The Ape
JF-Expert Member
- May 9, 2014
- 330
- 475
Kwenye Word,Don Jazzy alipiga beat zito na ndio liliwabeba.AKA
Look how I put map of my city in the world.....
sema nimesahau lyrics coz sijui majukumu ndiyo yameongezeka siku hizi nimekuwa mzembe kufuatilia hiphop mkuu.
Bongo miaka ya 2008 9 10 11 12 13 walikuwa wanafanya vizur (maoni yangu) ila now wanazingua.
Chukulia mtu kama Bonta ujue huyu jamaa alikuwa na trend nzuri ya hiphop ila sijui alikuja kubugi wapi
Pia Lyrical AKA na Ice Prince walijipanga.