Sa 7 mchana
JF-Expert Member
- Dec 30, 2018
- 5,214
- 10,276
waache tu, tutawaona kwenye dirisha la dawa.Yaani miamba anasema kama mbwai mbwai.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
waache tu, tutawaona kwenye dirisha la dawa.Yaani miamba anasema kama mbwai mbwai.
Just like meKusafiri nafurahi mnoooo, especially sehemu ambayo sijawahi fika hata kuwe mbwinde
Bora uzaliwe na bahati🤣🤣🤣🤣Halafu maisha yasivyo na formula watu Kama nyinyi utakuta hata hampati vijidudu.
Starehe yangu bado sijaifikia ambayo ni kununua pikipiki kubwa kati ya Yamaha Super Tenere 1250cc Honda Africa Twin 1250cc Kisha niwe natembea popote ninapojisikia kama wale watu wa adventure wanaotoka Asia huko wanakuja mpaka AfricaSalam Wakuu,
Starehe zangu kubwa ni Kula, kulala, kufanikisha ndoto zangu, family ikifurahi.
and last , kula watoto flan hiv walaini wenye shade
Hakuna raha kama kula mademu wenye ngongingo or Chura
Sina mipesa mingi ila ningekuwa Vasco Da Gama nakwambiaJust like me
Asee juzi kati nilikuwa kijiji mbwinde haswaa
Starehe yangu bado sijaifikia ambayo ni kununua pikipiki kubwa kati ya Yamaha Super Tenere 1250cc Honda Africa Twin 1250cc Kisha niwe natembea popote ninapojisikia kama wale watu wa adventure wanaotoka Asia huko wanakukua mpaka Africa
Nina ndoto hiyo na hiyo ndiyo starehe yangu
Kujifungia room na kumuomba Mungu hata kama Sina shida nitamsumbua tu. Yaani Ikipita masaa sita sijaomba najihisi ni mwenye hatia.
Mademu wenye vyura wanashawishi sana akivua lazima kitu kiinuke hata kama umechoka hafu ukute anayajua mapenzi utakomaSalam Wakuu,
Starehe zangu kubwa ni Kula, kulala, kufanikisha ndoto zangu, family ikifurahi.
and last , kula watoto flan hiv walaini wenye shade
Hakuna raha kama kula mademu wenye ngongingo or Chura