Kwenye Word,Don Jazzy alipiga beat zito na ndio liliwabeba.AKA
Look how I put map of my city in the world.....
sema nimesahau lyrics coz sijui majukumu ndiyo yameongezeka siku hizi nimekuwa mzembe kufuatilia hiphop mkuu.
Bongo miaka ya 2008 9 10 11 12 13 walikuwa wanafanya vizur (maoni yangu) ila now wanazingua.
Chukulia mtu kama Bonta ujue huyu jamaa alikuwa na trend nzuri ya hiphop ila sijui alikuja kubugi wapi
Nasapot asilimia 500 wamekopi kila kitu kwenye caracaraHahahaha....
Utaniambia nyimbo gani ya K.O nisiijue... Ila hiyo na Nandi Mngoma a.k.a Gangster Love ni kiboko.
Nimeona hii nyimbo ya G Nako na Jux wameiga video ya K.O ft Kid X Caracara.
AKA anaujua mziki wa huyu kijana... Kafunikwa kwenye Run Jozi mpaka God`s will.
Ila wakuu ukiwa shabiki wa mziki unaweza kutofautisha gifted artists na wale wanaofanya game kisa wamekosa mishe za kufanya.Run jozi hainichoshi kusikiliza pamoja na caracara.
Kwenye Word,Don Jazzy alipiga beat zito na ndio liliwabeba.
Pia Lyrical AKA na Ice Prince walijipanga.
Ndio kabisa unaweza kutofautisha it's simpleIla wakuu ukiwa shabiki wa mziki unaweza kutofautisha gifted artists na wale wanaofanya game kisa wamekosa mishe za kufanya.
Hakika Mkuu...Ila wakuu ukiwa shabiki wa mziki unaweza kutofautisha gifted artists na wale wanaofanya game kisa wamekosa mishe za kufanya.
Weusi wanacopy saanaNasapot asilimia 500 wamekopi kila kitu kwenye caracara
Acha tu wakopi, uwezo wa madirector wetu mdogo sana kwenye suala la ubunifuWeusi wanacopy saana
Si mnaikumbuka ile track ya kilimanjaro? ?
Naipata Mkuu...Weusi wanacopy saana
Si mnaikumbuka ile track ya kilimanjaro? ?
Wameikopy kutoka kwa washkaji wa detroit wanaitwa slum village. Beat hawajabadilisha hata kidogoNaipata Mkuu...
Nipe info.
Acha tu wakopi, uwezo wa madirector wetu mdogo sana kwenye suala la ubunifu
Duuh ngoja kesho kwanza nfukunyue nyimbo za nyuma you tube nijikumbusheWameikopy kutoka kwa washkaji wa detroit wanaitwa slum village. Beat hawajabadilisha hata kidogo
Ww unahisi angesemaje sasa, lazima angesema hivyoTrack inaitwa reunion by slum village itafuteni msikie...siku joh anahojiwa anasema ni idea walitengeneza eti ikatokea zimefanana tu. [emoji23][emoji23]
Sio kujitetea kwa mambo ya wazi hivyo.. wee ingia youtube search hiyo trackWw unahisi angesemaje sasa, lazima angesema hivyo
Ok ngoja nitaitafuta mkuuSio kujitetea kwa mambo ya wazi hivyo.. wee ingia youtube search hiyo track
Hakika Mkuu...Sometimes huwa nafikiri labda umri ndiyo umeenda nimeshindwa kustep na vijana nini...
Bonta na nikk mbishi ndiyo watu naowatolea mifano kila siku. ...
Mbishi wa alhamdulilah sio mbishi wa kwanini.
Mbishi wa nyakati sio mbishi wa babu talent.
Au bonta wa nauza kura yangu au wa mktaba sio bonta wa mauwongo.
Kidogo mbwa mzee amebadilika ila hajapoteza ladha yake.
Mkuu hii sijaicheki...Duu sasa hv nimepunguza momentum ya kufatili, umeusikia wimbo wa Kwesta ft Cassper unaitwa Ngud'
Sure....Hakika Mkuu...
Kibongobongo napenda mziki wa Fid na vijana wa tamaduni(Nikki Mbishi,Songa,P the Mc) na wengine wachache wanaofata misingi ya hip-hop.
Tatizo linalokuja ni kwamba hata hao tunaowafatilia sometimes wanayumba vibaya.
Nikki Mbishi wa Kijusi sio huyu wa Kwa nini.
Songa wa Usiku sio wa Mwendo.
Wachache wamebaki kumaintain ladha zile zile mfano Fid na Nash MC.