidhan kasema hivyo hana mme kumbe ana mme hata kama ana mpenzi unatakiwa kupiga kimyaaa tu
Na kweli, maana wengi tulishamsahau, eti alikuwa anataka msiba wa adam ufanyikie kwake, huyu kichaa kweli
mkuu leo kuna umbea first class hata vocha nitakuchangi hebu pekenyua huko kwa shigongo sababu za vick kamata kuwekewa pingamizi la ndoa kanisani.Si alijiozesha tena, alitaka kujifanya mke wa marehemu kumbe hawara, kama marehem alimdanganya ye ndo mke wake imekula kwake
Niliona sehem hii, ngoja nichek
mkuu leo kuna umbea first class hata vocha nitakuchangi hebu pekenyua huko kwa shigongo sababu za vick kamata kuwekewa pingamizi la ndoa kanisani.
inabidi upae sasa level ya umbea kama wa the sun la uk.
Hahahaaaaaaaaaaa!siwawezi...!mkuu leo kuna umbea first class hata vocha nitakuchangi hebu pekenyua huko kwa shigongo sababu za vick kamata kuwekewa pingamizi la ndoa kanisani.
inabidi upae sasa level ya umbea kama wa the sun la uk.
Huu mchezo wanaofanya akina nanii ni balaa, nimeipata story