Starehe zamponza Okrah

Sio, mfuatiliaji sana, wa maisha binafsi ya mchezaji lakini nitakuwa, wa, mwisho kuamini kuwa ulevi ndo sababu, ya kushuka kwa kiwango Chake na kupelekea kuvunjwa kwa mkataba wake.
Unamkumbuka hasheem thabit??? Unajua aliondoka kwenye timu kwa sababu gani??
 
Bata la Daslam linaanza upyaa
 
Yanga ya sasa siyo zoazoa, usifananishe Yanga hii na vitu vya kipuuzi.
Nilishawahi kukuambia kuwa home neno Matola ni vile viazi utamu vilivyo kaushwa kwa ajili ya kutumiwa msimu wa kiangazi.

Wewe ukaamua kuiongezea Dr& PhD ukadhani unaikwepa asili

Pichani hapa chini ndio Matola sasa

 
Mtakuja kuaibika siku ambayo mnasikia Okrah amesainiwa

Maana hadi kwa Morrison mlikuja na hoja hiyo hiyo tena kipindi kile mlisema hamrudii matapishi.
Hahahahaha can't believe I said this.....
 
Yuko kwenu sasa pigeni dodoki
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…