Starlink yawasilisha maombi ya leseni kwa TCRA. Je, safari hii watatoboa? Ushindani wa gharama na ubora wa internet utakuwaje?

Makampuni ya simu yana pesa nyingi sana,kunahitajika viongozi wasioendekeza njaa kwenye kufanya maamuzi magumu yenye kuangalia maslahi mapana ya nchi......
Rosti tamu
 
Bei hazitofautiana sana, In economics there is something called oligopoly market structure na hizo internet service providers ziko katika soko la namna hiyo. Ingekua monopoly wangeweza kuweka bei wanazozitaka, kwa Kasi ndo Kuna ushindani Zaid na area of coverage
#No malice to anybody
 
Kwani serikali inashindwa nini kuwaacha ISP wote watoe huduma ya vifurushi wanavyoona wao inafaa, maana kila kitu ni ushindani, wao TCRA waangalie wasivunje sheria tu...hata ISP atoe 3 kwa 500 tatizo linakuwa wapi?
Kufanana kwa vifurushi inakuwa na maana gani kuwepo kwa mitandao yote, mimi naona kwenye vifurushi TCRA wawaache ISP's wafanye kipi kinafaa kwa wateja wao. Monopolization ndo best deals kwa sasa hicho wanachofanya ni sawa na kuwaumiza wananchi tu kufanya huduma iwe ghali pasipo saba u za msingi.

Ila kama TCRA kweli walitoa tangazo kuhusu ushirikishwaji wa wananchi juu ya StarLink, wao mbona wakati waliweka same packages ya vifurushi ISP hawajatushirikisha?

Wawache Starlink ili TTCL aamke maana ndio mama wa mkongo wa Taifa but bado kalala usingizi wa pono 😂
 
Ngoja tuone,kwasasa Nape hayupo na kipara labda tutatoboa!!

Ndio maana jk hana furaha coz democratic wameshindwa na wao ndio wanapenda vita vita ,sio trump ambaye hatoingilia mambo yetu na mama atapeta tuuuuuuu!!!
 
kampuni bila hata mtanzania kushika hisa what a https://jamii.app/JFUserGuide
 
Huyo msenge alioleta upumbavu huo ningemtukana straight away. Yani mtu anataka kulipa kwa rates za ulaya wewe unaleta ushenzi wa TGS D.
 
Wajiandae na mafuriko hapa Tanzania. Kumiliki starlink itakuwa sawa na kujenga kwako kuepuka kero za mwenye nyumba
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…