Stars isipojifunza kwa Angola na Guinea tutapigwa hadi tuchakae

Stars isipojifunza kwa Angola na Guinea tutapigwa hadi tuchakae

mikakati yetu ya iwe mvua iwe jua lazima Morocco aachie point. Tusipate aibu ya kufungwa magoli mengi zaid afcon
 
Kama ngoma yaani kesho,ngoja ni bet kabisa ,tutachakaa yaani
 
Kusema kweli kabisa lazima tupigwe. Wakituhurumia sana ni 3-0
 
Kucheza na timu zenye uwezo mkubwa na wachezaji mahiri wanaocheza Ulaya timu zenye uzoefu mkubwa na heshima kubwa kisoka Afrika na duniani inabidi uingie uwanjani kupigana jihadi kwa jasho na damu ili kupata matokeo, tumeona namna ndugu zetu Msumbiji na Angola walivyong'ang'ania vigogo tishio kabisa Misri na Algeria na kupata alama.

Vivyo hivyo Guinea haikupewa nafasi kabisa dhidi ya wababe wa kihistoria Cameroon ila jamaa wamepambana mpaka kimeeleweka. Vipi Cape Verde kuwapiga Ghana hatujapata cha kujifunza? Nadhani kama nchi tumeenda AFCON tujue tumeingia kwenye mapambano hakuna kupigwa kinyonge lazima tuingie na mikakati yetu ya iwe mvua iwe jua lazima Morocco aachie point.

Wachezaji lazima wahusiwe mchezo dhidi ya morocco sio mechi NI VITA.

Ukiingia kwenye vita kuna chaguo moja kuua au kuuawa, Morocco hawaez kukubali matokeo ya sare au kushindwa na kibonde kutoka Afrika Mashariki watatumia kila mbinu kutuadhibu hivyo lazima tuingie na mpango wa kuishangaza dunia. Tumeamua kujitoa kwenye kundi la vibonde au kichwa cha mwendawazimu tuna deni la kuithibitishia dunia kwamba kweli tumetoka huko

Kazi kwenu timu ya hamasa na benchi la ufundi taifa stars wafikishieni ujumbe huu vijana wetu, heshima ya nchi ipo mikononi mwao

Wapambane kama hawatakuja kupambana tena hakika juhudi zao zitaandikwa kwa wino wa dhahabu na kuenziwa milele katika taifa la Tanzania

Mungu ibariki Tanzania [emoji1

Kucheza na timu zenye uwezo mkubwa na wachezaji mahiri wanaocheza Ulaya timu zenye uzoefu mkubwa na heshima kubwa kisoka Afrika na duniani inabidi uingie uwanjani kupigana jihadi kwa jasho na damu ili kupata matokeo, tumeona namna ndugu zetu Msumbiji na Angola walivyong'ang'ania vigogo tishio kabisa Misri na Algeria na kupata alama.

Vivyo hivyo Guinea haikupewa nafasi kabisa dhidi ya wababe wa kihistoria Cameroon ila jamaa wamepambana mpaka kimeeleweka. Vipi Cape Verde kuwapiga Ghana hatujapata cha kujifunza? Nadhani kama nchi tumeenda AFCON tujue tumeingia kwenye mapambano hakuna kupigwa kinyonge lazima tuingie na mikakati yetu ya iwe mvua iwe jua lazima Morocco aachie point.

Wachezaji lazima wahusiwe mchezo dhidi ya morocco sio mechi NI VITA.

Ukiingia kwenye vita kuna chaguo moja kuua au kuuawa, Morocco hawaez kukubali matokeo ya sare au kushindwa na kibonde kutoka Afrika Mashariki watatumia kila mbinu kutuadhibu hivyo lazima tuingie na mpango wa kuishangaza dunia. Tumeamua kujitoa kwenye kundi la vibonde au kichwa cha mwendawazimu tuna deni la kuithibitishia dunia kwamba kweli tumetoka huko

Kazi kwenu timu ya hamasa na benchi la ufundi taifa stars wafikishieni ujumbe huu vijana wetu, heshima ya nchi ipo mikononi mwao

Wapambane kama hawatakuja kupambana tena hakika juhudi zao zitaandikwa kwa wino wa dhahabu na kuenziwa milele katika taifa la Tanzania

Mungu ibariki Tanzania [emoji120]
Mkuu usijipe stress kwa stars hii!usitegemee makubwa kabisa!!
 
Unyonge uwa unatugharimu sana kuna mechi taifa stars tulikuwa tuna uwezo kabisa wa kushinda ila unyonge ndio uliotugharimu tukafungwa

Unyonge = uoga ulipitiliza.

Unyonge ni concepr ya kisasa tu kuhalalisha uoga
 
Yaani Chelsea hii inayopumulia mashine huko EPL ndio mchezaji wake atufanye wanyonge?

Hapana labda useme sababu nyinginezo
Hapo unapotosha, Martinez goalkeeper wa Argentine aliwanyima watu uhuru kombe la dunia lakini alikuwa anatokea timu ya Aston Villa iliyokuwa nafasi ya chini wakati huo.
Hoja yangu ni kuwa maandalizi mazuri ya mchezaji yeyote bila kuangalia anatokea timu gani inaweza kusababisha timu yake kufanya vizuri.
 
Kesho nasubiri mashabiki wa mchongo wa bongo akina mwijaku na mavigogo wa wizara na idara ya mpira huku mashabiki halisi wenye uwezo wa kujibrand kitamaduni na rangi za Taifa akina UTOPOLO wakibaki nchini. Namwamini shabiki mmoja tuu Bongozozo
 
Kesho nasubiri mashabiki wa mchongo wa bongo akina mwijaku na mavigogo wa wizara na idara ya mpira huku mashabiki halisi wenye uwezo wa kujibrand kitamaduni na rangi za Taifa akina UTOPOLO wakibaki nchini. Namwamini shabiki mmoja tuu Bongozozo
wakibaki nchini sio[emoji23]
 
Siasa zinaendelea huko Ivory Coast
IMG_9410.jpeg
 
Wasipopanic na kutojiona inferior wanaweza kuperform wonders!
 
Back
Top Bottom