Notorious thug
JF-Expert Member
- Dec 29, 2021
- 2,817
- 10,667
Starehe ya kula gambe nimeshindwa kuiacha kabisaa japo inamaliza hela ila kuna muda najisemea natafuta hela kwa sababu gani?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mtakua wengi sana hii starehe kama mwanao JAFFOChini jamani chini patanimaliza mwenzenu[emoji22][emoji22][emoji22]
Hapa ndio hela inapuputika haswa kwa wale wa 24hrsThe internet
Mimi nkiwa nalo kwanza sitaki watu.Nikiwa na bando la internet huniambii kitu.
Kama chini patakumaliza, siupande juu mkuu...🤔Chini jamani chini patanimaliza mwenzenu[emoji22][emoji22][emoji22]
Kula pombe kijana, achana na maneno ya waliokosa hela ya bia...😎Dear Gambe
Usisahau leo ijumaa!Kula pombe kijana, achana na maneno ya waliokosa hela ya bia...😎
Sioni tatizo hapo, sababu dunia ilipo fikia lazima twende na teknolojia.The internet
Nikiwa na bando la internet huniambii kitu.
Kusoma magazeti.Bora ninywe bia.
- Mods kilio changu ni kile kile acheni kufuta na kuunganisha nyuzi someni nlichoandika ndio muelewe sio kuunganisha bila kusoma. Starehe ya kula gambe nmeshindwa kuiacha kabisaa japo inamaliza hela ila kuna muda najisemea natafuta hela kwa sababu gani?
- View attachment 2610909
Minipo Hangover Bar napombeka tu...🤪Usisahau leo ijumaa!
Nishakusoma mkuu unapenda swala walionona au wa size ya kati?Mimi napenda sana shughuli za uwindaji haram! Na hasa wanyama aina ya swala. Yaani nikipita karibu tu na mbuga ya wanyama, halafu nikwaona swala wadogo na walionona! Basi lazima nivamie.
Hii tabia sijui nitakuja kuiacha lini! Maana umri nao unazidi kwenda. Maana mara nyingi nalazimika kutumia fedha ili kupata hicho kitoweo.
Utakuwa na meno makali sana kama waziri wa hela na ukwapuaji.Mimi napenda sana shughuli za uwindaji haram! Na hasa wanyama aina ya swala. Yaani nikipita karibu tu na mbuga ya wanyama, halafu nikwaona swala wadogo na walionona! Basi lazima nivamie.
Hii tabia sijui nitakuja kuiacha lini! Ukichukulia umri nao unazidi kwenda. Maana mara nyingi nalazimika kutumia fedha ili kupata hicho kitoweo.
Kuna lishangazi nimeliona hapo lina mtindi wa dunia...🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