Startimes waoneshaji rasmi wa Kombe la Dunia 2018 Urusi

Startimes waoneshaji rasmi wa Kombe la Dunia 2018 Urusi

Walipotangaza kuonesha michuano ya kombe la dunia maana yake ni kuonesha michezo yote 64, unless kwenye taarifa yao wangebainisha idadi ya mechi watazoonesha, but wamekua too general which means mechi zote 64 zitaonesha Live
Faru Kabula hapa ndo nlipokuambia mkuu
 
Habari zenu!

Tunapenda kuwajulisha watanzania wote kuwa Startimes tumekuwa ni waonyeshaji rasmi wa michuano ya kombe la dunia Russia 2018 itakayo anza June 14 mpaka July 15 2018. Wateja wetu wamekuwa wakitoa maoni kuongeza michuano mbali mbali katika king'amuzi chetu, hivyo nasi tumeonelea kuanzia sasa kuanza kuwekeza sana kwenye michezo hasa mpira wa miguu!

Startimes kwa sasa ndio "PAY TV Operator" mwenye wateja wengi kuliko 'Operators" wengine wote africa. Ndani ya miaka 10 tuliyokuwepo africa sasa tumeanza kuweka nguvu zetu katika hili. Kwa kuanza tumeanza kupata right katika baadhi ya ligi kubwa duniani kama

1. Bundesliga "exclusive right'
2. Seria A
3. International champions Cups
4. World cup
5. Confederation cup

Ukiangalia hapo awali ligi zote hizi watanzania walikuwa wanaangalia kwa gharama za juu sana na wengi wao walikuwa wanashindwa kumudu gharama hizi, lakini toka tumekuja africa tumejitahidi kuzipata na kuziweka katika "platform" yetu ambapo watanzania wengi wanaweza kumudu gharama zake

Pia hivi karibuni tumeanza mpango wa kuhakikisha tuna pata right za kuonyesha ligi zingine kubwa, ili watanzania wafurahie hata wale wasioweza kulipa gharama kubwa. Ligi ambazo hivi sasa tunafanyia kazi kuzipata ni

1. Premier League
2. La liga!

Tunaamini michezo ni kwa kila mtu, mwenye kipato kidogo na pia mwenye kipato kikubwa, hivyo basi kama ilivyo dhamira yetu kuhakikisha kila mtanzania anafurahia vipindi bora kwa bei nafuu, hivyo hata michezo na ligi hizi tunataka watu wote wapate na wafurahie kwa bei ndogo.

[HASHTAG]#kombeladuniakiswazi2018startimes[/HASHTAG]
Vipi kuhusu malipo,kwani naamini kuna station zinazopaswa kuoneshwa bila malipo ajabu ni TBC One tu ndo free channel kwanini ITV, Star Tv na Channel 10 nazo zisiwe fee channel?
 
Faru Kabula hapa ndo nlipokuambia mkuu

Kumbuka swali langu nililitoa mapema tu, wala hukujibu. Umekuja kujibu baada ya wao StarTimes kuwa wamenipa jibu. Angalia StarTimes wamenipa jibu katika post namba 21, wewe ukaja ukatoa jibu hilo hilo katika post namba 24. Kwa lugha nyingine hutakiwi kusema "nilikuambia"

upload_2018-5-25_15-17-47.png
 
Hilo neno.WAONESHAJI RASMI WA KOMBE LA DUNIA.limekaa kitapeli sanaaa.na linanikera kwa kweli.
aliyewachagua kuwa rasmi ni nani?kwani wenzenu sio waonyeshaji rasmi?
 
Hilo neno.WAONESHAJI RASMI WA KOMBE LA DUNIA.limekaa kitapeli sanaaa.na linanikera kwa kweli.
aliyewachagua kuwa rasmi ni nani?kwani wenzenu sio waonyeshaji rasmi?
Unajua maana ya COPY RIGHT?
 
