Stara Thomas afunguka kuhusu mahusiano yake na the late Adam Kuambiana

kuna mambo nadhani yanatokea Tanzania tu, sisi hizi hadithi zake stara zinatuhusu nini? nilikuwa namuheshimu kumbe bure kabisa.

imagine wewe ndio umemuoa na unaishi naye halafu mtu anamshobokea marehemu kiasi hiki? gime a break.

Stara jamvi la wageni muda tu...
 
Aliachika, ila hata kama, unajua yule umri umeenda, hayo mambo ya kutangazana na mambo ya mahawara angewaachia akina lulu, yani hili limama halijielewi, ndo maana lilianza kuimba gospel ilamshinda akarud bongo fleva


Wala sio mtu mzima huyo amezaliwa 1980 nimesoma naye Aghakhan Mzizima! Ana dada yake kama model ni mahalf cast wa kihindi na kibongo, so msitake kusema yy mzed kina dotnata watasemaje au Maya na aunt ezekiel
 
BAsi walokole wangekuwa wanafanya kama wastara ingekuwa balaa, ujinga tu kwani alishindwa kukataa walahu kuitetea hadh yake kwenye jamii??, kwan hata asingesema nan alikuwa hajui kama alikuwa anagongwa na adam?? Huyu kaanza kuvut bangi sio bure


Binamuuuuuuu! Afiche nini na yeye Kashachimbwa na Kuambiana.....! Kaona isiwe tabu hatari kitu gani? Wakati kashakufa ndani ya ITALY....hahahaha
 
Wala sio mtu mzima huyo amezaliwa 1980 nimesoma naye Aghakhan Mzizima! Ana dada yake kama model ni mahalf cast wa kihindi na kibongo, so msitake kusema yy mzed kina dotnata watasemaje au Maya na aunt ezekiel

Eti eeh??, ndo unatufumbua macho binamu , kumbe bado kigol, ila hata hivyo hayo mambo ya kujitangazia sijui flan alikuwa mtu wake, si hekima kwa yeye ukizingatia bado ni mke wa mtu, historia haiwez kufutika, so hayo mambo angewaachia wadogo zake kama akina lulu, halafu yeye si mlokole?? Sasa anajenga picha gani kwenye jamii, bora angebaki na hyo siri tu maana wote tunajua alikiwa mchepuko wa marehemu, sasa na yeye kaamua kujitangaza mmh
 
Binamuuuuuuu! Afiche nini na yeye Kashachimbwa na Kuambiana.....! Kaona isiwe tabu hatari kitu gani? Wakati kashakufa ndani ya ITALY....hahahaha

Binamu unamaanisha walichumbiana kabisa kama wastara na yule mwarabu au uchumba wa wema na diamond
 

Kwamba vivo vya Kanumba na Kuambiana vinafanana?
 
Poleni kwa msiba,,au itakuwa corona Nini?,mwenye picha ya marehemu atuwekee tumjue
 
Miaka ya 2000 Adam , Patrick na mama yao walikuwa wanakaa kwenye maghorofa ya Science K,nyama .

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…