SarkSame to me mkuu ana flow kali speed 360, anajua na anaweza sana zaid ya sana. Respet.
Ulishawahi kucheza muziki wa Africando??Hi chit chat
Kila binadamu naamini kipo kitu anachoenjoy kufanya
Binafsi napenda sana sana sanaaaa mziki ....hiyo ndiyo starehe yangu kubwa na huwa naenjoy sanaa
Wewe je?
Ace hood & Sarkodie nazipandika fresh hizo mkuuSark
Ace le me take yoh to afrikaa
My people they love you....
ACe
The beast of the south in my worst behaviour
Don't make me angry
Unazijua hizi lines! !!
Babu lala unakesha na wajukuu, tupishe bwanaUlishawahi kucheza muziki wa Africando??
Kijana wangu... hapa nilipo hivi sasa ndo kwanza saa mbili unusu asubuhi... kulala asubuhi sio uvivu??Babu lala unakesha na wajukuu, tupishe bwana
Hiyo track na remix ya shots on shots ndiyo zilinifanya niwe shabiki wa Sark. Sijui kwanini mziki kama ule hauna soko kubwa na wakati nikiusikia huwa roho inatulia aseehAce hood & Sarkodie nazipandika fresh hizo mkuu
Nimeanza kumfahamu 2013 kwa wimbo wa Illuminati, nadhan ndio ulio mpa tuzo ya rapa bora Afrika Chanel O 2014 kama sijasahau. Unaufahamu huo na ule yupo na Banky W unaitwa Pon di tinHiyo track na remix ya shots on shots ndiyo zilinifanya niwe shabiki wa Sark. Sijui kwanini mziki kama ule hauna soko kubwa na wakati nikiusikia huwa roho inatulia aseeh
Chawa bwana mkubwa endeleaza mawindo yakoKijana wangu... hapa nilipo hivi sasa ndo kwanza saa mbili unusu asubuhi... kulala asubuhi sio uvivu??
Umenikosha sana mkuu...List ya tatu tuko pamoja.. Kwesta, khuli chana, K. O, kid X, Ricky Rick, vector, phyno, olamide, Uzi, zoro, Etc nazipenda nyimbo ngumu hasa zile wanazo chana ki zulu, Yoruba na Igbo
Nimeanza kumfahamu 2013 kwa wimbo wa Illuminati, nadhan ndio ulio mpa tuzo ya rapa bora Afrika Chanel O 2014 kama sijasahau. Unaufahamu huo na ule yupo na Banky W unaitwa Pon di tin
Kama vipi naweza kukutafutia karembo kamoja kwenye hizi televomidas mnazozipendaga...Chawa bwana mkubwa endeleaza mawindo yako
Whaaaaaat mkuu K. O namkubali zaid SA napenda sana nyimbo zake eg. Caracara, Ding dong, shkanda love akiwa na nandi mngoma, One time, son of Gun, mission statementUmenikosha sana mkuu...
SA hip-hop za wagumu ni tamu sana... K.O nampenda zaidi akifatiwa na Khuli Chana na wengine kama Kid X,Nasty C,Cassper Nyovest,Ricky Rick,Emtee na AKA kwa mbali.
Naija hip-hop siikubali kivilee lakini Vector,Phyno,M. I Abaga na Ice Prince wananikosha mno.
Umenikosha sana mkuu...
SA hip-hop za wagumu ni tamu sana... K.O nampenda zaidi akifatiwa na Khuli Chana na wengine kama Kid X,Nasty C,Cassper Nyovest,Ricky Rick,Emtee na AKA kwa mbali.
Naija hip-hop siikubali kivilee lakini Vector,Phyno,M. I Abaga na Ice Prince wananikosha mno.
Basi nimechanganya madawa hapo, itakua alichukua tuzo ya The Headies. Unampata yule dogo aliyeimba na Khuli chana kwenye Hape la Hape, akashilikishwa na AKA kwenye All eyes on youSarkodie kwa kumbukumbu zangu hana channel o award labda alishawahi nominated tu 2012 na 2014 kuchukua hajawahi LABDA BET mkuu
Mm mwanzo nilikua namfana nisha na French Montana ndio nikagundua AKA ana meno ya rangi not sure if it is a goldAKA... namfananisha na g nako. Akimba track mwenyewe haiendi mahali
Basi nimechanganya madawa hapo, itakua alichukua tuzo ya The Headies. Unampata yule dogo aliyeimba na Khuli chana kwenye Hape la Hape, akashilikishwa na AKA kwenye All eyes on you
Nitafutie mzee nitakushukuruKama vipi naweza kukutafutia karembo kamoja kwenye hizi televomidas mnazozipendaga...
Da les nimemkumbuka, dogo yupo kama Boe wowKuna
Da les au JR track inaitwa all eyes on me not you.
Tafuta word yupo na ice prince usikilize.Mm mwanzo nilikua namfana nisha na French Montana ndio nikagundua AKA ana meno ya rangi not sure if it is a gold