Matteo Vargas
JF-Expert Member
- Jan 8, 2019
- 803
- 1,329
- Thread starter
- #21
Basi acha hiyo kitu ndugu nyanguNdiyo zangu hizo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Basi acha hiyo kitu ndugu nyanguNdiyo zangu hizo.
Hapo kwa Mohammed Hussein hamna kitu, alistahili kutoka kabisa. Mchezaji amepoteza mipira zaidi ya Mara tano kipindi cha kwanza unategemea kweli amuache. Timu inaacha wachezaji walio kwenye kiwango kizuri kwenye timu zao unaleta Ugali na Sukari. Kocha abebe lawama zote.Kipindi cha kwanza timu ilikuwa kwenye balance nzuri lakini baada ya kutoka Mzamiru Yassin na Himid Mao ndipo kocha wa Uganda Micho aliona gap na yeye kuingiza wachezaji wenye Mindset za kushambulia na kutumia mwanya huo kuimaliza Stars.
Feisal hakutakiwa kucheza kabisa leo hakuwa na msaada kwenye timu anahitaji match fitness.
Pia nilishangaa kuona Dickson Job akicheza kiungo sababu hana uzoefu hata ethics za kucheza hiyo nafasi badala yake nilidhani Kapombe ndio angecheza kiungo halafu Job akabaki pale pale sababu Kapombe hiyo ni nafasi aliyokuwa anaitumikia kipindi anaingia Simba na anaimudu vilivyo.
Kocha amekosea sana kwenye Substitutions.
mohamed hussein na himid mao wote waliomba kutoka,tusilaumu kochaKipindi cha kwanza timu ilikuwa kwenye balance nzuri lakini baada ya kutoka Mzamiru Yassin na Himid Mao ndipo kocha wa Uganda Micho aliona gap na yeye kuingiza wachezaji wenye Mindset za kushambulia na kutumia mwanya huo kuimaliza Stars.
Feisal hakutakiwa kucheza kabisa leo hakuwa na msaada kwenye timu anahitaji match fitness.
Pia nilishangaa kuona Dickson Job akicheza kiungo sababu hana uzoefu hata ethics za kucheza hiyo nafasi badala yake nilidhani Kapombe ndio angecheza kiungo halafu Job akabaki pale pale sababu Kapombe hiyo ni nafasi aliyokuwa anaitumikia kipindi anaingia Simba na anaimudu vilivyo.
Kocha amekosea sana kwenye Substitutions.
Kwa Sasa academy haziwezekani tena watoto wanaingia shule kuanzia jumatatu hadi jumamosi na ni saa 12:30 asbh hadi 12:00 jioni huo mda wa kuandaa academy utapatikana wapi!?Bila kuwa na Academy hakuna kinacho wezekana
Mohamed Husseni aliumia. Wewe ni Yanga tatizo linaanzia hapoHapo kwa Mohammed Hussein hamna kitu, alistahili kutoka kabisa. Mchezaji amepoteza mipira zaidi ya Mara tano kipindi cha kwanza unategemea kweli amuache. Timu inaacha wachezaji walio kwenye kiwango kizuri kwenye timu zao unaleta Ugali na Sukari. Kocha abebe lawama zote.
Basi acha hiyo kitu ndugu nyangu
Na pia baada ya Mohamed Hussein kuumia nadhani angemrudisha Nova beki 3 then Kati angerudi MwamnyetoKipindi cha kwanza timu ilikuwa kwenye balance nzuri lakini baada ya kutoka Mzamiru Yassin na Himid Mao ndipo kocha wa Uganda Micho aliona gap na yeye kuingiza wachezaji wenye Mindset za kushambulia na kutumia mwanya huo kuimaliza Stars.
Feisal hakutakiwa kucheza kabisa leo hakuwa na msaada kwenye timu anahitaji match fitness.
Pia nilishangaa kuona Dickson Job akicheza kiungo sababu hana uzoefu hata ethics za kucheza hiyo nafasi badala yake nilidhani Kapombe ndio angecheza kiungo halafu Job akabaki pale pale sababu Kapombe hiyo ni nafasi aliyokuwa anaitumikia kipindi anaingia Simba na anaimudu vilivyo.
Kocha amekosea sana kwenye Substitutions.
Kocha sijui kwanin hakuwaza km watz tulivyokuwa tunawazaNa pia baada ya Mohamed Hussein kuumia nadhani angemrudisha Nova beki 3 then Kati angerudi Mwamnyeto