Aaron Arsenal
JF-Expert Member
- Jul 24, 2014
- 24,501
- 28,711
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nipe maandiko tufunge siku 40Kama wanaitambua pasaka wanaitambua bila shaka hata kwaresma nayo wanaitambua vizuri tu.
Haya maisha bhana... kila mtu huwa yanamgonga kwa style yake.
Ww unaamini wakristo niwale wanaovaa misalaba shingoni, na kufata mienendo ya kipagan kama roma
Mkuu Wala sio hisia, Ni Kama tunavyoelekezwa huwezi shindana na Marekani kiuchumi kwa Sasa. Na tayari mfumo uko hivyo, tukubaliane bila kutukanana.Na hapo we sio mzungu wala mtaliano au mvatican ni mtu 1 mweusi mwenye hisia kali kuliko wenye dini yao
lakini mkuu unaonaje tuishi kwa mila na desturi za Kiafrika itaondoa hii kupigania imani au dini za watu nchi zingineMkuu Wala sio hisia, Ni Kama tunavyoelekezwa huwezi shindana na Marekani kiuchumi kwa Sasa. Na tayari mfumo uko hivyo, tukubaliane bila kutukanana.
Mleta mada alitaka kujua why jumatano na sio Jumanne au alhamis Ni imejibiwa vizuri sana. I'll zitimie siku 40 (ukiondoa jumapili za Kwaresma hatufungi). Badala yake anatoa kashfa.
Hao wanaofufua watu kwa kuigiza kuwa wamekufa? Waache kuchezea bibliaSema wakristo wakatoliki. Sio wakristo wote maana kuna wasabato nadhani haya mambo wala hawayajui, kuna walokole, kuna mashahidi wa yehova, mormons nk. Usipende kauli jumlishi, ni dalili za ujinga.
Hivi kwa nini Wasabato likitajwa jina la Romani Katoliki povu linakuwa juu sana.?Sema wakristo wakatoliki. Sio wakristo wote maana kuna wasabato nadhani haya mambo wala hawayajui, kuna walokole, kuna mashahidi wa yehova, mormons nk. Usipende kauli jumlishi, ni dalili za ujinga.
Siyo wakristo sema Roman catholic RC na watoto wake ndo utamaduni wao wakupakana majivu siyo fundisho la Biblia hayo ni mapokeo ya RomaWakristo tunafunga siku 40! Sasa basi cku ya jpili huwa Hakuna kufunga kwani ni cku ya bwana! Sasa kwa wiki tunafunga cku 6 (ukitoa kila jumapili ambayo hatufunahi) ukichukua majuma 6 tunayofunga unapata siku 36! Sasa ili zikamilike cku 40 ndio unaanza j5 ya majivu mpaka jmos kuna cku 4! Sasa unajumlisha cku 36 na siku 4 ndio unapata cku 40! Lkn kama ingekuwa tunafunga mpaka jpili bc UTARATIBU UNGEBADILIKA! Hivyo ndivyo nijuavyo mimi ! Kama kuna mjuzi mwingine ajuae TOFAUTI na hivyo basi naomba ATUELIMISHE ZAIDI!
Sent using Jamii Forums mobile app
Unamuuliza nani sister?Hivi kwa nini Wasabato likitajwa jina la Romani Katoliki povu linakuwa juu sana.?
Sent using Jamii Forums mobile app
kwa sababu ni mnyama wa kutisha audanganyaye ulimwengu woteHivi kwa nini Wasabato likitajwa jina la Romani Katoliki povu linakuwa juu sana.?
Sent using Jamii Forums mobile app
Thank you Sir
fundisho hilo unalipata kutoka katika kitabu cha nani kwenye Biblia,au mapokeo ya ROMAAsh Wednesday=" its The seventh Wednesday before Easter and the first day of Lent, on which many Christians receive a mark of ashes on the forehead as a token of penitence and mortality".
Katika siku za Agano la Kale na pia katika Agano Jipya, kama tulivyosikia katika Maandiko Matakatifu ya kuwa ikiwa mtu alikuwa ametenda dhambi, alivaa nguo za magunia na kujipaka majivu katika mwili wake (Rej. Yer 6:26). Tendo hili tunalofanya leo la kupakwa majivu, linatokana na desturi hiyo ya kiroho ya kufanya toba.Siyo wakristo sema Roman catholic RC na watoto wake ndo utamaduni wao wakupakana majivu siyo fundisho la Biblia hayo ni mapokeo ya Roma
Katika siku za Agano la Kale na pia katika Agano Jipya, kama tulivyosikia katika Maandiko Matakatifu ya kuwa ikiwa mtu alikuwa ametenda dhambi, alivaa nguo za magunia na kujipaka majivu katika mwili wake (Rej. Yer 6:26). Tendo hili tunalofanya leo la kupakwa majivu, linatokana na desturi hiyo ya kiroho ya kufanya toba.fundisho hilo unalipata kutoka katika kitabu cha nani kwenye Biblia,au mapokeo ya ROMA
Katika siku za Agano la Kale na pia katika Agano Jipya, kama tulivyosikia katika Maandiko Matakatifu ya kuwa ikiwa mtu alikuwa ametenda dhambi, alivaa nguo za magunia na kujipaka majivu katika mwili wake (Rej. Yer 6:26). Tendo hili tunalofanya leo la kupakwa majivu, linatokana na desturi hiyo ya kiroho ya kufanya toba. Katika ulimwengu wa wayahudi majivu yalikuwa ni alama ya huzuni, masumbuko, uchungu au uduni (Rej. Ayubu 2:8, 30:19; Zab 102:10).Ww unaamini wakristo niwale wanaovaa misalaba shingoni, na kufata mienendo ya kipagan kama roma
Sent using Jamii Forums mobile app
wakristo wa kwanza walitumia kupakana majivu katika kitabu cha nani kwenye BibliaKatika siku za Agano la Kale na pia katika Agano Jipya, kama tulivyosikia katika Maandiko Matakatifu ya kuwa ikiwa mtu alikuwa ametenda dhambi, alivaa nguo za magunia na kujipaka majivu katika mwili wake (Rej. Yer 6:26). Tendo hili tunalofanya leo la kupakwa majivu, linatokana na desturi hiyo ya kiroho ya kufanya toba. Katika ulimwengu wa wayahudi majivu yalikuwa ni alama ya huzuni, masumbuko, uchungu au uduni (Rej. Ayubu 2:8, 30:19; Zab 102:10). Baadaye utamaduni huu wa kupakana majivu ulitumiwa na wakristo wa kwanza kama alama ya toba.