Tyrone Kaijage
JF-Expert Member
- Jul 19, 2021
- 1,617
- 3,405
Nadhani Inategemea na urefu wa Penseli....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mitambo yenye uwezo wa kujzungusha kama churaViwanda vinahitaji mitambo mkuu
Kwehiyo wewe mkuu hukati mauno? Unanyandua kimgandisho ama?😂Taratibu mkuu, tuanze kukata viuno tena? 🙁
a. k. a gogo😂Wanaume wasiopenda mauno unasemaje kuhusu wao? Wanapenda mtu atulie tuli kama mkaratusi ulioanguka😂🤔
Weee mi napeleka moto tu mambo ya mauno unawezakuta ushawekewa kidole gumba kwa pembeni,nani anataka hayo mambo?Wanaume wasiopenda mauno unasemaje kuhusu wao? Wanapenda mtu atulie tuli kama mkaratusi ulioanguka😂🤔
Acha kabisa mkuuKatika mapenzi sio lazima mwanamke akate kiuno.
Mwanaume pia unatakiwa ujue jinsi ya kuzungusha kiuno. Huku ukigusa maeneo yote ya mwenza wako.
Kuna haja ya kurudisha jando kwa vijana wa sasa!!!!!
Nawewe hupendi mauno? Huenjoy mauno kwani?Weee mi napeleka moto tu mambo ya mauno unawezakuta ushawekewa kidole gumba kwa pembeni,nani anataka hayo mambo?
Mkuu unajiquote na kujijibu mwenyewe 😂😂🙌Acha kabisa mkuu
Ukijua kuzungusha wakati unatwanga....huachwiiiii!!!
Mimi kukatika hapana mkuu, hayo mambo Hapana!Nawewe hupendi mauno? Huenjoy mauno kwani?
Wewe itakua unakutana na viuno kama twanga pepeta ndiyo maana hupendi, hivi unayajua mauno mgandisho wewe, mwenzi anakua anaenda na beat taratiibuu aarh utahonga nchi sisi utuhamishie Mars huko tutajijua😂Hapana mkuu, hayo mambo Hapana!
Ukinikatikia ntakuganda kama ruba niwe wako chawaaa, ila mimi kukata mauno hiyo ndo tunaita hainaga ushemegi nehi!Wewe itakua unakutana na viuno kama twanga pepeta ndiyo maana hupendi, hivi unayajua mauno mgandisho wewe, mwenzi anakua anaenda na beat taratiibuu aarh utahonga nchi sisi utuhamishie Mars huko tutajijua😂
Ahaa hata wewe unaweza kata bana mbona fresh tu, kinakolea utamu🏃♀️Ukinikatikia ntakuganda kama ruba niwe wako chawaaa, ila mimi kukata mauno hiyo ndo tunaita hainaga ushemegi nehi!
Duh, niruhusu nije pm inawezekana kuna vitu navikosa duniani mie😅Ahaa hata wewe unaweza kata bana mbona fresh tu, kinakolea utamu🏃♀️
Upo tayari kukata mauno?😂Duh, niruhusu nije pm inawezekana kuna vitu navikosa duniani mie😅
Kichongeo kikizunguka huwa ni raha sanaWanaume wasiopenda mauno unasemaje kuhusu wao? Wanapenda mtu atulie tuli kama mkaratusi ulioanguka😂🤔
Mkuu unayawezea nini?Wewe itakua unakutana na viuno kama twanga pepeta ndiyo maana hupendi, hivi unayajua mauno mgandisho wewe, mwenzi anakua anaenda na beat taratiibuu aarh utahonga nchi sisi utuhamishie Mars huko tutajijua😂
Hapana mkuu wala siyajui😂Mkuu unayawezea nini?