Starlink internet sasa yaingia Zambia, Wazambia sasa kupata internet ya kasi isiyo na kikomo

Starlink internet sasa yaingia Zambia, Wazambia sasa kupata internet ya kasi isiyo na kikomo

Uelewa wako ni mdogo sana kama jina lako. Haukustahili kuwa kiongozi hata hutuba za jina lako ni km mtu aliyepoteza matumaini.
Hiyo comment atakaelewa ni mtu mwenye akili kubwa ila kwa kuwa wewe ni chawa wa samia km mwijaku kwa elimu ya kuunga unga huwezi kuelewa.
Hapo umekariri ni uzwaaji wa bunduki tu. Wewe chawa na huyo boss wako mlitakiwa muwe bongo muvi km ile muvi ya Royal Tour
  • Unasilaha gani ulizozitengeneza mpk uuze?😁😁😁 Tangu 1961 hamjatengeneza bunduki mnanunua kwa fedha nyingi za kodi za watanzania. Hao wanajeshi wanafanya mazoezi ya kuvunja matofali kwenye tumbo na kukamata nguo zinazofanana na sare za jeshi. Kuhusu Marekani kuuza bunduki ni sawa kwasabb wanatengeneza, kwa uelewa wako mdogo umeelewa na Tanzania inatakiwa iuze bunduki kwenye maduka km marekani. Serikali yako wakiuza bunduki madukani km wamerekani wanajeshi watakosa bunduki hadi polisi. Kuhusu mauaji siyo kigezo cha kutokuuzwa bunduki km serikali ina ulinzi imara. Mbona wamerekani wanauza bunduki na hakuna hata kikundi cha boko haram au Islamic state?
  • Kwa akili ya bongo muvi ya uchawa ni sababu gani zinazozuia Starlink isifanye kazi Tanzania? Uchawa utakuua
  • Ni sababu gani tusipokee pesa kwa paypal? Kenya, Uganda mpk Ethiopia wanapokea pesa kwa paypal ila uchawa na ujinga wa viongozi hawajaruhusu. Unajua meua ndoto za watu wengi sana? Mtu katoka chuo, ametengeneza App yake anataka kuiuza dunia nzima ila shida ni njia ya malipo. Paypal hakuna
Umeizidi nini Marekani km unaona vyote ni haramu na bado unapokea misaada kwake? Tangu 1961 serikali ya ccm inahangaika na matundu ya choo tu na umeme wa mgao.
Nyie chawa na huyo mwenye jina mnawaza ccm ishinde kwa vyoyote kuliko kuangalia maendeleo ya wananchi
Ni ngumu sana chawa kukuelewa
 
Uelewa wako ni mdogo sana kama jina lako. Haukustahili kuwa kiongozi hata hutuba za jina lako ni km mtu aliyepoteza matumaini.
Hiyo comment atakaelewa ni mtu mwenye akili kubwa ila kwa kuwa wewe ni chawa wa samia km mwijaku kwa elimu ya kuunga unga huwezi kuelewa.
Hapo umekariri ni uzwaaji wa bunduki tu. Wewe chawa na huyo boss wako mlitakiwa muwe bongo muvi km ile muvi ya Royal Tour
  • Unasilaha gani ulizozitengeneza mpk uuze?😁😁😁 Tangu 1961 hamjatengeneza bunduki mnanunua kwa fedha nyingi za kodi za watanzania. Hao wanajeshi wanafanya mazoezi ya kuvunja matofali kwenye tumbo na kukamata nguo zinazofanana na sare za jeshi. Kuhusu Marekani kuuza bunduki ni sawa kwasabb wanatengeneza, kwa uelewa wako mdogo umeelewa na Tanzania inatakiwa iuze bunduki kwenye maduka km marekani. Serikali yako wakiuza bunduki madukani km wamerekani wanajeshi watakosa bunduki hadi polisi. Kuhusu mauaji siyo kigezo cha kutokuuzwa bunduki km serikali ina ulinzi imara. Mbona wamerekani wanauza bunduki na hakuna hata kikundi cha boko haram au Islamic state?
  • Kwa akili ya bongo muvi ya uchawa ni sababu gani zinazozuia Starlink isifanye kazi Tanzania? Uchawa utakuua
  • Ni sababu gani tusipokee pesa kwa paypal? Kenya, Uganda mpk Ethiopia wanapokea pesa kwa paypal ila uchawa na ujinga wa viongozi hawajaruhusu. Unajua meua ndoto za watu wengi sana? Mtu katoka chuo, ametengeneza App yake anataka kuiuza dunia nzima ila shida ni njia ya malipo. Paypal hakuna
Umeizidi nini Marekani km unaona vyote ni haramu na bado unapokea misaada kwake? Tangu 1961 serikali ya ccm inahangaika na matundu ya choo tu na umeme wa mgao.
Nyie chawa na huyo mwenye jina mnawaza ccm ishinde kwa vyoyote kuliko kuangalia maendeleo ya wananchi
Wewe K ni miongoni mwa watu mnaojionaga mmesoma sana kuliko wengine na mnajua sana kumbe ushuzi mtupu. Kwa sababu unaipenda sana Marekani tafuta mume akuoe uwe raia wa huko.
 
