Starehe za Mlimani City na bei za ajabu ajabu

Starehe za Mlimani City na bei za ajabu ajabu

Nshalewa sana samak samak..unakunywa kwa strategy na ukishazoeana na wadada wale bas mambo ni swaf nakufundisha sasa tunalewaje
1.kwanza usinywe bia...kunywa shots zile kadhaa,mi wadada wale ni maswahiba so nakunywaga shots 5 kwa elf12,namwambia kabisaaa sina hela leo..ukijifanya unahela imekula kwako

2.then kama mtu wa nyag ongeza kabapa kadogo kale ka1 una.wambia,akuwekee kwenye glass kubwa ile wala,asikuletee lichupa so mtu akija pale anaona tu maj meupe anahisi pombe ya gharama

3.mwisho,unaburudika na kamziki kula unaenda kula on the way home
Mwishi wa siku najikuta nmetumia elf20 tuu samak samak ma.mae.
 
Mie huwa nawashangaa sana watu wa mjini.!
Unapojua kuwa huna hela unashindwaje kubeba vitu kutoka nyumbani kwenu?
Beba maji ya kunywa kwenye jagi, vitumbua au mabumunda, chupa ya togwa, jamvi la kukalia, kopo la kukojolea vingine utakavyoona vinakufaa!
 
Mie huwa nawashangaa sana watu wa mjini.!
Unapojua kuwa huna hela unashindwaje kubeba vitu kutoka nyumbani kwenu?
Beba maji ya kunywa kwenye jagi, vitumbua au mabumunda, chupa ya togwa, jamvi la kukalia, kopo la kukojolea vingine utakavyoona vinakufaa!
HAHAAHHA WATAKUZINGUA
 
We kula unapopamudu ..mlimani city waachie wenye uwezo napo
 
Nimekumbuka enzi za chuo tulikua tunaenda kununua maapple na chocolate ili mradi tu tutoke na mfuko wa ShopRite

Tunaingia Mr Price tunazungukaaa tunaulizia bei ya kila nguo ..[emoji1787][emoji1787] khaa!

Tuchips twa marybrown Sasa..haushibi ila basi tu udada duu nasisi tuonekane tunakula pale..[emoji1787][emoji1787]ujinga aisee
 
[emoji3][emoji3][emoji3]
Nimekumbuka enzi za chuo tulikua tunaenda kununua maapple na chocolate ili mradi tu tutoke na mfuko wa ShopRite

Tunaingia Mr Price tunazungukaaa tunaulizia bei ya kila nguo ..[emoji1787][emoji1787] khaa!

Tuchips twa marybrown Sasa..haushibi ila basi tu udada duu nasisi tuonekane tunakula pale..[emoji1787][emoji1787]ujinga aisee
 
Siyo level zako, kahangaike na sehemu ambazo ni level zako. Kila kitu kina grade hadi maisha yetu.
 
Hivi wakuu nyie mnawezaje kumudu bei za pale kuanzia vyakula mpaka vinywaji?
Kuna siku nimeuziwa glass ya juice ya pineapple 5000, mpka nikajicheka, nikauliza popcorn za chumvi eti 4000..wale watu sidhani kama wapo serious..
Imefika muda nikienda yale maeneo nakuwa mziko kutumia visenti vyangu, hivi nyie mnaokula pizza, bugger na kulewa pale samaki samaki mnaweza vipi? Au mnajitoa akili tu?
Eti au mnajitoa akili tu! teh.

Niliwahi kunywa juisi glass mbili pale (kiu kilinikamata mida ya jua la utosi). Naletewa bili shilingi elfu 10. Nilichoka!

Ndio maana wengine wanaendaga kupiga picha na kufanya window shopping tu!
 
M/city haina uzuri wowote, samaki samaki pia ni yakawaida sana. Nimekula chips samaki pale mara kadhaa na juice, bei zao ni za wastani kwangu mimi, sio ghali na wala sio rahisi kivile. Mara ya mwisho kuwa pale tulikuwa na kampani ya Lugumi na alitoa ofa kwa wadada waliokuwa pale mida ya saa kumi na moja hivi jioni. Ingawa Lugumi hakuwa na kawaida ya kunywa whisky ama beer kutoka bar, mabaunsa wake walikuwa wanashuka na vinywaji kutoka kwenye msafara wake ndio alikuwa anakunywa hivyo. Wakuu muwe mnatembea na kuingia sehemu expensive walau mara tano kwa mwaka. Sasa mkuu ukienda Moyo Kitchen ama Coral Ridge Spur si ndo utazimia kabisa wewe, Maisha mafupi wakuu tembeeni musipige mahesabu sana.
Kweli bora uwaambie mara moja moja unaridhisha nafasi maisha yenyewe mafupi haya.... Unavibania vinakuja kuliwa na wengine
 
Hii ndio maana halisi ya kutojitambua sasa.

Samaki Samaki ni moja kati ya viwanja maarufu sana vya mabepari ya mjii huu na huwezi kukuta yanalalamikia bei.
Haijalishi huduma za hapo zipoje ila bei kama hizo zinawekwa ili kupunguza "aina fulani" ya wateja.

Nimekwambia hujitambui kwasababu umeshindwa kutafuta viwanja vya saizi yako kiuchumi,na vipo vingi sana ambapo utaenda kufurahia maisha bila kutoa malalamiko kama haya.

Know your class,spend within the limits of your class.

Pale waachie walioiweza hii dunia.
 
Pale unalipia bidhaa,mandhari na pango ndio maana bei ziko hivyo,kama ghali nenda na kinywaji chako..
 
Ukiona unalalamikia bei za vitu ujue baado una safari ndefu kiutaftaji mkuu.
Wewe kula kwa akina mama ntilie huku ukiendelea kukaza misuli kutafta.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]jibu la kikubwa hilii
 
Back
Top Bottom