Tetesi: Startimes kuonesha EPL baada ya siku 11 zijazo

Tetesi: Startimes kuonesha EPL baada ya siku 11 zijazo

FFS Watanzania Wamekua wakifurahia Vitu Visivyo na Maana Kila Siku Nimeskia wamefurahi Bomba la Mafuta la Uganda kupita Tanzania na Warwanda wakijenga Bomba la Kumwaga Mavi/maji machafu bahari ya Hindi bila shaka Mtafurahi Mkiongozwa na Mheshimiwa Bwege.



Back to the Topic ni wazi mnashangalia mpaka nguo zenu za Ndani zinaonekana labda tuu hamjui gharama za Urushaji wa EPL kampuni ya DSTV Kupitia kampuni ya Supersport zilianza kuonesha taangu mwaka 1993 ligi kuu ya Uingereza.


Hivi nakua najiuliza Startimes nayo ni ya Watanzania au Wachina? Sasa kwa Taarifa tuu Gharama za Kununua EPL Mnadani ni kama £300Million pesa hii ni sawa na TZS. 900,000,000,000/= Fikra za wananchi wa nchi ya wakwepa kodi wanafurahia wanaona eti Star Times ikichukua dili la kuonesha EPL itakua ikionesha kwa TZS. 10,000 No Bei itakua kati TZ150,000 Na kuendelea Kuiona EPL ili wakave cost na hiyo bei ya rights. Kwahiyo baada ya Ligi Ghali kuingia Startimes still middle na Lowerclass wataangalia mpira vibandani tuu licha ya kuwa na Ving'amuzi vya Startimes. hii Issur niliandika hivihivi Azam nao waliporokwa na hili na wakashindwa EPL ni Expensive na Ikiongezwa usije Ukafiri you will pay 50,000 , 10,000 au 5,000.


Tusishabikie bila Uelewa wa Cost ya EPL mimi ni huwa naokoa Cost kwa kustream na naunganisha kwa HDMI lakini DSTV ni Best katika Pay Tv Jamani.


Sorry for this Shit
bora umesema. kuna jamaa nabishana nae sana, zanzibar wanapata vimatangazo vya 'wizi' kutoka uarabuni, hakuna kampuny ya cable Tanzania yenye kibali cha ligi ya uingereza. ni Dstv pekee kusini mwa jangwa la sahara,
 
startimes wamekuja kutumia futsa watu wanapenda mpira ila bado hatupo serious
 
bora umesema. kuna jamaa nabishana nae sana, zanzibar wanapata vimatangazo vya 'wizi' kutoka uarabuni, hakuna kampuny ya cable Tanzania yenye kibali cha ligi ya uingereza. ni Dstv pekee kusini mwa jangwa la sahara,
Unapozungumza haya unajua gharama za decorder ya bein sports kwa mwaka ni kiasi gani?dstv wananyonya wananchi kwa kuwalipisha gharama za channel ambazo watu hawatazami....hivi kwa premium dstv unapata zaidi ya channel 200....za nini?hata kama ukiamua kukaa kwenye tv 24hrs huwezi kuangalia channel zote ndani ya mwezi..G sports walipokuja tz walionesha premier league kwa robo ya bei ya dstv....sasa ni wakati wa wananchi kwenda mahakamani kupinga exclusive rights za dstv hapa tz....huo mkataba ulifanywa bila kushirikisha watz.....
 
Unapozungumza haya unajua gharama za decorder ya bein sports kwa mwaka ni kiasi gani?dstv wananyonya wananchi kwa kuwalipisha gharama za channel ambazo watu hawatazami....hivi kwa premium dstv unapata zaidi ya channel 200....za nini?hata kama ukiamua kukaa kwenye tv 24hrs huwezi kuangalia channel zote ndani ya mwezi..G sports walipokuja tz walionesha premier league kwa robo ya bei ya dstv....sasa ni wakati wa wananchi kwenda mahakamani kupinga exclusive rights za dstv hapa tz....huo mkataba ulifanywa bila kushirikisha watz.....
kumbe naongea na mtu asiejua! bein sport hawaruhusiwi kusini mwa sahara!! wanaonunua dikoda zao ndio nakwambia wanaiba!! pengine hata hujui matangazo yana nunuliwaje - napoteza muda, hata mwanzo tulikuwa na dikoda za alijaazira, ulikuwa ni wizi!! ndio maana wanaolipia wanalipia katika nchi za kiarabu,wewe unawalipa wao ,wao wanatuma pesa uarabuni kulipia . hakuna ofisi zao tanzania.!!! !!!
 
Dstv wana exclusive rights kwa kusini mwa Africa. Star times labda waongee nao. Maana hii ni biashara.
 
Kama kweli itakuwa hivyo, itasaidia kuleta ushindani wa kibiashara
 
Unapozungumza haya unajua gharama za decorder ya bein sports kwa mwaka ni kiasi gani?dstv wananyonya wananchi kwa kuwalipisha gharama za channel ambazo watu hawatazami....hivi kwa premium dstv unapata zaidi ya channel 200....za nini?hata kama ukiamua kukaa kwenye tv 24hrs huwezi kuangalia channel zote ndani ya mwezi..G sports walipokuja tz walionesha premier league kwa robo ya bei ya dstv....sasa ni wakati wa wananchi kwenda mahakamani kupinga exclusive rights za dstv hapa tz....huo mkataba ulifanywa bila kushirikisha watz.....
G.sports ilikumbwa na ukata kwa mbwembe za nusu bei. Ikafa.
Bahati ninazo dikoda zote dstv.bein.aljazeera.abudhabi. najua ninachoandika. Bein huku ni wizi
 
hawawezi, soma post nimepost, dstv wana haki ya kusini mwa jangwa la sahara kuonyesha mpaka 2019
Sorry siyo EPL ilikuwa ni UEFA ndo aliyoniambia wako kwenye manzungumzo ya kuionyesha!
 
Ninachojua baada ya siku 11 wataanza kuonyesha Copa America
 
Back
Top Bottom