Stars vs Moroco in JF

Duh, nitakuwa mkosefu wa fadhila nisiposema ahsanteni wadau yaani
kwa mara ya kwanza leo natazama mechi live kwenye Laptop yangu
ahsanteni wadau muliofanikisha hili, TBC uozo kabisa yaani hata kidogo
hawataki kuturushia...... Namkumbuka Tido huenda angekuwepo mambo
yangekuwa mazuri!
 
Reactions: SG8
ngoja tuone kipindi cha pili kitakuaje ila cha kwanza kwa ujumla tulielemewa japo ni draw mpaka sasa
 
Naamini 1-1 itawapa motisha Stars, kwamba wanaouwezo. Waliingia kwa uoga kipindi cha 2 nahisi, ndo maana hata kumiliki mpira ilikuwa kazi. Mungu atubariki tuweze kushinda kipindi cha pili.
kipindi cha pili bado ndugu.
 
Jamani mashabiki wa timu za wenzetu wanajua kushabikia.....yaani hadi raha...dah
 
tangu tulipogoma o level ili tuangalie mechi ya taifa starz, lakini ikagongwa 4 siipendi...bora wale madancer waliofika nne bora kule Nigeria kuliko hawa wacheza mpira..
 

Ungeweka na hiyo link basi tujue ni ipi uliyofanikwa na sio unabwabwaja tu......
 
Niger did it kwanini sie tusiweze? ila Algeria washapiga 2-0 huko Vs CAN.
 
rafu mbaya amecheza Dany Mrwanda, amepewa kadi ya njano
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…