Stars ilivunjika baada ya Mohamed Hussein, Mzamiru Yassin na Himid Mao kutoka

Stars ilivunjika baada ya Mohamed Hussein, Mzamiru Yassin na Himid Mao kutoka

Kipindi cha kwanza timu ilikuwa kwenye balance nzuri lakini baada ya kutoka Mzamiru Yassin na Himid Mao ndipo kocha wa Uganda Micho aliona gap na yeye kuingiza wachezaji wenye Mindset za kushambulia na kutumia mwanya huo kuimaliza Stars.

Feisal hakutakiwa kucheza kabisa leo hakuwa na msaada kwenye timu anahitaji match fitness.

Pia nilishangaa kuona Dickson Job akicheza kiungo sababu hana uzoefu hata ethics za kucheza hiyo nafasi badala yake nilidhani Kapombe ndio angecheza kiungo halafu Job akabaki pale pale sababu Kapombe hiyo ni nafasi aliyokuwa anaitumikia kipindi anaingia Simba na anaimudu vilivyo.

Kocha amekosea sana kwenye Substitutions.
Hapo kwa Mohammed Hussein hamna kitu, alistahili kutoka kabisa. Mchezaji amepoteza mipira zaidi ya Mara tano kipindi cha kwanza unategemea kweli amuache. Timu inaacha wachezaji walio kwenye kiwango kizuri kwenye timu zao unaleta Ugali na Sukari. Kocha abebe lawama zote.
 
Kipindi cha kwanza timu ilikuwa kwenye balance nzuri lakini baada ya kutoka Mzamiru Yassin na Himid Mao ndipo kocha wa Uganda Micho aliona gap na yeye kuingiza wachezaji wenye Mindset za kushambulia na kutumia mwanya huo kuimaliza Stars.

Feisal hakutakiwa kucheza kabisa leo hakuwa na msaada kwenye timu anahitaji match fitness.

Pia nilishangaa kuona Dickson Job akicheza kiungo sababu hana uzoefu hata ethics za kucheza hiyo nafasi badala yake nilidhani Kapombe ndio angecheza kiungo halafu Job akabaki pale pale sababu Kapombe hiyo ni nafasi aliyokuwa anaitumikia kipindi anaingia Simba na anaimudu vilivyo.

Kocha amekosea sana kwenye Substitutions.
mohamed hussein na himid mao wote waliomba kutoka,tusilaumu kocha
 
Bila kuwa na Academy hakuna kinacho wezekana
Kwa Sasa academy haziwezekani tena watoto wanaingia shule kuanzia jumatatu hadi jumamosi na ni saa 12:30 asbh hadi 12:00 jioni huo mda wa kuandaa academy utapatikana wapi!?
Mi nadhani tuboreshe ligi usajili wa wageni uongezwe masharti ya Kodi yarekebishwe tuweke mishahara mizuri tupate Forward kama Shalulile na Percy Tau
 
Hapo kwa Mohammed Hussein hamna kitu, alistahili kutoka kabisa. Mchezaji amepoteza mipira zaidi ya Mara tano kipindi cha kwanza unategemea kweli amuache. Timu inaacha wachezaji walio kwenye kiwango kizuri kwenye timu zao unaleta Ugali na Sukari. Kocha abebe lawama zote.
Mohamed Husseni aliumia. Wewe ni Yanga tatizo linaanzia hapo
 
Kipindi cha kwanza timu ilikuwa kwenye balance nzuri lakini baada ya kutoka Mzamiru Yassin na Himid Mao ndipo kocha wa Uganda Micho aliona gap na yeye kuingiza wachezaji wenye Mindset za kushambulia na kutumia mwanya huo kuimaliza Stars.

Feisal hakutakiwa kucheza kabisa leo hakuwa na msaada kwenye timu anahitaji match fitness.

Pia nilishangaa kuona Dickson Job akicheza kiungo sababu hana uzoefu hata ethics za kucheza hiyo nafasi badala yake nilidhani Kapombe ndio angecheza kiungo halafu Job akabaki pale pale sababu Kapombe hiyo ni nafasi aliyokuwa anaitumikia kipindi anaingia Simba na anaimudu vilivyo.

Kocha amekosea sana kwenye Substitutions.
Na pia baada ya Mohamed Hussein kuumia nadhani angemrudisha Nova beki 3 then Kati angerudi Mwamnyeto
 
Uzuri Bongo kila mtu kocha,sijui mchambuzi na makorokocho kama hayo.

Mpira mchezo wa wazi .
 
Fei atafute timu mapema atapotea sio muda. Arudi huko Utopolo tu
 
Back
Top Bottom