bado tuelekeze mnara kisarawe?
Kwangu mafundi waliniambia nielekeze Zanzibar....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
bado tuelekeze mnara kisarawe?
Startimes,sisi wateja wenu tunataka mboreshe station,sisi kama wateja wenu tunakosa huduma nyingi za soka mna shindwa nini kutuwekea station 1 au 2 zitakazokua zinatuonyesha mipira? Kama mna weza kununua kampuni ya africa ya kusini nini kinawashinda kusikia kilio chetu cha muda mrefu? Niaibu kuwa na kingamuzi chenu tena mnajitapa ninyi ni kampuni kubwa mnashindwa kutuwekea ligi ya uingereza? Embu jitafakarini kwa kina kama mnataka kuteka soko la tanzania,
Mkuu hebu fafanua zaidi hapo kwenye blue text....
Dish yenu itakuwa na channel ngapi, unaweza kuzitaja..??
Nina maswali hapa chini yanahitaji majibu,
1.Wakati mnasajili kampuni pale Brela,mliandika kuwa mtafanya kazi Tanania bara pekee na Zanzibar haiwahusu?
2.Je na Zanzibar mlisajili kampuni nyingine ya Star times?
3.Kama sivyo,kwanini ving'amuzi nyenu mnavyouza bara haviwezi kufanya kazi Zanzibar vivo hivyo kwa vinavyouzwa Zanzibar?
4.Je kama leseni yenu ya biashara mlichukua kwa ajili ya Jamhuri ya muungano wa Tanzania kwanini ukitoka na king'amuzi bara ukifika Zanzibar unaambiwa ulipie shilingi elfu sitini(60,000) ndio uweze kupata huduma Zanzibar?
5.Je ukinunua king'amuzi dar ukienda nacho Arusha hakifanyi kazi mpaka ulipie elfu sitini(60,000) ndio niweze kuona wakati ni ndani ya Jamhuri ya muungano wa Tanzania?
Nahitaji majibu ya maswali hayo na ukishindwa kujibu na kuleta visingizio ujue nyie ni wezi na wababaishaji na ni kati ya makampuni mengi tu yanayofanya wizi mkubwa kwa watanzania.
prince crown, startimes tunatambua kuwa watanzania wengi wanapenda sana mpira, tena hasa epl, lakini kwa bahati mbaya wakati startimes inaanza tanzania dstv alikuwa na exclusive right ya muda mrefu (kama sijakosea mpaka 2014 au 2015) kuonyesha epl alizopata toka g tv, hivyo si startimes pekee bali hakuna kampuni yeyote tanzania itakayoonyesha epl mpaka dstv amalize kipindi chake, na nikuhakikishie kutokana na ukuwaji wa kampuni ya startimes katika bara la afrika tunajua tunaweza kupata right za kuonyesha epl. Kwa sasa tumejitahidi tumepata right za kuonyesha uefa mpaka mwaka 2015 pia ligi ya ufaransa na italia.
Hata makampuni mengine ya ving'amuzi bado hawana right za kuonyesha epl ukiacha dstv tu kwa sasa.
Nina maswali hapa chini yanahitaji majibu,
1.Wakati mnasajili kampuni pale Brela,mliandika kuwa mtafanya kazi Tanania bara pekee na Zanzibar haiwahusu?
2.Je na Zanzibar mlisajili kampuni nyingine ya Star times?
3.Kama sivyo,kwanini ving'amuzi nyenu mnavyouza bara haviwezi kufanya kazi Zanzibar vivo hivyo kwa vinavyouzwa Zanzibar?
4.Je kama leseni yenu ya biashara mlichukua kwa ajili ya Jamhuri ya muungano wa Tanzania kwanini ukitoka na king'amuzi bara ukifika Zanzibar unaambiwa ulipie shilingi elfu sitini(60,000) ndio uweze kupata huduma Zanzibar?
5.Je ukinunua king'amuzi dar ukienda nacho Arusha hakifanyi kazi mpaka ulipie elfu sitini(60,000) ndio niweze kuona wakati ni ndani ya Jamhuri ya muungano wa Tanzania?
Nahitaji majibu ya maswali hayo na ukishindwa kujibu na kuleta visingizio ujue nyie ni wezi na wababaishaji na ni kati ya makampuni mengi tu yanayofanya wizi mkubwa kwa watanzania.
habari yako Joseph
startimes ni moja Dar, arusha, Zanzibar, Kenya, Burundi na kwingineko kote tuliko
tulipokuwa tunaanza kutoa huduma dar es salaam tulikuwa tunauza ving'amuzi vya DVBT1 lakini kutokana na kukua kwa technologia na kuangalia baadae kampuni iliamua kufunga mitambo iliyo advanced kidogo mikoa mingine ambayo yenyewe inakubali DVBT2 pekee, hii inamaanisha tuliamua kuanza kuuza ving'amuzi vya DVBT2 pekee mikoani. kwa hiyo kama ulinunua king'amuzi mwanzo Dar kwa kuwa vilikuwa DVBT1 hakitofanya kazi mikoani.
sasa ili kuwasaidia wateja wetu wanaohama toka dar tuliweka utaratibu kuwa mteja haimlazimu kununua king'amuzi kipya cha DVBT2 ila itampasa KULIPIA AKAUNTI YAKE angalau miezi 3 ya uhuru na sisi tutampatia KING'AMUZI KIPYA cha DVBT2. Hiyo 60000 hulipii kubadilisha king'amuzi, hapana! king'amuzi tunakubadilishia bureeee tena kipya ukilipia akaunti yako miezi 3 ya uhuru package. hii inamaana unaondoa usumbufu wa kwenda kulipia kila mwezi
elekezea mlingoti wako kisarawe teh ipo siku watasema kuzimu
hakuna mwanaume asiecheat labda kileo wa joyce kiria!
wise boy, habari yako, wateja wetu wengi arusha wanafurahia huduma zetu, kugandaganda kwa picha kunatokana na ufungaji usio sahihi wa antena yako au matatizo ya king'amuzi chako, tafadhari jaribu kuwasiliana na kituo cha huduma kwa wateja arusha watakupatia msaada ufurahie huduma zetu