Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 69,329
- 164,730
Amezoea minanda ya kizaramo labda.Kweli kabisa mkuu mziki ulioshiba hauna makelele kama jamaa anavofikiria
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Amezoea minanda ya kizaramo labda.Kweli kabisa mkuu mziki ulioshiba hauna makelele kama jamaa anavofikiria
Duh!Sizipendi hata kidogo
BangeNdumu ndio nini?
Ni kama nimerogwa na muzikiHi chit chat
Kila binadamu naamini kipo kitu anachoenjoy kufanya
Binafsi napenda sana sana sanaaaa mziki ....hiyo ndiyo starehe yangu kubwa na huwa naenjoy sanaa
Wewe je?
Basi itakuwa punye etoooStarehe yangu kubwa mi hata sijui ni nini. Ila sio mademu
Mtani jioni naomba nkuoneWiki end hii tutskuwa wp etii
Aliekidanganya mziki mzito una makelele ni nani? utakuwa unasikiliza kinanda wewe[emoji38][emoji4]Hapana sijapanga wala siishi uswahilini
Ila sipendi kusikiliza mziki kwa sauti kuwa kwa sababu ni tabia ya kiswahili na ya kishamba
Hadi sasa hivi ushaniaidi vitu viwili ujue
[emoji4][emoji38][emoji5][emoji4][emoji12]Amezoea minanda ya kizaramo labda.
Hi chit chat
Kila binadamu naamini kipo kitu anachoenjoy kufanya
Binafsi napenda sana sana sanaaaa mziki ....hiyo ndiyo starehe yangu kubwa na huwa naenjoy sanaa
Wewe je?
Mhuni ni mhuni tu hamna cha wa uswazi wala wakishua wote tabia zao ni moja.Hakuna hata mmoja anayependa hizo nyimbo
Utakuwa unaongelea wahuni wa uswahilini labda wale wakabaji?
Mtani ni wewe tu.Mtani jioni naomba nkuone
Hivi hamnaga emoj za Salute ?mimi napenda sana ganja for recreational and medicinal unaweza ukaniudhi to the maximum ila nikitoka nikachoma joint moja unaweza kushangaa nakuwa nimesahau ujinga wote na tutaendelea kuwa marafiki ila nikiwa na stress na nikakosa ganja you better stay away from me!