Vincenzo Jr
Platinum Member
- Sep 23, 2020
- 24,262
- 58,728
Hii nililipia cha 10mbps jana kutwa nzima ilikuwa inasoma 1mbps Moja nikiingia YouTube ndio inaniletea hiyo 1.7M/s hapoKitaalam kasi ya juu itasoma kiasi gani kutoka kwenye hiyo 1.7M/s inayosomeka hapo kwenye kifaa chako?