Startimes mmenigombanisha na mke wangu

Startimes mmenigombanisha na mke wangu

Hii kitu mimi huwa siwaelewagi wanawake, wako radhi hata mzipange kavu kavu lakini sio utoe tamthilia..., wala sio suala la kuwa na sauti nyumbani, ni hali ya ajabu tu ipo..
Wanawake wengi hawapendi habari, wanapenda umbea na kudanganywa (maigizo).
 
Mkuu hiyo nyumba haina sauti ya mwanaume.Startimes umewasingizia tu
 
Je, wewe waona ni busara mwanaume kugombania rimoti na mwanamke?
Mwanamke hawezi hata kuhoji chochote nilipokaa na nikiwa nafanya chochote,mleta Uzi atakuwa ameanza kupoteza quality ya uanaume,na sauti yake haina mamlaka tena
 
Startimes hawana hio ratiba mkuu labda ungetaja channel husika.

Anyway hata ukimnyima hainaga makombo wakiichapa boda

Vidume vya humu ukivikuta kule MMU vibabe kweri kweriiii(kweli kweli)ila kumbe nje ya keyboards vinateseka sana kwa wake zao daah
πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜… Huyo anajiwakilisha mwenyewe. Sisi wengine hatuhusiki
 
Ni kawaida yangu kurudi nyumbani kuanzia saa 3:30 usiku, ila leo nimelazimika kuwahi kurudi nyumbani (saa 1:00 jioni) kutokana na sababu zangu binafasi.

Kwakweli ni siku nyingi sijaangalia taarifa ya habari, hivyo ilipofika saa 2 usiku kwakuwa nimewahi kurudi nyumbani na sijagusa ulabu nilichukua rimoti ya TV nikaweka ITV ili niangalie taarifa ya habari, ghafla mke wangu alinirukia kama nyani na kuninyang'anya rimoti huku anahema.

Wakati namshangaa akanambia kwa ukali:

"usiniharibie starehe zangu, huu ni muda wa tamthilia, kama unapenda sana taarifa ya habari nunua TV ya chumbani".

Kwa upole ilinibidi nielekee chumbani kujilaza, na sitompa unyumba wiki nzima kwa kunikwaza.

USHAURI: Enyi Startimes heshimuni muda wa taarifa za habari, hizi tamthilia za wanawake wekeni mchana na jioni tu ili kuepusha migogoro ya familia.
Kwahy mkuu umeamua kumziria mwanamke au startime na swala la unyumba na kuzuiwa kuangalia taarifa ya habari kuna uhusiano
 
Ni kawaida yangu kurudi nyumbani kuanzia saa 3:30 usiku, ila leo nimelazimika kuwahi kurudi nyumbani (saa 1:00 jioni) kutokana na sababu zangu binafasi.

Kwakweli ni siku nyingi sijaangalia taarifa ya habari, hivyo ilipofika saa 2 usiku kwakuwa nimewahi kurudi nyumbani na sijagusa ulabu nilichukua rimoti ya TV nikaweka ITV ili niangalie taarifa ya habari, ghafla mke wangu alinirukia kama nyani na kuninyang'anya rimoti huku anahema.

Wakati namshangaa akanambia kwa ukali:

"usiniharibie starehe zangu, huu ni muda wa tamthilia, kama unapenda sana taarifa ya habari nunua TV ya chumbani".

Kwa upole ilinibidi nielekee chumbani kujilaza, na sitompa unyumba wiki nzima kwa kunikwaza.

USHAURI: Enyi Startimes heshimuni muda wa taarifa za habari, hizi tamthilia za wanawake wekeni mchana na jioni tu ili kuepusha migogoro ya familia.

Kaka sikushangai kushikwa, weka app kwenye simu angalia taarifa ya habari.
 
Baada ya kipindi cha awamu ya magufuri taarifa ya habari nzima kuwa ya kujisifia tu Magufuri niliacha kuangalia taarifa ya habari mpaka leo habari yangu imekuwa azam two
 
Taarifa za habari siku hiz tunazipata kwenye simu
Yani nijiunge bundle la kuangalia taarifa ya habari kwa zaidi ya dakika 20 kila siku?

Ni afadhali kujiunga kifurushi cha king'amuzi utafaidi vipindi vingi
 
6c7484a39c8cfb802c5203cede98f45d.jpg
 
Back
Top Bottom