Starlink yawasilisha maombi ya leseni kwa TCRA. Je, safari hii watatoboa? Ushindani wa gharama na ubora wa internet utakuwaje?

Starlink yawasilisha maombi ya leseni kwa TCRA. Je, safari hii watatoboa? Ushindani wa gharama na ubora wa internet utakuwaje?

Tanzania imekubali starlink waingie nchini baada ya kelele nyingi za walaji( watanzania) kuililia kampuni hii IINGIE TANZANIA

Pengine ujio wa trump na Elon musk kushika mpini serikali imeona isiwe tabu ....

Moderator tadhadhalini msiunganishe hii mada yangu kama imeshindikana ni Bora ufute Tu haina shida
20241115_103959.jpg
 
Mi naona iko sawa kuna jirani yangu anatumia Airtel anasema analipia 115k ila anasema hakuna rangi haijui huduma mbovu na customer care mbovu...
Ila elon na Starkik ni 6500 ya KSH aambayo ni bei sawa tu na Speed ni 200Mbps
kununua vifaa ni KSH 88K = 1.7M

hiyo 130k ni basic plan😂

kuna mkenya nilimsikia anasema bora zuku tu
 
Back
Top Bottom