Me nilienda na manzi wa kitasha na katika mualiko huu tulikuwa na ndugu zake...... Alilipia mwenyewe, ilitoka kama laki na themanini pale kwenye mgahawa wa merry brownHivi wakuu nyie mnawezaje kumudu bei za pale kuanzia vyakula mpaka vinywaji?
Kuna siku nimeuziwa glass ya juice ya pineapple 5000, mpka nikajicheka, nikauliza popcorn za chumvi eti 4000..wale watu sidhani kama wapo serious..
Imefika muda nikienda yale maeneo nakuwa mziko kutumia visenti vyangu, hivi nyie mnaokula pizza, bugger na kulewa pale samaki samaki mnaweza vipi? Au mnajitoa akili tu?
500 bana..... Hizo za buku unakwenda kula watu zaidi ya m'mojaTandika Tshs 1000/=
Ni kweli ukijaribu kutazama. Wanajaribu kufanya price discrimination ili kuipa hadhi hiyo sehemu. Hapo huwezi kutana na waswahili wa tandale kwa mtogole akina mwajuma ndala ndefu au akina shabani chogo au elia mwaposa, hapo unakaa na manzi unamsomesha anakuelewa. Unazungumza biashara na mtu mnaelewana anasign mkataba kabisa.Sehemu zingine vitu hua ghali ili kuepusha vurugu,sio kila mtu na wa aina yeyote ile awe na uwezo wakuenda sehemu ile,nadhani hata kodi ya pango wanayolipa wafanyabiashara ni kubwa pia,Mkuu tembelea sehemu ambazo unazimudu huku ukiendelea kutafuta.
Kwa mtu ambae sio maeneo yake ya kujidai anaweza kwenda kavaa suti sababu anajaribu kublend na mazingira ambayo si yake kikawaida.kinachonishangaza ni namna jinsi watu wanavyo vaa pande za pale huwanajiuliza kama wametokea home kama jinsi walivyo au wanabadilisha nguo wakifika pale.
Elfu 60 ameandika.Chai laki 6?huwez kuwa seriuz.kuwa makini na 0 na alama za uandishi mkato nk.
Jamaa unapenda sifa sana.Kitu kinachotupa bei, katika uchumi, ni makutano ya curves za demand na supply, ceteris paribus (all factors being equal).
Katika curves za supply/ demand zinazotupa price kwenye uchumi, kuna abnormal curves.
Kawaida, katika free market, kwa ceteris paribus, price ikiwa chini watu wengi wanakuwa na uwezo wa kununua kitu, demand inakuwa kubwa kuliko supply, bei inapanda mpaka demand, supply na price vinapo stabilize.
Kwa mfano wa Mlimani City, bei za chini zinaweza kujaza watu hapo mpaka ikawa vurugu, pakawa hapakaliki. Na wenye biashara wakiona kwamba kuna wateja wapo hata tukipandisha bei, watapandisha, mpaka pale watakapoona hapa sasa tukipandisha zaidi tutakosa wateja.
Kawaida kitu kinavyozidi kuongezeka price, demand inazidi kupungua.
Lakini, kuna abnormal curves zipo katika vitu kama "luxury goods", kuna vitu vingine vikiwa na bei ya juu ndipo watu wanavitaka, vikiwa na bei ya chini inaonekana kama feki.
Yani inawezekana kitu kisiwe na chochote cha ajabu, ila ile branding tu inafanya bei iwe juu, na watu wanaotaka kujionesha wana hela za kununua vitu vya bei ya juu watanunua.
Ndiyo maana unasikia Kanye West katoa raba inauzwa kwa dola za Marekani 350! Na watu wanaunua, wanataka waonekane wamevaa kitu cha bei mbaya.
Kwenye sehemu za starehe, kuna watu wamejijengea mawazo kwamba sehemu zenye vitu vya bei rahisi zitajaa watu wasio na hela wenye matatizo mengi na wasio na ustaarabu, na kwamba ukienda sehemu za vitu vya bei mbaya utaepuka kukutana na matatizo ya ku socialize na watu wa ngazi za chini za jamii.
