Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
..hehh basi dori doriiiiiiiiWala situmii pombe 'agemate'
Umeshanisahau??
...huh afu details zako ni kidumee sasa tukueleweje etiiiiiiiiMie napenda kunyonya Pop Corn jata sijui kwanii..
Najisikia raha kweli kweli ninaponyonya pipi ya kijiti.
Tatizo ndevu now zimeshaana kuota bai tabu tupu.
Nashindwa kujiachia kama zamani.
Sop Sad....
..zipo nying tyiuu drinks.....kama balime....vp na togwa je!??Hahahhh
Nitamanishe kingine ila sio pombe,kwanza nilishawahi kuonja ni chunguuuuuu
...waaaaaa!!!!Umbea
Starehe yangu kuu ni Boxing napenda sana boxing hasa nikimuona huyu jamaa Floyd Maywether huwa napenda sana anavyocheza kibishoo bishoo as if ni kitu ambacho ni kirahisi rahisiHi chit chat
Kila binadamu naamini kipo kitu anachoenjoy kufanya
Binafsi napenda sana sana sanaaaa mziki ....hiyo ndiyo starehe yangu kubwa na huwa naenjoy sanaa
Wewe je?
Hajui popcorn huyoKunyonya popcorn??????
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Umbea
Unaiweza lakini?Starehe yangu kuu ni Boxing napenda sana boxing hasa nikimuona huyu jamaa Floyd Maywether huwa napenda sana anavyocheza kibishoo bishoo as if ni kitu ambacho ni kirahisi rahisi
Labda alikuwa anamaanisha Koni za bakhresa akafananisha na bisi (popcorn)Uncle usinicheke puliiiz
Mimi nimeshangaa hiyo popcorn anainyonyaje yani?
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Unaiweza lakini?
Ama unapenda kuwa mtazamaji tu[emoji12]
...hahaha * age mate* kweli bana inabidi tuludi kwenye uafrika wetuu........,Togwa&mbege ni vitu navyotamani sanaaa kuonja maana majina yake tu yako so sexy[emoji39] [emoji39]
..kaa vipi age mate twende inbobo sasa ili tu make** location **Togwa&mbege ni vitu navyotamani sanaaa kuonja maana majina yake tu yako so sexy[emoji39] [emoji39]