Habari yako
Capt Tamar, startimes ya sasa sio startimes ya mwanzo, tuna decoder COMBO, ambazo ni 2 in 1 (satelite na telestrial) pia ni HD decoder (ndizo ziko sokoni sasa), pia tuna SMART Decoder (tembelea maduka yetu utajionea), pia startimes decoder tumeanza kufanyia 'OUTUPDATE' ambapo zinajiupdate directly huko!
pia nataka nikwambie mvua ikinyesha ni decoder ya startimes pekee kwa sasa ambayo huwa haiathiriwi na mvua ukilinganisha na decoder zingine!
Tafadhari kama decoder yako inakusumbua fika katika duka letu lilipo karibu nawe utabadilishiwa
View attachment 786433
View attachment 786434