Inawezekana hapo Mlimani City/Samaki Samaki panafuata abnormal curve ya "luxury goods/services".
Ila Mlimani City kwa mfano Samaki Samaki kusema unatanua kiota cha maraha naona bado sana.
Nilipelekwa na wadogo zangu nilivyorudi likizo, kufika tu, mwenyewe najua hapa hakuna mtu anayenijua, mchizi mmoja akaanza kupiga kelele kama kaona jini ananiita jina langu, anawaambia watu "mnamjua huyu nani? Mnamjua huyu nani?" kama vile Prince Akim kwenye "Coming To America", nikamwambia cool down, you are putting me on the spot.Jamaa hakutegemea kabisa kuniona pale kwa sababu nilikuwa nimejichimbia nje miaka 10 kabla ya hapo.
Kwa hiyo labda kama sehemu inayoweza kuwakutanisha watu waliotengana siku nyingi, watu wakajua kwamba pale ndipo wanyamwezi wote tunaoshuka Dar tutafika, panaweza kuwa na maana.
Na tukirudi na hivyo vidala vyetu, hizo juisi za sh 5,000 hata USD 2 hazijafika bado, kwa hiyo hatuoni cha ajabu kulipa kama hilo litamaanisha tunakutana na long lost friends.
But the place could be better.
Sasa kazi si ungemfungulia hata Biashara utulie nae sema hukumpendaKuna dem m1 nilimtafuna pale fish fish,anajifanyaga kuvaa pete ya ndoa,wakat hata hajaolewa white hiv,mhudumu...jina linaanzia na H.mrembo hatar tatzo ni hyo kaz yake ndio ilinifanya nipige na kusepa,angekua na kaz nyingne ningehamia mazima..
Kuna siku nilikula mishkaki ya elfu 20. Minne (4) @ 5,000/- aisee nilisikitika sana, hasa nilipofikiria kuwa hizo ni kilo karibu tatu ya nyama ambayo nyumbani kwangu wangekula kwa week nzima.
Nilikuwa bwaksi huku nikienjoy mziki, ghafla mood ilibadilika, nikaelekea Tabata baa ya mtaani kwangu.
Kuna siku nilikula mishkaki ya elfu 20. Minne (4) @ 5,000/- aisee nilisikitika sana, hasa nilipofikiria kuwa hizo ni kilo karibu tatu ya nyama ambayo nyumbani kwangu wangekula kwa week nzima.
Nilikuwa bwaksi huku nikienjoy mziki, ghafla mood ilibadilika, nikaelekea Tabata baa ya mtaani kwangu.
Ndio maana mimi nimetoka mtaani kwangu muda huu ambako wanauza Budweiser moja elfu 5 ila hiki kiwanja nlichokuja wanauza Budweiser 2500/=Hii ndio maana halisi ya kutojitambua sasa.
Samaki Samaki ni moja kati ya viwanja maarufu sana vya mabepari ya mjii huu na huwezi kukuta yanalalamikia bei.
Haijalishi huduma za hapo zipoje ila bei kama hizo zinawekwa ili kupunguza "aina fulani" ya wateja.
Nimekwambia hujitambui kwasababu umeshindwa kutafuta viwanja vya saizi yako kiuchumi,na vipo vingi sana ambapo utaenda kufurahia maisha bila kutoa malalamiko kama haya.
Know your class,spend within the limits of your class.
Pale waachie walioiweza hii dunia.
Umesahau bei ya mademu wanaojiuza hapo mkuu!
Kwanza huwa wanakodi magari na kujifanya ni yao ili ukiwaibukia wakuuzie mbunye kwa 500k!!
Afu mbunye yenyewe sasa!!!! Haina hata ladha basi tu imebebwa na mitako mikubwa.
Kwa awamu hii mlimani city ni mwendo wa kupigia picha tu