Startimes waoneshaji rasmi wa Kombe la Dunia 2018 Urusi

Startimes waoneshaji rasmi wa Kombe la Dunia 2018 Urusi

Habari yako Capt Tamar, startimes ya sasa sio startimes ya mwanzo, tuna decoder COMBO, ambazo ni 2 in 1 (satelite na telestrial) pia ni HD decoder (ndizo ziko sokoni sasa), pia tuna SMART Decoder (tembelea maduka yetu utajionea), pia startimes decoder tumeanza kufanyia 'OUTUPDATE' ambapo zinajiupdate directly huko!

pia nataka nikwambie mvua ikinyesha ni decoder ya startimes pekee kwa sasa ambayo huwa haiathiriwi na mvua ukilinganisha na decoder zingine!

Tafadhari kama decoder yako inakusumbua fika katika duka letu lilipo karibu nawe utabadilishiwa

View attachment 786433


View attachment 786434
Decorder Combo naomba kufahamu gharama zake tafadhali
 
Lazima utakuwa unalipwa!! Decorder gani ya StarTimes Tanzania ina slot ya HDMI? Kwanza ukiwa bondeni kidogo tu inakatakata,nimeanza kutumia startimes mwaka 2010 na sijawahi kuona tofauti yoyote hadi sasa,picha zinaganda vilevile,zina kivuli vilevile,Startimes bado wana safari ndefu ili kuwaridhisha watazamaji wenu! Msiishie tu kuangalia idadi ya wateja,ni lazima tu mngekuwa na wateja wengi maana muliwahi soko,tulitegemea mngekuwa mbadala wa DSTV kwenye issue ya bei na ubora ila mumeishia kwenye bei tu! Ubora bado sana!!
we ni muongo...startimes hata inyeshe mvua ngoma inashika tu...alafu kama kitu hujui uliza...ving'amuzi vya startimes vipo vya HD vina slot za HDMI na USB
 
Ni kweli sijaona mvua zikiathiri upokeaji wa Signals, hili nakubaliana na wewe kiongozi
 
Hizo chanel zinapatikana kwenye kifurushi gani na shilingi ngapi?

habari yako Coolant chanel hizo utazipata utapolipia kuanzia kifurushi cha mambo kwa DTT na smart kwa DTH, pia wale wataolipia kifurushi cha nyota nao watapata kupitia SPORT FOCUS
 
Nyie matapeli.
Mbona mmepuuza agizo la serikali la kuonyesha bila malipo local channels kama itv, startv, tv1?
 
Na kama Nina cha zamani nataka kubadilisha nalipia gharama ngapi kubadilisha
Jibu please
 
Ila muweke option ya english kwenye matangazo ya world cup, kwa kiswahili watangazaji wanaweka uswahili mwingi na ushabiki wao hawawi neutral katika kazi zao, pia kiswahili hakina hamasa na mzuka sana kwenye soka la tv, pia wachambuzi wa kiswahili wanakuwa na irrelevant stories kwenye uchambuzi
 
Ila muweke option ya english kwenye matangazo ya world cup, kwa kiswahili watangazaji wanaweka uswahili mwingi na ushabiki wao hawawi neutral katika kazi zao, pia kiswahili hakina hamasa na mzuka sana kwenye soka la tv, pia wachambuzi wa kiswahili wanakuwa na irrelevant stories kwenye uchambuzi

Pale tbc kuna mwl kashasha mkuu,
hutojuta kumsikiliza.
 
Ila muweke option ya english kwenye matangazo ya world cup, kwa kiswahili watangazaji wanaweka uswahili mwingi na ushabiki wao hawawi neutral katika kazi zao, pia kiswahili hakina hamasa na mzuka sana kwenye soka la tv, pia wachambuzi wa kiswahili wanakuwa na irrelevant stories kwenye uchambuzi

tunashukuru kwa maoni yako, tutafikisha idara husika
 
naomba kuelezewa zaidi juu ya hiyo smart decoder je naweza kuiunganisha na internet?
 
Back
Top Bottom