Starehe binafsi: Ni salama kuagiza hiki kitu mtandaoni ? Kwa hapa Tanzania wanauza ?

Starehe binafsi: Ni salama kuagiza hiki kitu mtandaoni ? Kwa hapa Tanzania wanauza ?

sky soldier

JF-Expert Member
Joined
Mar 30, 2020
Posts
5,407
Reaction score
19,264
Ni starehe binafsi kwajili ya kuvuta, kifaa hiki kinaitwa bong, waweza vutia kilevi kama tumbaku, naweza kukipata wapi hapa bongo ? nahofia kuagiza maana kimekaririwa kutumika kwenye kuvutia Marry Jane, nisije pigwa maswali nikienda kukichukua.

Sababu yangu ya kuhitaji bong ni kwamba hii ndio njia ya kisasa ya kuvuta.
  • maji yanapooza na kuuchuja moshi
  • Hakuna haja ya kuandaa msokoto, unaweka moja kwa moja
  • Inaokoa matumizi, kilevi kinazimika ukiacha kuvuta
  • Inalinda rangi ya mdomo
  • Moshi mwepesi usio na harufu kali kama msokoto,

Photo by 合法士多🇭🇰BONG•PIPE•TOBACCO•SHISHA on April 06, 2021..jpg


 
Back
Top Bottom