Hili linakuhusu Nape Nnauye kwa nini mnawawekea urasimu staring!? Kuwekeza katika sekta ya internet!?

Nahisi kuna harufu ya rushwa kubwa sana kwenye hili swala... kwa watoa Huduma&wizara yenye dhamana...

Maana hawa jamaa endapo wakitia maguu... huo ndio utakuwa mwisho wa huu wizi wa kimacho macho wa bando.

Urasimu wa nini? Dunia inaenda kasi sana kiteknolojia?

Napata wazo kuwa tunakoelekea kwa umakini wa huyu jamaa(Elon Musk).

Iko siku tutaweza kuaccess hii Satellite yake bila ya nchi kuhusishwa! (kwa special satellite chipsets) muda utaongea
Zitahongwa hata 100b ili nape akabiziwe aside akafsnya huo ujinga
 
View attachment 2777238
Sasa wambia kufuruhikia internet ya satellite hata ukiwa mashambani...Tanzania,Congo,Uganda tunajifikiria bado. walipofikia Kenya vitu vinashuka sisi bado tuko na bando zakupimiana GB.Mkonga wa taifa mixer 5G kuna watu hawataki ushindani.
Na usitegemee jipya kwa huyu ajuza hapa kwetu ,zitaletewa figisufigusi mpaka
 
Kuaccess satelite internet ni kitu rahisi sana,tena na starlink inavyosogea kwa nchi jirani,rwanda,kenya na sasa zambia ni jambo la muda tu watu tutakua nayo majumbani na tutalipia kwa safari com ya kenya kama ilivyo kwenye paypal tu [emoji3]
Sisi watu wanaotutawala ni kama manguruew tu kama nape ananenepiana tu huku wanachi wakiteswa
 
Wewe K ni miongoni mwa watu mnaojionaga mmesoma sana kuliko wengine na mnajua sana kumbe ushuzi mtupu. Kwa sababu unaipenda sana Marekani tafuta mume akuoe uwe raia wa huko.
Hapa ndio umedhihirisha uelewa wako umeshindwa hoja sasa umehamia kwenye matusi na kejeli, na wabongo wengi ndivyo tulivyo tukishashindwa kujibu hoja huwa tunakimbilia kuwaita waliotushinda wajuaji, kumbe in real sense tulioshindwa ndio hatujui basi tu defensive mechanism ili tusionekane tumeshashindwa
 
Hapa ndio umedhihirisha uelewa wako umeshindwa hoja sasa umehamia kwenye matusi na kejeli, na wabongo wengi ndivyo tulivyo tukishashindwa kujibu hoja huwa tunakimbilia kuwaita waliotushinda hoja wajuaji, kumbe in real sense tulioshindwa hoja ndio hatujui basi tu defensive mechanism ili tusionekane tumeshashindwa
Ficha upumbavu wako wewe. Mtu anayetaka Tanzania tuuziane silaha kiholela kama wanavyofanya Marekani ana hoja gani ya kujibiwa vizuri? Mimi sina haja ya kumjibu mpuuzi yeyote anayeona kila wanachofanya wazungu ni sahihi.
 
Ficha upumbavu wako wewe. Mtu anayetaka Tanzania tuuziane silaha kiholela kama wanavyofanya Marekani ana hoja gani ya kujibiwa vizuri? Mimi sina haja ya kumjibu mpuuzi yeyote anayeona kila wanachofanya wazungu ni sahihi.
Acha kurukaruka kama bisi kikaangoni, hoja yake ni kuwa haya tunayong'ang'ania sisi ili kujitofautisha na wazungu yametufikisha wapi kimaendeleo, zaidi ya kutufanya hadi leo tuko kwenye lindi la umasikini huku vitu muhimu kama (maji, umeme, afya, elimu, teknolojia) bora bado vikionekana ni anasa kwenye nchi yetu
 
Acha kurukaruka kama bisi kikaangoni, hoja yake ni kuwa haya tunayong'ang'ania sisi ili kujitofautisha na wazungu yametufikisha wapi kimaendeleo, zaidi ya kutufanya hadi leo tuko kwenye lindi la umasikini huku vitu muhimu kama (maji, umeme, afya, elimu, teknolojia) bora bado vikionekana ni anasa kwenye nchi yetu
Unavyomjibia umekuwa mkewe?
 
