Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 31,913
- 65,514
- Thread starter
- #701
Tayana-wog acha hayo ma emoji bhana😀😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Una uhakika upi mkuu??, Shida ya kuji fanya Mr perfect ndo hii.Me nitawalaumu wazazi wako kwa kukutazama tu kijana wao unabalehe bila kukupa muongozo na utaratibu wa kuishi kama mtoto wa kiume.
Hivyo vitu unavyofanya ni distractions tu za kukutoa kwenye uhalisia. Sasa mtu unatazama movies, series na kucheza video games hauna interaction na makundi ya wanajamii kama wazee, vijana wenzako, mabinti, wanajumuiya mbali mbali zinazokuzunguka na mbaya zaidi unaishi mwenyewe, hayo ni maisha ya namna gani sasa?
DuhTayana-wog acha hayo ma emoji bhana😀😂
Leo nina furaha mbo, so sitaki matatizo 😀
SawaLeo nina furaha mbo, so sitaki matatizo 😀
Ume haribu hapo, kwenye emoji ya masikitiko 🙄.Sawa
Tugawane hiyo furaha basi
Wengine mna furaha,wengine tunaitafutaUme haribu hapo, kwenye emoji ya masikitiko 🙄.
👉Huzuni ya nini??, Au hutaki niwe na furaha😂
Furaha kwako ni ipi???,Wengine mna furaha,wengine tunaitafuta
Furaha gani hiyo??, Unayo itafuta??Wengine mna furaha,wengine tunaitafuta
NakuraniaFuraha gani hiyo??, Unayo itafuta??
uk mkuuUna taka visa ya kwenda wapi??,
Noti unzo??, Nimpigiee mtu chap.uk mkuu
😂😂😂bado hujaliaaka black dawg
ðŸ˜ðŸ˜ðŸ˜ðŸ˜¿
kuhusu noti ndo huzuni mkuuðŸ˜ðŸ˜ðŸ˜ majonzii sina kitu babaNoti unzo??, Nimpigiee mtu chap.
👉 Within 1 week,
mkuu usifanye utani ðŸ˜ðŸ˜ nahitaji faraja zenu😂😂😂bado hujalia
Pole mkuu , tupumzike. Labda kesho itakuwa ya faraja.mkuu usifanye utani ðŸ˜ðŸ˜ nahitaji faraja zenu
sawa mkuu kesho itakua huzuni maana kuna maandamano na yakioigwa mabomu ya machozi ni huzuni na vilioðŸ˜ðŸ˜Pole mkuu , tupumzike. Labda kesho itakuwa ya faraja.
Daah😂, kweli ni vilio 🥲🥲sawa mkuu kesho itakua huzuni maana kuna maandamano na yakioigwa mabomu ya machozi ni huzuni na vilioðŸ˜ðŸ˜
mSikitikoDaah😂, kweli ni vilio 🥲🥲