Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kuna mambo nadhani yanatokea Tanzania tu, sisi hizi hadithi zake stara zinatuhusu nini? nilikuwa namuheshimu kumbe bure kabisa.
imagine wewe ndio umemuoa na unaishi naye halafu mtu anamshobokea marehemu kiasi hiki? gime a break.
Aliachika, ila hata kama, unajua yule umri umeenda, hayo mambo ya kutangazana na mambo ya mahawara angewaachia akina lulu, yani hili limama halijielewi, ndo maana lilianza kuimba gospel ilamshinda akarud bongo fleva
BAsi walokole wangekuwa wanafanya kama wastara ingekuwa balaa, ujinga tu kwani alishindwa kukataa walahu kuitetea hadh yake kwenye jamii??, kwan hata asingesema nan alikuwa hajui kama alikuwa anagongwa na adam?? Huyu kaanza kuvut bangi sio bure
Wala sio mtu mzima huyo amezaliwa 1980 nimesoma naye Aghakhan Mzizima! Ana dada yake kama model ni mahalf cast wa kihindi na kibongo, so msitake kusema yy mzed kina dotnata watasemaje au Maya na aunt ezekiel
Binamuuuuuuu! Afiche nini na yeye Kashachimbwa na Kuambiana.....! Kaona isiwe tabu hatari kitu gani? Wakati kashakufa ndani ya ITALY....hahahaha
Binamu unamaanisha walichumbiana kabisa kama wastara na yule mwarabu au uchumba wa wema na diamond
Ndo hivyo nasikia marehemu makazi yake yalikuwa mahotelin na ma lodge ,yaani wakiwa kambini kutengeneza movie, yeye ndo yanakuwa makazi yake, nilikukwa namuonaga sana baa za sinza na brazil kule tegeta, dah ukistaajabu ya kifo cha kanumba utayaona ya adam kuambiana, aya tusubir mwingine tena tujue mengi zaidi
Sipati picha kuambiana alivyokua anaruka sarakasi kwa Stara maana ni bongeeee
Ila ana jichoo huyoo
nna kilo 78
Aisee
Miaka ya 2000 Adam , Patrick na mama yao walikuwa wanakaa kwenye maghorofa ya Science K,nyama .Kawe??, mh mi nilisikia eti marehemu alikuwa ule wimbo maarufu wa lady jaydee, maana kuna kipindi alisema anakaa mikocheni, mara kunduchi akaja tena kusema kajenga tabata, alivyokufa msiba ulikuwa bunju , marehemu alikuwa ana nyumba nyingi kwli apa mjini..
Imetokea kitambo Sana hiiPoleni kwa msiba,,au itakuwa corona Nini?,mwenye picha ya marehemu atuwekee tumjue
nini?nyingi?
Hapana.. kumbe naweza kukubeba