Safi sana, tutazinunuwa Zambia na Kenya tuzifunge tule uroda, kodi wapelekewe Wakenya na Wazambia.

Nape ni fala sana yakija masuala ya biashara. Haelewi kama wizara yake kwa dunia ya leo ina biashara kubwa kuliko yoyote ule, wizara hiyo apewe maharage mwenye uzowefu wa biashara za IT.

Nape Nnauye
 
Safi sana, tutazinunuwa Zambia na Kenye tuzifunge tule uroda, kodi wapelekewe Wakenya na Wazambia.

Nape ni fala sana yakija masuala ya biashara. Haelewi kama wizara yake kwa dunia ya leo ina biashara kubwa kuliko yoyote ule, wizara hiyo apewe maharage mwenye uzowefu wa biashara za IT.

Nape Nnauye
Kumbe kuna wakati we mzeee utimamu unakurejeaga
 
Kumbe kuna wakati we mzeee utimamu unakurejeaga
Mie miaka mingi sana natumia satellite internet, nilianza na niliyowachiwa na Wacanada waliokodisha shambani kwangu, walipoondoka baada ya mradi wao kusitishwa na mwenda zake 2016 wakaniachi na subscription ya miaka mitatu. Ilipokwisha nikaibadili nikawa natumia ya konnect, mpaka leo, nasubiri ya Musk naona haiji, sasa ntaiagiza Kenye au Zambia nijifaraguwe.

Mambo madogo kina Nape Nnauye wanayakuza wapate kuvimboisha matumbo yao kwa mkupuo, hawaelewi kwa kuwaruhusu mapema wawekeze halafu ndiyo unakula nao sahani moja kiulaini kabisa.

Nape kwenye masuala ya biashara za Kimataifa hana "exposure", ni mjinga mjinga fulani hivi.
 
Mie miaka mingi sana natumia satellite internet, nilianza na niliyowachiwa na Wacanada waliokodisha shambani kwangu, walipoondoka baada ya mradi wao kusitishwa na mwenda zake 2016 wakaniachi na subscription ya miaka mitatu. Ilipokwisha nikaibadili nikawa natumia ya konnect, mpaka leo, nasubiri ya Musk naona haiji, sasa ntaiagiza Kenye au Zambia nijifaraguwe.

Mambo madogo kina Nape Nnauye wanayakuza wapate kuvimboisha matumbo yao kwa mkupuo, hawaelewi kwa kuwaruhusu mapema wawekeze halafu ndiyo unakula nao sahani moja kiulaini kabisa.

Nape kwenye masuala ya biashara za Kimataifa hana "exposure", ni mjinga mjinga fulani hivi.

Nape aliteuliwa na unayemsifia kila siku!

Kubala tu mama kashindwa hata kujichagulia Waziri
 
Mie miaka mingi sana natumia satellite internet, nilianza na niliyowachiwa na Wacanada waliokodisha shambani kwangu, walipoondoka baada ya mradi wao kusitishwa na mwenda zake 2016 wakaniachi na subscription ya miaka mitatu. Ilipokwisha nikaibadili nikawa natumia ya konnect, mpaka leo, nasubiri ya Musk naona haiji, sasa ntaiagiza Kenye au Zambia nijifaraguwe.

Mambo madogo kina Nape Nnauye wanayakuza wapate kuvimboisha matumbo yao kwa mkupuo, hawaelewi kwa kuwaruhusu mapema wawekeze halafu ndiyo unakula nao sahani moja kiulaini kabisa.

Nape kwenye masuala ya biashara za Kimataifa hana "exposure", ni mjinga mjinga fulani hivi.

Nina KONNECT lakini speed yao ndogo na bei zao sio rafiki. 110,000 wanakuja 45gb. Hopeless
 
Wewe K ni miongoni mwa watu mnaojionaga mmesoma sana kuliko wengine na mnajua sana kumbe ushuzi mtupu. Kwa sababu unaipenda sana Marekani tafuta mume akuoe uwe raia wa huko.
Mkuu kusema kweli wewe una kichwa kigumu na una uelewa mdogo sana…
 
Back
Top Bottom