FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 38,920
- 44,970
ππππππ
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii kitu mimi huwa siwaelewagi wanawake, wako radhi hata mzipange kavu kavu lakini sio utoe tamthilia..., wala sio suala la kuwa na sauti nyumbani, ni hali ya ajabu tu ipo..Shida sio startimes, shida ni kwamba huna sauti nyumbani kwako.
Wao wamekuwemea channel mbalimbali uchague mwenyewe
Wanawake wengi hawapendi habari, wanapenda umbea na kudanganywa (maigizo).Hii kitu mimi huwa siwaelewagi wanawake, wako radhi hata mzipange kavu kavu lakini sio utoe tamthilia..., wala sio suala la kuwa na sauti nyumbani, ni hali ya ajabu tu ipo..
Mkuu umemaliza kabisa,kama bado hujanywa chai,agiza nakuja kulipaNaona alufu ya utoto
Na tangazo
Mwanamke hawezi hata kuhoji chochote nilipokaa na nikiwa nafanya chochote,mleta Uzi atakuwa ameanza kupoteza quality ya uanaume,na sauti yake haina mamlaka tenaJe, wewe waona ni busara mwanaume kugombania rimoti na mwanamke?
π π π Huyo anajiwakilisha mwenyewe. Sisi wengine hatuhusikiStartimes hawana hio ratiba mkuu labda ungetaja channel husika.
Anyway hata ukimnyima hainaga makombo wakiichapa boda
Vidume vya humu ukivikuta kule MMU vibabe kweri kweriiii(kweli kweli)ila kumbe nje ya keyboards vinateseka sana kwa wake zao daah
Kwahy mkuu umeamua kumziria mwanamke au startime na swala la unyumba na kuzuiwa kuangalia taarifa ya habari kuna uhusianoNi kawaida yangu kurudi nyumbani kuanzia saa 3:30 usiku, ila leo nimelazimika kuwahi kurudi nyumbani (saa 1:00 jioni) kutokana na sababu zangu binafasi.
Kwakweli ni siku nyingi sijaangalia taarifa ya habari, hivyo ilipofika saa 2 usiku kwakuwa nimewahi kurudi nyumbani na sijagusa ulabu nilichukua rimoti ya TV nikaweka ITV ili niangalie taarifa ya habari, ghafla mke wangu alinirukia kama nyani na kuninyang'anya rimoti huku anahema.
Wakati namshangaa akanambia kwa ukali:
"usiniharibie starehe zangu, huu ni muda wa tamthilia, kama unapenda sana taarifa ya habari nunua TV ya chumbani".
Kwa upole ilinibidi nielekee chumbani kujilaza, na sitompa unyumba wiki nzima kwa kunikwaza.
USHAURI: Enyi Startimes heshimuni muda wa taarifa za habari, hizi tamthilia za wanawake wekeni mchana na jioni tu ili kuepusha migogoro ya familia.
Ni kawaida yangu kurudi nyumbani kuanzia saa 3:30 usiku, ila leo nimelazimika kuwahi kurudi nyumbani (saa 1:00 jioni) kutokana na sababu zangu binafasi.
Kwakweli ni siku nyingi sijaangalia taarifa ya habari, hivyo ilipofika saa 2 usiku kwakuwa nimewahi kurudi nyumbani na sijagusa ulabu nilichukua rimoti ya TV nikaweka ITV ili niangalie taarifa ya habari, ghafla mke wangu alinirukia kama nyani na kuninyang'anya rimoti huku anahema.
Wakati namshangaa akanambia kwa ukali:
"usiniharibie starehe zangu, huu ni muda wa tamthilia, kama unapenda sana taarifa ya habari nunua TV ya chumbani".
Kwa upole ilinibidi nielekee chumbani kujilaza, na sitompa unyumba wiki nzima kwa kunikwaza.
USHAURI: Enyi Startimes heshimuni muda wa taarifa za habari, hizi tamthilia za wanawake wekeni mchana na jioni tu ili kuepusha migogoro ya familia.
Taarifa za habari siku hiz tunazipata kwenye simuIla wanawake kwanini hampendi taarifa za habari?