1xbet Sports - EA
JF-Expert Member
- Feb 27, 2017
- 789
- 729
Startimes wanazingua sana, hawaeleweki kabisa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Labda kwa wafanyakazi wake ukiwemo wewe.Hakuna kampuni ya VISIMBUSI yenye kujali wateja wake na ya gharama nafuu yenye kukidhi hali ya MTANZANIA wa hali ya juu ya kati na ya chini kama STARTIMES.
hahahaaLabda kwa wafanyakazi wake ukiwemo wewe.
Continental ni king’amuzi cha wasukuma na wasabato. Kama una legacy ya hizo factor mbili huwez kukiachaNilitaka kuachana na continental niwe na startimes kama ni hivyo basi bora nibaki tu.
Maana continental nao ni janga ila bora kuliko haya ya startimes.
Lake zone kuna mambo. Bila shaka huyu jamaa ni beki wa koromije starsmi nahitaji mawasiliano na juma a k a mchina shalobalo contact yangu ni 0744205199 (charles Marwa nipo mwanza
email. lucasrichard375@gmail.com
Mkuu nimecheka sana maana kuna jamaa yangu ni msabato na anatumia continental decoderContinental ni king’amuzi cha wasukuma na wasabato. Kama una legacy ya hizo factor mbili huwez kukiacha
AhahahaMkuu nimecheka sana maana kuna jamaa yangu ni msabato na anatumia continental decoder
Hua najiuliza huyu jamaa anapata kitu gani special kumbe ni zile kwaya zao [emoji23] [emoji23]
Pole sana asee,usirudie matapishi.Startimes nimegundua nimatapeli..walitushawish tulipie kifurushi na kupata offer ya mwezi mzima badala yake ukinunia kifurushi hicho..wanakata na kurudisha kifurushi cha mwanzo huu ni utapeli na kukatisha tamaa wateja
Mfano mimi nina dish..nilinunua kifurushi cha smart kwa agreement ya kupata supper channell..badala ya hata pasaka haijaisha washakata...huu ni utapeli kama utapeli mwingine
Na kunaatangazo mengi Magic fm...wakati huu ni utapeli wa wazi..badirikeni
Pia..kwa sasa ni msimu wa uchaguzi kenya..ila dish hata channel moja ya kenya haimo...hivi startimes mna nino hasa cha kumvutia mtazamaji hadi aweke hela ya kifurushi kama hamna hata ubunifu wa kuweka channel.za kenya
Its a big shame kwa industry kubwa kama yenu..hapa nilipo najuta why nilinunua dish...