Starehe

Starehe

ndege JOHN

JF-Expert Member
Joined
Aug 5, 2015
Posts
21,643
Reaction score
51,642
Saa saba juu ya alama saa nikiitazama
Nimeshaachana na Jacki sasa namfata Salama
Saa kumi na mbili n'na appointment mademu wawili
Achana na Lily ambae tutakutana saa mbili
Jenny wa Mikocheni ambae sasa hayupo duniani
Aliyekuwa akinisubiria pale Vatcan Kijiweni
Amina na Semeni tunakutana kwa Macheni
Na kila siku nawabadilisha tena kwa foleni
Huo ndio uliokuwa mwenendo wa maisha yangu
Mimi viwanja kujivinjari na machangu, oh ooh
Niliona fahari-ii, yeah
Starehe mi nilizifanyia papara
Nilibadili mademu kama vidaladala
Nikienda nimepanda hili, nikirudi lile
Nilitamani starehe zote nizitawale
Hata kumkumbuka Mola wangu ilikuwa ndoto
Nilitekwa na ulimwengu kumbe naukimbilia moto
Katika kubadili wasichana nilikubuhu
Nilitembea na watoto wa geti, machangu na masista duu
Ubaya kwamba condom sikuitambua
Kwa kujua kwamba ladha ya mapenzi itapungua
Kumbe nilikuwa ninapotea njia
Niliyoshauriwa mimi niliyapuuzia
Idadi ya wanawake ikawa lukuki
Ikafika kipindi wengine nikawa siwakumbuki
Ona, ona, aah
Ona sasa yaliyonisibu kwa dada yake Bashiri
Nilishamsahau kama tulishakutana kimwili
Nilivyomuona, nikamtongoza tena
Tena kwa mara ya pili
Ona sasa, aah aah
 
Saa saba juu ya alama saa nikiitazama Nimeshaachana na Jacki sasa namfata Salama Saa kumi na mbili n'na appointment mademu wawili Achana na Lily ambae tutakutana saa mbili Jenny wa Mikocheni ambae sasa hayupo duniani Aliyekuwa akinisubiria pale Vatcan Kijiweni Amina na Semeni tunakutana kwa Macheni Na kila siku nawabadilisha tena kwa foleni Huo ndio uliokuwa mwenendo wa maisha yangu Mimi viwanja kujivinjari na machangu, oh ooh Niliona fahari-ii, yeah Starehe mi nilizifanyia papara Nilibadili mademu kama vidaladala Nikienda nimepanda hili, nikirudi lile Nilitamani starehe zote nizitawale Hata kumkumbuka Mola wangu ilikuwa ndoto Nilitekwa na ulimwengu kumbe naukimbilia moto Katika kubadili wasichana nilikubuhu Nilitembea na watoto wa geti, machangu na masista duu Ubaya kwamba condom sikuitambua Kwa kujua kwamba ladha ya mapenzi itapungua Kumbe nilikuwa ninapotea njia Niliyoshauriwa mimi niliyapuuzia Idadi ya wanawake ikawa lukuki Ikafika kipindi wengine nikawa siwakumbuki Ona, ona, aah Ona sasa yaliyonisibu kwa dada yake Bashiri Nilishamsahau kama tulishakutana kimwili Nilivyomuona, nikamtongoza tena Tena kwa mara ya pili Ona sasa, aah aah


😂😂😂
 
Saa saba juu ya alama saa nikiitazama Nimeshaachana na Jacki sasa namfata Salama Saa kumi na mbili n'na appointment mademu wawili Achana na Lily ambae tutakutana saa mbili Jenny wa Mikocheni ambae sasa hayupo duniani Aliyekuwa akinisubiria pale Vatcan Kijiweni Amina na Semeni tunakutana kwa Macheni Na kila siku nawabadilisha tena kwa foleni Huo ndio uliokuwa mwenendo wa maisha yangu Mimi viwanja kujivinjari na machangu, oh ooh Niliona fahari-ii, yeah Starehe mi nilizifanyia papara Nilibadili mademu kama vidaladala Nikienda nimepanda hili, nikirudi lile Nilitamani starehe zote nizitawale Hata kumkumbuka Mola wangu ilikuwa ndoto Nilitekwa na ulimwengu kumbe naukimbilia moto Katika kubadili wasichana nilikubuhu Nilitembea na watoto wa geti, machangu na masista duu Ubaya kwamba condom sikuitambua Kwa kujua kwamba ladha ya mapenzi itapungua Kumbe nilikuwa ninapotea njia Niliyoshauriwa mimi niliyapuuzia Idadi ya wanawake ikawa lukuki Ikafika kipindi wengine nikawa siwakumbuki Ona, ona, aah Ona sasa yaliyonisibu kwa dada yake Bashiri Nilishamsahau kama tulishakutana kimwili Nilivyomuona, nikamtongoza tena Tena kwa mara ya pili Ona sasa, aah aah
Thanks for this
P
 
bitozi nyangema anataka aitwe tupaki hivyo ni vijimambo tu wabongo tuna tittle kubwa lakini hatuna kitu

pro jay
 
Saa saba juu ya alama saa nikiitazama Nimeshaachana na Jacki sasa namfata Salama Saa kumi na mbili n'na appointment mademu wawili Achana na Lily ambae tutakutana saa mbili Jenny wa Mikocheni ambae sasa hayupo duniani Aliyekuwa akinisubiria pale Vatcan Kijiweni Amina na Semeni tunakutana kwa Macheni Na kila siku nawabadilisha tena kwa foleni Huo ndio uliokuwa mwenendo wa maisha yangu Mimi viwanja kujivinjari na machangu, oh ooh Niliona fahari-ii, yeah Starehe mi nilizifanyia papara Nilibadili mademu kama vidaladala Nikienda nimepanda hili, nikirudi lile Nilitamani starehe zote nizitawale Hata kumkumbuka Mola wangu ilikuwa ndoto Nilitekwa na ulimwengu kumbe naukimbilia moto Katika kubadili wasichana nilikubuhu Nilitembea na watoto wa geti, machangu na masista duu Ubaya kwamba condom sikuitambua Kwa kujua kwamba ladha ya mapenzi itapungua Kumbe nilikuwa ninapotea njia Niliyoshauriwa mimi niliyapuuzia Idadi ya wanawake ikawa lukuki Ikafika kipindi wengine nikawa siwakumbuki Ona, ona, aah Ona sasa yaliyonisibu kwa dada yake Bashiri Nilishamsahau kama tulishakutana kimwili Nilivyomuona, nikamtongoza tena Tena kwa mara ya pili Ona sasa, aah aah
20230216_183709.jpg
 
Back
Top Bottom