Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Chenji Inarudi 😁😀😂Kwa PESA UtakayolipaNjoo kwa mpemba juisi 500.
MBAGALA 300/=🏃🏃Gongo la mboto 500
Mkuu ebu nichane... Hao wa kujiuza nawatambuaje??
Kuna Siku nimekunywa soda pale nikagoma kulipa naambiwa soda 2500 wanadai nitaitiwa baunsa dah niliitoa lakini kishingo upande kwa kuogopa mafuta[emoji37]
Angalau wewe umeeleza vizuri..
kwahiyo sisi ambao hatufanyi hizo kazi tukienda pale tunaonekana ni hao hao?
Nenda cinemax pale around mitaa ya pale kuna galz utakuta wana rob rob hawana campan ukimfuata wwngi atakwambia umlipie entrance mchek movie then utasepa nae hawa wengi ni wanachuo, samaki samaki hapa ni expensive bitches kama unapesa ya mawazo usijarib kabisaa na ni wakali balaa mitako ndo hyoo na kuna wwngine wanapenda kaa mwishon kabisa kordoni near na crdb bank au tpb bank siku za weeknd hz hasa night utakuta wamekaa au wamesimaa kwenye chuma flan wanakula selfie nk we mfate mchane una campan? Utaskia sina bhs ushapata. Mcity madem wanajiuza kwa akili so kma sinzaa[emoji23][emoji23]
nashauri maasikari waende kuwapiga picha hao wahaya.Nenda cinemax pale around mitaa ya pale kuna galz utakuta wana rob rob hawana campan ukimfuata wwngi atakwambia umlipie entrance mchek movie then utasepa nae hawa wengi ni wanachuo, samaki samaki hapa ni expensive bitches kama unapesa ya mawazo usijarib kabisaa na ni wakali balaa mitako ndo hyoo na kuna wwngine wanapenda kaa mwishon kabisa kordoni near na crdb bank au tpb bank siku za weeknd hz hasa night utakuta wamekaa au wamesimaa kwenye chuma flan wanakula selfie nk we mfate mchane una campan? Utaskia sina bhs ushapata. Mcity madem wanajiuza kwa akili so kma sinzaa[emoji23][emoji23]
Hicho ndiyo Kijiwe Kikubwa na Makao Makuu ya Kupumzika ( Kula Bata ) na Kupanga Mikakati zaidi kwa Wauza Dawa za Kulevya wengi nchini Tanzania , Matapeli wakubwa nchini na Mafisadi pamoja na Wala Rusha wakubwa pia. Kama ulikuwa hulijui hilo pole mno Mkuu na natumai kwamba kuanzia leo utakuwa umeshapata Jibu lako. Fanya Utafiti wako juu ya haya niliyokuambia na najua ipo Siku utakuja Kukubaliana nami hapa hapa.
😂 😂 😂 😂 😂Tandika Tshs 1000/=
Mbali kote akati geti la udsm road kuna bar pale wanapika kila kitu.Pale unafanya shughuli zako ukitaka kula kama wewe ni apeche alolo chukua bajaji nenda Sinza au Survey.
Kule ni kuibiana mzee mana wapo wengine mulemule bei zai zipo chini sema ndo kujua tu.Issue ukishalipa unaona kama wamekuibia[emoji3][emoji3]
kama alivyosema mleta mada mmoja, ukiondoa watu wengi wanoenda kuzurula mle ndani, kufanya window shopping, na wachache kufanya manunuzi,mlimani city ni sehemu ya watu ambao mfukoni wapo vizuri na hawaogopi kula bata.Hivi wakuu nyie mnawezaje kumudu bei za pale kuanzia vyakula mpaka vinywaji?
Kuna siku nimeuziwa glass ya juice ya pineapple 5000, mpka nikajicheka, nikauliza popcorn za chumvi eti 4000..wale watu sidhani kama wapo serious..
Imefika muda nikienda yale maeneo nakuwa mziko kutumia visenti vyangu, hivi nyie mnaokula pizza, bugger na kulewa pale samaki samaki mnaweza vipi? Au mnajitoa akili tu?
Kuna sehemu moja nilikuwa, ni hadhi za juu. sasa demu moja akaja na mwenzake, moja akaenda kuliwa mwingine akabaki
baadae akaniomba simu eti ampigie dereva tax. sikuwa na hiyana nikampa.
kesho yake akanitumia msg nikamuuliza "we nani"? akatuma picha, nikamwambia mbona sikukumbuki akanikumbusha, nikamwambia sikumbuki kukupa namba yangu ya simu?
basi baada ya maongezi akaniambia anatafuta wateja, nikamuuliza wateja wa nini, akasema K
kufuppisha stori nikamuuliza nikitaka huduma shilingi ngapi? akasema kuanzia dola 200.
Jibu nililompa yeye mwenyewe anajua [emoji23] [emoji23]