Starehe za Mlimani City na bei za ajabu ajabu

Starehe za Mlimani City na bei za ajabu ajabu

Umesahau bei ya mademu wanaojiuza hapo mkuu!
Kwanza huwa wanakodi magari na kujifanya ni yao ili ukiwaibukia wakuuzie mbunye kwa 500k!!
Afu mbunye yenyewe sasa!!!! Haina hata ladha basi tu imebebwa na mitako mikubwa.
Hatar sana!
 
🤣🤣🤣 hata wewe jamani. Mbona wanaume jamii ni stingy hivi. Mlimani city pale vitu bei poa sana tu.
hahahahah we unazungumzia poa kwa minajili ipi? Mie roho haiumi nikilipia watoto tu wafurahi. Awamu hii tuko cost concious sana wala sio stingy
 
Nilimbeba mbongo muv mmoja pale na tako lake lile sijui la mchina aiseeee Mana s kwa ulain ule [emoji41][emoji41][emoji41][emoji41][emoji41][emoji41][emoji41][emoji41][emoji41][emoji41][emoji41][emoji41][emoji41][emoji41][emoji41]
Nipe connection baharia wangu jiwe kaongeza mihela[emoji23] [emoji23]
 
Nipe connection baharia wangu jiwe kaongeza mihela[emoji23] [emoji23]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] connection zipo tu pale Tena hao wabongo muvi n cheap labour kabisa kuna mmoja anatembelea Subaru[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Si kila sehemu ni kwa ajili ya kila mtu.Ukitumia akili kidogo,utagundua hakuna democrasia kwenye matumizi,labda kama upo tayari kujitoa akili na kujikwangua halafu urudi mtupu.Hata unaowaona wanatumia pale,baadhi yao nao wakienda sehemu zingine ama humu nchini au nje ya nchi (jirani tu),nao si ajabu huguna na kushangaa gharama za sehemu husika huku wakiona kuna wanaofanya matumizi utadhani wapo majumbani mwao...mguu ukining'inia kwenye kamba.

Maisha ni ngazi.Vema jua upo ngazi gani halafu tumia kipato chako cha ziada kwenye usawa wako-utafurahia sana tu na si kila umwonae pale,anaafurahia kiviiile.Ukijipandisha kusikokustahili,utanyanyasika ama kuumia/kujiumiza halafu utalalamika.

Wenyewe wanaotumia pale wakikusikia unalalamikia bei,si ajabu watashangaa na kushtuka sana.
 
Nimejifunza jambo
Hicho ndiyo Kijiwe Kikubwa na Makao Makuu ya Kupumzika ( Kula Bata ) na Kupanga Mikakati zaidi kwa Wauza Dawa za Kulevya wengi nchini Tanzania , Matapeli wakubwa nchini na Mafisadi pamoja na Wala Rusha wakubwa pia. Kama ulikuwa hulijui hilo pole mno Mkuu na natumai kwamba kuanzia leo utakuwa umeshapata Jibu lako. Fanya Utafiti wako juu ya haya niliyokuambia na najua ipo Siku utakuja Kukubaliana nami hapa hapa.
 
Pole mkuu 500k ni nyingi mno hasa usawa huu wa Jiwe.
Umesahau bei ya mademu wanaojiuza hapo mkuu!
Kwanza huwa wanakodi magari na kujifanya ni yao ili ukiwaibukia wakuuzie mbunye kwa 500k!!
Afu mbunye yenyewe sasa!!!! Haina hata ladha basi tu imebebwa na mitako mikubwa.
 
Kuna dem m1 nilimtafuna pale fish fish,anajifanyaga kuvaa pete ya ndoa,wakat hata hajaolewa white hiv,mhudumu...jina linaanzia na H.mrembo hatar tatzo ni hyo kaz yake ndio ilinifanya nipige na kusepa,angekua na kaz nyingne ningehamia mazima..
 
Mkuu ngoja nikuchane kuhusu pale mcity, wengi wanafanya vikao vya siri pale kama hujui hlo jinsi palivyokaa pili wengi wanapretend sana maisha pale kuna watu huwa wanaenda kuzurura tu mle kupiga selfie kushangaa nk. Na pia kuna wenye pesa zao wengi tu ambao utawakuta pale wakitanua pizza hut mle, kfc, samaki samaki nk. Mcity sio safe place kuna utapeli mwing sana mle ukiwa zobaa utapigwaa sanaa na huu utapel unafanywa sana na wanawake warembo becareful unavokuwa mle. Madem wa chuo wengi wanapenda kwenda pale hasa kunatua kujiuza nk ukitaka wanawake hawa na jins ya kuwatambua ntakuchana

Kuhusu piza hadi ya 15k unapata, pale kfc kuanzia buku6 unapata vichips afu nakupa trick kama unataka soda, maji nk nenda choppers au game pale unapata take away yako kwa 900 tu
Embu fafanua vizuri kwa hao wadada wanaojiuza mkuu...
 
Nenda cinemax pale around mitaa ya pale kuna galz utakuta wana rob rob hawana campan ukimfuata wwngi atakwambia umlipie entrance mchek movie then utasepa nae hawa wengi ni wanachuo, samaki samaki hapa ni expensive bitches kama unapesa ya mawazo usijarib kabisaa na ni wakali balaa mitako ndo hyoo na kuna wwngine wanapenda kaa mwishon kabisa kordoni near na crdb bank au tpb bank siku za weeknd hz hasa night utakuta wamekaa au wamesimaa kwenye chuma flan wanakula selfie nk we mfate mchane una campan? Utaskia sina bhs ushapata. Mcity madem wanajiuza kwa akili so kma sinzaa[emoji23][emoji23]
Bei zao zimekaaje? maana kwa usawa huu mwisho wangu huwa ni 50K hapo demu mdada atakunywa na tutaondoka nae..

Tofouti na hapo hapana kwa kweli...
 
Back
Top Bottom