Pls don't nitaacha basi[emoji7] [emoji8]mshana you are breaking my heart ujue [emoji17] [emoji17]
Yani kumbe ni mganga kweli
Inaonekana wewe ni mswahili sana eeh.Kusikiliza muziki mzito mziki ulioshiba nipo radhi kununua sound hata ya 5 M. hapo ndipo starehe yangu ilipo
[emoji3] [emoji3] [emoji3]Kwani waganga wana ubaya gani?
Siyo watu?
Hapana asee
Yani nyimbo zote napenda ila sio bolingo,taarabu na zile nyimbo za bendi bendi huwa sizipendi kabisa
Visingeli je unavipenda eeh?Hapana asee
Yani nyimbo zote napenda ila sio bolingo,taarabu na zile nyimbo za bendi bendi huwa sizipendi kabisa
Bado natafuta nyingine baada ya viroba kupigwa stopHi chit chat
Kila binadamu naamini kipo kitu anachoenjoy kufanya
Binafsi napenda sana sana sanaaaa mziki ....hiyo ndiyo starehe yangu kubwa na huwa naenjoy sanaa
Wewe je?
Sio sifa , utapungukiwa nguvu za kiumeMe Napenda Kutumia vilevi vikali..pincer Vodka,Smirnoff,jamesDaniel..Nikitumia hivi nakuwa stressed off kabisa..na nalala Vizuri kabisa
Hujakosea, angalia usiishie kubambia.Yaaah mm ni mdogo sana kwako
Ww umejiajiri/umeajiriwa mimi bado nasoma
Ww una kwako ila mm nina kwetu
Napenda goodtime/ momentHi chit chat
Kila binadamu naamini kipo kitu anachoenjoy kufanya
Binafsi napenda sana sana sanaaaa mziki ....hiyo ndiyo starehe yangu kubwa na huwa naenjoy sanaa
Wewe je?
inategemea mkuu kama unaishi uswahilini na umepanga chumba huna budi kusikiliza kimziki kidogo.Inaonekana wewe ni mswahili sana eeh.
Mm binafsi napenda kusikiliza mziki wenye sauti ndogo kwa manufaa yangu bila kuwabugudhi wengine
Tupo wengi eeeKusikiliza muziki mzito mziki ulioshiba nipo radhi kununua sound hata ya 5 M. hapo ndipo starehe yangu ilipo
Pole sana sana aiseeeAisee napenda sana ngono. Siwezi kumaliza Siku bila kufanya
Kumbe tupo pamoja hapoHapana asee
Yani nyimbo zote napenda ila sio bolingo,taarabu na zile nyimbo za bendi bendi huwa sizipendi kabisa
Uchumi wangu uwezi kunyumba nakula vizuri na niko fit.Nafanya mazoezi na nguvu za kiume ninazo za kutosha.na siwezi AchaSio sifa , utapungukiwa nguvu za kiume
Uwezo wako wa kufikiri utafifia ,uchumi utayumba.