Kinoamiguu
JF-Expert Member
- Nov 29, 2018
- 11,936
- 15,196
Unamkumbuka hasheem thabit??? Unajua aliondoka kwenye timu kwa sababu gani??Sio, mfuatiliaji sana, wa maisha binafsi ya mchezaji lakini nitakuwa, wa, mwisho kuamini kuwa ulevi ndo sababu, ya kushuka kwa kiwango Chake na kupelekea kuvunjwa kwa mkataba wake.
Daaah......Teknolojia banaBahati mbaya Yanga sio okota okota
Yaan....
Au sioBahati mbaya Yanga sio okota okota
Saizi ushapata jibu au tukupe muda ufikirie kwanza?Halafu atacheza namba ya nani pale Yanga!!
Nilishawahi kukuambia kuwa home neno Matola ni vile viazi utamu vilivyo kaushwa kwa ajili ya kutumiwa msimu wa kiangazi.Yanga ya sasa siyo zoazoa, usifananishe Yanga hii na vitu vya kipuuzi.
Chumbageni imemsajili OkrahLabda Yanga ya Chumbageni
Hahahahaha can't believe I said this.....Mtakuja kuaibika siku ambayo mnasikia Okrah amesainiwa
Maana hadi kwa Morrison mlikuja na hoja hiyo hiyo tena kipindi kile mlisema hamrudii matapishi.
Anzisha tuu kanisa upige mpunga wa wajinga....Hahahahaha can't believe I said this.....
Yule waiti hakukosea kabisaBahati mbaya Yanga sio okota okota
MAmbo yenu ya kuokota okota sioNdio kbs sisi mambo yetu usiku wa manane
Kiko wapi magarasa fcLabda Yanga ya Chumbageni
Yuko kwenu sasa pigeni dodokiMchezaji wa kombe la dunia mbona imekuwa mapema hivyo au tulipigwa wana mthimbazi wenzangu??? But ikawe ndo tumejifunza kuwa maneno bila viteno ni kama safari ya mwehu.. Ahmadi ally alimsifu sana huyu jamaa . nawaomba wana THIMBA mleten tena mchezaji wa UEFA
Pigeni dodoki la kutosha nyie mlikuwa mnamponda humu jf kwamba ni mleviNow tupo nae jangwani ππ
πππPigeni dodoki la kutosha nyie mlikuwa mnamponda humu jf kwamba ni mlevi