Hilo neno.WAONESHAJI RASMI WA KOMBE LA DUNIA.limekaa kitapeli sanaaa.na linanikera kwa kweli.
aliyewachagua kuwa rasmi ni nani?kwani wenzenu sio waonyeshaji rasmi?
Official broadcast..hata hao wengne wanaeza kua waoneshaji rasmi as long as wamepewa hiyo right na FIFA ambao ndio wamiliki wa WORLD CUP
 
Kuonesha ni tofauti na copy right mkuu.maana unaweza usiwe na hati miliki, lakin ukaonesha kwa kuchukua kwa mwenye copy right kulingana na makubaliano yenu.
Kwa hyo dstv watachukua matangazo kwa star times?
 
startimes naombeni ghatama za vifurushi vyenu kwwa mwezi ka sasa lets say maisha tsh
uhuru tsh
na vinginevyo vyote ipi tutaona kombe la dunia na pesa ngapi italipwa maana nataka nifanye biashara ya kuonyesha mpira kwa kiingilio
 
habari, Tissaphernes, tunashukuru kwa maoni ila tunakuhakikishia tunalifanyia kazi hili kwa uzuri sana, hivi sasa tumeanzisha chanel zetu za mpira, ambazo zipo kwa mfumo wa HD, kwa hiyo usiwa na shaka kabisa, lakini pia tunajaribu sana kuboresha ving'amuzi vyetu viwe na mifumo ya HD,

kukuhakikishia tu mechi zote za world cup yote zitakuwa mfumo wa HD
Iyo HD itatokea automatically akati hata hamtoi nyaya za HDMI?
 
Habari zenu!

Tunapenda kuwajulisha watanzania wote kuwa Startimes tumekuwa ni waonyeshaji rasmi wa michuano ya kombe la dunia Russia 2018 itakayo anza June 14 mpaka July 15 2018. Wateja wetu wamekuwa wakitoa maoni kuongeza michuano mbali mbali katika king'amuzi chetu, hivyo nasi tumeonelea kuanzia sasa kuanza kuwekeza sana kwenye michezo hasa mpira wa miguu!

Startimes kwa sasa ndio "PAY TV Operator" mwenye wateja wengi kuliko 'Operators" wengine wote africa. Ndani ya miaka 10 tuliyokuwepo africa sasa tumeanza kuweka nguvu zetu katika hili. Kwa kuanza tumeanza kupata right katika baadhi ya ligi kubwa duniani kama

1. Bundesliga "exclusive right'
2. Seria A
3. International champions Cups
4. World cup
5. Confederation cup

Ukiangalia hapo awali ligi zote hizi watanzania walikuwa wanaangalia kwa gharama za juu sana na wengi wao walikuwa wanashindwa kumudu gharama hizi, lakini toka tumekuja africa tumejitahidi kuzipata na kuziweka katika "platform" yetu ambapo watanzania wengi wanaweza kumudu gharama zake

Pia hivi karibuni tumeanza mpango wa kuhakikisha tuna pata right za kuonyesha ligi zingine kubwa, ili watanzania wafurahie hata wale wasioweza kulipa gharama kubwa. Ligi ambazo hivi sasa tunafanyia kazi kuzipata ni

1. Premier League
2. La liga!

Tunaamini michezo ni kwa kila mtu, mwenye kipato kidogo na pia mwenye kipato kikubwa, hivyo basi kama ilivyo dhamira yetu kuhakikisha kila mtanzania anafurahia vipindi bora kwa bei nafuu, hivyo hata michezo na ligi hizi tunataka watu wote wapate na wafurahie kwa bei ndogo.

[HASHTAG]#kombeladuniakiswazi2018startimes[/HASHTAG]
Huo mpira mtaonesha kwenye channel namba ngapi?
 
Nyie acheni kupotosha umma,

Mnaposema Startimes ndo waonyeshaji rasmi wa kombe la dunia 2018, ina maana Dstv wao ni waonyeshaji wasio rasmi???

Yaani ndugu wana jf, kuliko ununue king'amuzi cha hawa Startimes, bora ununue dstv utapata mambo mengi mno.

Hawa wababaishaji...

Msipigwe upofu na lugha yao laini ya kubembeleza hapa.
 
Back
Top Bottom