GAZETI
JF-Expert Member
- Feb 24, 2011
- 5,286
- 6,736
Duh, nitakuwa mkosefu wa fadhila nisiposema ahsanteni wadau yaani
kwa mara ya kwanza leo natazama mechi live kwenye Laptop yangu
ahsanteni wadau muliofanikisha hili, TBC uozo kabisa yaani hata kidogo
hawataki kuturushia...... Namkumbuka Tido huenda angekuwepo mambo
yangekuwa mazuri!
kwa mara ya kwanza leo natazama mechi live kwenye Laptop yangu
ahsanteni wadau muliofanikisha hili, TBC uozo kabisa yaani hata kidogo
hawataki kuturushia...... Namkumbuka Tido huenda angekuwepo mambo
yangekuwa mazuri!