lukindo
JF-Expert Member
- Mar 20, 2010
- 8,466
- 9,038
Karibu jf.
Nadhani suala la ITV/EATV limewapa funzo na nimefurahishwa na jinsi mlivyoamua kujisafisha kwa kusema kuwa hamuusiki na 'kuchafua' channels zao hivyo walau kujivua lawama za kuwahujumu. Na habari njema zaidi naona kuanzia jana scratch walau zimepungua.
Nadhani suala la ITV/EATV limewapa funzo na nimefurahishwa na jinsi mlivyoamua kujisafisha kwa kusema kuwa hamuusiki na 'kuchafua' channels zao hivyo walau kujivua lawama za kuwahujumu. Na habari njema zaidi naona kuanzia jana scratch walau zimepungua.