Bird Watcher
JF-Expert Member
- Aug 19, 2013
- 3,151
- 6,261
Mkuu tafuta hela umasikini sio mzuri kabisa na niwakuogopwa kama ukoma hata unyonge nao haufai kabisa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahaha!Hahaha, alikuwa ashapata lager kadhaa siku ile.
Halafu hakutegemea kabisa kuniona pale.
You are NOT targeted.Hivi wakuu nyie mnawezaje kumudu bei za pale kuanzia vyakula mpaka vinywaji?
Kuna siku nimeuziwa glass ya juice ya pineapple 5000, mpka nikajicheka, nikauliza popcorn za chumvi eti 4000..wale watu sidhani kama wapo serious..
Imefika muda nikienda yale maeneo nakuwa mziko kutumia visenti vyangu, hivi nyie mnaokula pizza, bugger na kulewa pale samaki samaki mnaweza vipi? Au mnajitoa akili tu?
Kimsingi ni mahabusu ndogo kipindi hicho kulikua na wimbi la vijana wanaiba vitu na hawakujua kama kuna cctv kamera mule shoprite kwa hiyo walikua wanawekwa mule kwanzailo gereza unahukimiwa ukifanya kosa mda gani na kusomewa mashtaka mda gani na kuhukumiwa?
ona msukuma mwengine huyu,huna tofauti na aliyeshangaa kulala hotelini ni dola 3000 [milioni 7] kwa siku huko SElousHivi wakuu nyie mnawezaje kumudu bei za pale kuanzia vyakula mpaka vinywaji?
Kuna siku nimeuziwa glass ya juice ya pineapple 5000, mpka nikajicheka, nikauliza popcorn za chumvi eti 4000..wale watu sidhani kama wapo serious..
Imefika muda nikienda yale maeneo nakuwa mziko kutumia visenti vyangu, hivi nyie mnaokula pizza, bugger na kulewa pale samaki samaki mnaweza vipi? Au mnajitoa akili tu?
wasukuma wanajilazimishia kila kitu.The
You are NOT targeted.
wasukuma wanajilazimishia kila kitu.The
You are NOT targeted.
pole mkuu inaelekea una ushuhuda mzuri sana!Umesahau bei ya mademu wanaojiuza hapo mkuu!
Kwanza huwa wanakodi magari na kujifanya ni yao ili ukiwaibukia wakuuzie mbunye kwa 500k!!
Afu mbunye yenyewe sasa!!!! Haina hata ladha basi tu imebebwa na mitako mikubwa.
kwa usawa unanunua k kwa 500k afu unakuta yaleyale tu!Jamaa 500k yake bado inamuuma[emoji3][emoji3]
HONGERA...BORA ULE NYUMBANI,NA BADO UNAENDAGA!Uwa naendaga jangwani sea breeze.
chips kavu =5,000.
chips yai 2= 10,000.
Chips kuku=15,000.
uwa naangalia alafu nikifananisha na bei ya uswazi naona bora nikale home
HONGERA...BORA ULE NYUMBANI,NA BADO UNAENDAGA!
Nmecheka kwa nguvu wakati ni usikuMie huwa nawashangaa sana watu wa mjini.!
Unapojua kuwa huna hela unashindwaje kubeba vitu kutoka nyumbani kwenu?
Beba maji ya kunywa kwenye jagi, vitumbua au mabumunda, chupa ya togwa, jamvi la kukalia, kopo la kukojolea vingine utakavyoona vinakufaa!
Hivi wakuu nyie mnawezaje kumudu bei za pale kuanzia vyakula mpaka vinywaji?
Kuna siku nimeuziwa glass ya juice ya pineapple 5000, mpka nikajicheka, nikauliza popcorn za chumvi eti 4000..wale watu sidhani kama wapo serious..
Imefika muda nikienda yale maeneo nakuwa mziko kutumia visenti vyangu, hivi nyie mnaokula pizza, bugger na kulewa pale samaki samaki mnaweza vipi? Au mnajitoa akili tu?