Startimes mmenigombanisha na mke wangu

Startimes mmenigombanisha na mke wangu

Kwa kifupi unatawaliwa na mwanamke, kitaalamu tunasema MWANAMKE AMEKUPANDA KICHWANI.
Ila kumbuka hizi tamthilia ni ratiba zao kuangalia kila siku na zipo kwa series, mimi ndo nilimuingilia
 
Ni kawaida yangu kurudi nyumbani kuanzia saa 3:30 usiku, ila leo nimelazimika kuwahi kurudi nyumbani (saa 1:00 jioni) kutokana na sababu zangu binafasi.

Kwakweli ni siku nyingi sijaangalia taarifa ya habari, hivyo ilipofika saa 2 usiku kwakuwa nimewahi kurudi nyumbani na sijagusa ulabu nilichukua rimoti ya TV nikaweka ITV ili niangalie taarifa ya habari, ghafla mke wangu alinirukia kama nyani na kuninyang'anya rimoti huku anahema.

Wakati namshangaa akanambia kwa ukali:

"usiniharibie starehe zangu, huu ni muda wa tamthilia, kama unapenda sana taarifa ya habari nunua TV ya chumbani".

Kwa upole ilinibidi nielekee chumbani kujilaza, na sitompa unyumba wiki nzima kwa kunikwaza.

USHAURI: Enyi Startimes heshimuni muda wa taarifa za habari, hizi tamthilia za wanawake wekeni mchana na jioni tu ili kuepusha migogoro ya familia.
Don't talk out loud,you lower the IQ of the whole street. [emoji2960]
 
Startimes hawana hio ratiba mkuu labda ungetaja channel husika.

Anyway hata ukimnyima hainaga makombo wakiichapa boda

Vidume vya humu ukivikuta kule MMU vibabe kweri kweriiii(kweli kweli)ila kumbe nje ya keyboards vinateseka sana kwa wake zao daah
Niliona siyo ishu kugombania rimoti
 
"Sitompa unyumba wiki nzima"

Mwanaume huwezi kususa !
Ngoja wanaume halisi watakusaidia
Namfahamu vzr mke wangu, hawezi kuchepuka kamwe, ana kinyaa sana na wanaume wa nje.
 
Nilijuaga unyumba ni mbususu tu.

Kwani kwako hawajui saa 2 ni muda wa kuangalia taarifa ya habari?
 
Kwani ni habari gn mpya mpaka saa moja usiku usiwe imeishaiskia ? Mpaka uangalie taarifa ya habari [emoji2297]
 
Kwani ni habari gn mpya mpaka saa moja usiku usiwe imeishaiskia ? Mpaka uangalie taarifa ya habari [emoji2297]
Kwenye TV unapata habari nyingi kwa kina tofauti na kwenye simu
 
Nilijuaga unyumba ni mbususu tu.

Kwani kwako hawajui saa 2 ni muda wa kuangalia taarifa ya habari?
Hawana tabia ya kuangalia taarifa ya habari
 
Back
Top Bottom