Starlink yawasilisha maombi ya leseni kwa TCRA. Je, safari hii watatoboa? Ushindani wa gharama na ubora wa internet utakuwaje?

Kama Wana vigezo watapewa leseni pasi na shaka
 
Naona raia wengine wa nairobi wanasema ndani ya jiji la nairobi speed si kubwa kwa sababu ya majengo kukaribiana na signal boosters za wanaotumia safaricom hivyo zinaingiliana na mawimbi ya starlink. Pia starlink wenyewe wamesitisha kuuza vifaa vyao wakisema watumiaji wamekuwa wengi kuliko bandwidth ya hapo.
Ila nje ya nairobi watu wanakula speed za kutosha mpaka mb 200 download speed.
 
Lazima watapelekwa kwenye rates zetu. Kuna taasisi moja iliundwa kwa ushirika na nchi za Ulaya, walikuwa na mpango wa kulipa mishahara minono kama ya Ulaya. Wizara ya fedha ikakataa, ikataka walipwe kwa ngazi za Tanzania. The same happened kwa TBL wakati inabinafsishwa kwa ubia.

Last time walipewa sharti wawe na ofisi Tanzania, may be mambo ya kodi, na kufanikisha udukuzi
 
Duuh too sad
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…