Vincenzo Jr
Platinum Member
- Sep 23, 2020
- 24,262
- 58,728
Hapo kwenye punguzo nimesikia sie wabongo tunaweza kuuziwa normal kit laki 8 na min kit laki 3 maana vifaa naskia vipo vya kutoshahapo itafaa
niliona May wanasema 88k itakua wamepunguza
na hua wana toa punguzo la 55% mara nyingine, mseleleko upo