Napoleone
JF-Expert Member
- Apr 11, 2012
- 10,087
- 16,036
Nshalewa sana samak samak..unakunywa kwa strategy na ukishazoeana na wadada wale bas mambo ni swaf nakufundisha sasa tunalewaje
1.kwanza usinywe bia...kunywa shots zile kadhaa,mi wadada wale ni maswahiba so nakunywaga shots 5 kwa elf12,namwambia kabisaaa sina hela leo..ukijifanya unahela imekula kwako
2.then kama mtu wa nyag ongeza kabapa kadogo kale ka1 una.wambia,akuwekee kwenye glass kubwa ile wala,asikuletee lichupa so mtu akija pale anaona tu maj meupe anahisi pombe ya gharama
3.mwisho,unaburudika na kamziki kula unaenda kula on the way home
Mwishi wa siku najikuta nmetumia elf20 tuu samak samak ma.mae.
1.kwanza usinywe bia...kunywa shots zile kadhaa,mi wadada wale ni maswahiba so nakunywaga shots 5 kwa elf12,namwambia kabisaaa sina hela leo..ukijifanya unahela imekula kwako
2.then kama mtu wa nyag ongeza kabapa kadogo kale ka1 una.wambia,akuwekee kwenye glass kubwa ile wala,asikuletee lichupa so mtu akija pale anaona tu maj meupe anahisi pombe ya gharama
3.mwisho,unaburudika na kamziki kula unaenda kula on the way home
Mwishi wa siku najikuta nmetumia elf20 tuu samak samak ma.mae.