Starehe za Mlimani City na bei za ajabu ajabu

Starehe za Mlimani City na bei za ajabu ajabu

Ukiwa huna hela wanaotumia hela zao unaona wanachezea hela.
Mkuu kweli.niliendaga na bro 2004 alifanya shopping ya vitu vichache vya home akatoa 150k.msosi tulipiga sahani mbili wali fish+juice,mzigo aliotoa walahi nikamkumbuka mama lishe wangu mpendwa mama Abdul,isingezidi 2000.In short pale unatakiwa uende umeshafanikiwa.kama sisi watafutaji code zetu tunazijua.kwa Mimi nilivyo mangi ata niwe full apo siguse
 
M/city haina uzuri wowote, samaki samaki pia ni yakawaida sana. Nimekula chips samaki pale mara kadhaa na juice, bei zao ni za wastani kwangu mimi, sio ghali na wala sio rahisi kivile. Mara ya mwisho kuwa pale tulikuwa na kampani ya Lugumi na alitoa ofa kwa wadada waliokuwa pale mida ya saa kumi na moja hivi jioni. Ingawa Lugumi hakuwa na kawaida ya kunywa whisky ama beer kutoka bar, mabaunsa wake walikuwa wanashuka na vinywaji kutoka kwenye msafara wake ndio alikuwa anakunywa hivyo. Wakuu muwe mnatembea na kuingia sehemu expensive walau mara tano kwa mwaka. Sasa mkuu ukienda Moyo Kitchen ama Coral Ridge Spur si ndo utazimia kabisa wewe, Maisha mafupi wakuu tembeeni musipige mahesabu sana.
 
M/city haina uzuri wowote, samaki samaki pia ni yakawaida sana. Nimekula chips samaki pale mara kadhaa na juice, bei zao ni za wastani kwangu mimi, sio ghali na wala sio rahisi kivile. Mara ya mwisho kuwa pale tulikuwa na kampani ya Lugumi na alitoa ofa kwa wadada waliokuwa pale mida ya saa kumi na moja hivi jioni. Ingawa Lugumi hakuwa na kawaida ya kunywa whisky ama beer kutoka bar, mabaunsa wake walikuwa wanashuka na vinywaji kutoka kwenye msafara wake ndio alikuwa anakunywa hivyo. Wakuu muwe mnatembea na kuingia sehemu expensive walau mara tano kwa mwaka. Sasa mkuu ukienda Moyo Kitchen ama Coral Ridge Spur si ndo utazimia kabisa wewe, Maisha mafupi wakuu tembeeni musipige mahesabu sana.

Gharama za Moyo kitchen zinakuwaje? Huwa naona page yao insta nasema one day nitaenda.
 
Hivi wakuu nyie mnawezaje kumudu bei za pale kuanzia vyakula mpaka vinywaji?
Kuna siku nimeuziwa glass ya juice ya pineapple 5000, mpka nikajicheka, nikauliza popcorn za chumvi eti 4000..wale watu sidhani kama wapo serious..
Imefika muda nikienda yale maeneo nakuwa mziko kutumia visenti vyangu, hivi nyie mnaokula pizza, bugger na kulewa pale samaki samaki mnaweza vipi? Au mnajitoa akili tu?
Gwakumwitu aka gwankaja maisha ni kuchagua,kuna wanao mudu na kuna ambao huwa wanadunduliza mwezi mzima mradi nao siku mojamoja waonekane wamo.

Usiogope,just live your life.
 
Mulls ni kwa ajili ya Middle class kwanza kwa Tanzania tumechelewa sana ukienda Nairobi hizo kama Mlimani City zipo hadi hazina Idadi na ni Ghari vibaya mno ila unakuta kuna watu wana spendi mbaya sana.

Na kwa sababu ni kwa Ajili ya Middle class basi watu wao spend kule huwa wanatarajiwa kuwa wenye uwezo wa kati na wa juu.

Kwa watu wa vipato vya Chini pale sio sehemu yao kabisa labda tu kwenda kupiga picha.
 
Umesahau bei ya mademu wanaojiuza hapo mkuu!
Kwanza huwa wanakodi magari na kujifanya ni yao ili ukiwaibukia wakuuzie mbunye kwa 500k!!
Afu mbunye yenyewe sasa!!!! Haina hata ladha basi tu imebebwa na mitako mikubwa.
Aisee
 
Hivi wakuu nyie mnawezaje kumudu bei za pale kuanzia vyakula mpaka vinywaji?
Kuna siku nimeuziwa glass ya juice ya pineapple 5000, mpka nikajicheka, nikauliza popcorn za chumvi eti 4000..wale watu sidhani kama wapo serious..
Imefika muda nikienda yale maeneo nakuwa mziko kutumia visenti vyangu, hivi nyie mnaokula pizza, bugger na kulewa pale samaki samaki mnaweza vipi? Au mnajitoa akili tu?
Vitu vinakuwa bei juu kutokana na kodi ya pango
 
Back
Top Bottom