Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji28]kinachonishangaza ni namna jinsi watu wanavyo vaa pande za pale huwanajiuliza kama wametokea home kama jinsi walivyo au wanabadilisha nguo wakifika pale.
wateja wao wa kudumu ni wanafunzi wa UDSM, wakipata mkopo kila semista ndio pahala pa kutumbulia fedha zao.Hivi wakuu nyie mnawezaje kumudu bei za pale kuanzia vyakula mpaka vinywaji?
Kuna siku nimeuziwa glass ya juice ya pineapple 5000, mpka nikajicheka, nikauliza popcorn za chumvi eti 4000..wale watu sidhani kama wapo serious..
Imefika muda nikienda yale maeneo nakuwa mziko kutumia visenti vyangu, hivi nyie mnaokula pizza, bugger na kulewa pale samaki samaki mnaweza vipi? Au mnajitoa akili tu?
Moyo kitchen ni sebuleni kwanguM/city haina uzuri wowote, samaki samaki pia ni yakawaida sana. Nimekula chips samaki pale mara kadhaa na juice, bei zao ni za wastani kwangu mimi, sio ghali na wala sio rahisi kivile. Mara ya mwisho kuwa pale tulikuwa na kampani ya Lugumi na alitoa ofa kwa wadada waliokuwa pale mida ya saa kumi na moja hivi jioni. Ingawa Lugumi hakuwa na kawaida ya kunywa whisky ama beer kutoka bar, mabaunsa wake walikuwa wanashuka na vinywaji kutoka kwenye msafara wake ndio alikuwa anakunywa hivyo. Wakuu muwe mnatembea na kuingia sehemu expensive walau mara tano kwa mwaka. Sasa mkuu ukienda Moyo Kitchen ama Coral Ridge Spur si ndo utazimia kabisa wewe, Maisha mafupi wakuu tembeeni musipige mahesabu sana.
Ila samaki kuna mademu jamani mweeh!
Unawatamania mademu wenzio [emoji2][emoji2][emoji2]Ila samaki kuna mademu jamani mweeh!
Huwa unapenda sana kusema"ila yule dada mzuri" ...sionagi wanawake wakideclare hili,kwako wewe imewezekana vipi?Ila samaki kuna mademu jamani mweeh!
Sina roho mbaya na unafiki mkuu...kingine kama na mimi nasifiwa na wengine na mimi inabidi nirudishe fadhila...Huwa unapenda sana kusema"ila yule dada mzuri" ...sionagi wanawake wakideclear hili,kwako wewe imewezekana vipi?
Hayo yako sasa[emoji57][emoji57]Unawatamania mademu wenzio [emoji2][emoji2][emoji2]
Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
Wadada wengi wanaokuja pale ni warembo sanaHao mademu Wakoje Mamilooo
[emoji3][emoji3]..moyo mzuri endelea nao.Sina roho mbaya na unafiki mkuu...kingine kama na mimi nasifiwa na wengine na mimi inabidi nirudishe fadhila...
Ila umenichekesha sana[emoji16][emoji16][emoji16]
Kwa sababu hiki ulichoniambia watu wengi huwa wananiuliza? Iweje mimi naweza kumsifia mdada while wanawake wengi hawapendi kumsifia mwanamke mwenzao![emoji3][emoji3]..moyo mzuri endelea nao.
Nimekuchekesha na nini Witt?
That's good..keep it up mremboKwa sababu hiki ulichoniambia watu wengi huwa wananiuliza? Iweje mimi naweza kumsifia mdada while wanawake wengi hawapendi kumsifia mwanamke mwenzao!
Nawaambia hao hawana malezi mema[emoji28][emoji28][emoji16][emoji16]
Akipiga hesabu ya bei anayokunywa uswahilini na washkaji ataona ndio hiyo hiyo anaweza kunywa hapo M/CitySehemu kama zile usivimbe sana. Kunywa bia zako nne au tano halafu sepa. Kwanza bei itakuja mule mule tu. Wewe uswahilini unakunywa bia tano halafu unawanunulia washikaji tano.
lohNa makeup za Mac?..wataua watu
Hii bei ya popcorn za.chumvi ya 2019.Makumbusho stendi 500.
Hahaha sijui. Sijapita huko siku nyingi.Hii bei ya popcorn za.chumvi ya 2019.
Bei ya leo sh ngapi?