Ukimaliza kunywa bia kakojowe, ujambe, ulale.Niliwaelewa sana cdm kutokwenda mahakamani baada ya dhalimu kupora uchaguzi wa 2020.
Na pia najua ni kwanini wazungu hawako tayari migogoro yao kuamuliwa kesi zao kwenye hizi mahakama kibogoyo.
Machafuko, ama mapinduzi ya kijeshi ndio yatarejesha heshima ya mifumo yetu ya kiutawala.
He kumbe bia zinajambisha nilikua sijuiUkimaliza kunywa bia kakojowe, ujambe, ulale.
Kuna binaadam asiyejamba?He kumbe bia zinajambisha nilikua sijui
Msikiti utatulia tu.Ukimaliza kunywa bia kakojowe, ujambe, ulale.
Duh!Rostam alishaliweka wazi mapema!!
Wewe akili zako ni za kibongo 100%. Kazi kukosoa huku hujafanya chochote. Kwanza nikuulize: Ni lini yalishaitishwa maandamano kuhusu hili suala? Hakuna maandamano yaliyokwishafanyika. Pili kuomba mchango ni kuonyesha kutojiandaa? Wewe unadhani hata wangejiandaa miaka kumi, gharama za kuendesha kesi zingeshuka kutoka juu? Si lazima zingechangwa na by the way kuchanga ni njia nzuri kabisa ya kuwashirikisha wananchi!huu mkataba watanzania wengi walikataa naposema watanzania wa pande zote mbili bara na visiwani, binafsi nimekutana na wananchi wa kawaida wa visiwani wanasema wazi huu muungano unavunjika sababu ya swala la bandari . Hii inaonyesha tatizo la muungano kwa upande wa Zanzibar lipo Kwa viongozi na sio wananchi wa kawaida.
Hili jambo kilikuwa linatuunganisha site bila kujali dini, kabila au misimamo ya vyama ila Kuna watu Kwa kutaka umaarufu walilivuruga,walilivurugaje?
Maandamano yalitakiwa yafanyike nchi nzima hasa maeneo yaliyoathirika na mikataba. Lakini Kuna watu waliandaa maandamano Kwa kurupuka ndio maana mwitikio ilikuwa Mdogo kama maandamano yangeandaliwa vizuri yangepata sapoti kubwa maana hata hao polisi wanaupinga huu mkataba.
Hata kesi iliyofunguliwa ilifunguliwa Kwa haraka ndio maana baadae wakawa wanaomba michango inaonyesha hawakujiandaa. Mkataba wa Do world unagusa sehemu nyingi ikiwemo ardhi hivyo lilitakiwa jopo la wanasheria wabobezi wa ardhi kama Shivji, wenye utaalamu wa uwekezaji kama Nshala na nyanja nyingine lazima serikali ingebanwa tu wasingepata pa kitokea.
Hata Allah anajamba anapomaliza kuwalala mabikira wake.Kuna binaadam asiyejamba?
Kwani kuna aliyewazuia nyie mnaojivuta kufanya mnayoona ni sahihi? Unataka kuonyesha walioamua kuchukua hatua mapema ndio wamewakwamsha na kuwazuia nyie. Hayo yote uliyotaja mnaweza kuyatekeleza hata sasa.huu mkataba watanzania wengi walikataa naposema watanzania wa pande zote mbili bara na visiwani, binafsi nimekutana na wananchi wa kawaida wa visiwani wanasema wazi huu muungano unavunjika sababu ya swala la bandari . Hii inaonyesha tatizo la muungano kwa upande wa Zanzibar lipo Kwa viongozi na sio wananchi wa kawaida.
Hili jambo kilikuwa linatuunganisha site bila kujali dini, kabila au misimamo ya vyama ila Kuna watu Kwa kutaka umaarufu walilivuruga,walilivurugaje?
Maandamano yalitakiwa yafanyike nchi nzima hasa maeneo yaliyoathirika na mikataba. Lakini Kuna watu waliandaa maandamano Kwa kurupuka ndio maana mwitikio ilikuwa Mdogo kama maandamano yangeandaliwa vizuri yangepata sapoti kubwa maana hata hao polisi wanaupinga huu mkataba.
Hata kesi iliyofunguliwa ilifunguliwa Kwa haraka ndio maana baadae wakawa wanaomba michango inaonyesha hawakujiandaa. Mkataba wa Do world unagusa sehemu nyingi ikiwemo ardhi hivyo lilitakiwa jopo la wanasheria wabobezi wa ardhi kama Shivji, wenye utaalamu wa uwekezaji kama Nshala na nyanja nyingine lazima serikali ingebanwa tu wasingepata pa kitokea.
Mwisho umeandikaHabari za Wakati huu;
Nimepitia hukumu ya kesi ya IGA ambayo imetolewa na mahakama kuu kanda ya Mbeya.
Nimetafakari kwa uchache tu namna ambavyo hukumu hii imeandikwa. Kwanza nimejikuta najiuliza hivi Mahakimu hawa ndio walioandika hii hukumu au hii hukumu iliandikwa na DPW kisha wakatumiwa waisome?
Kwanza kabisa hukumu kwa ujumla wakili inakubaliana na Ukweli kwamba MKATABA wa DPW ni BATILI. Ila katika hukumu wamejivua uwajibikaji.
kinachoendelea sasa hivi hapa TANZANIA ni kitu kinaitwa STATE CAPTURE-Utekaji wa Nchi.Kwa nini ninasema ni State Capture? Hizi ndio sababu:
Sasa tufanyeje?
- Kwanza Sheria kadhaa zimerekebishwa katikamrengo wa kutaka kujenga mazingira ya kulinda maslahi ya DPW
- Pili tunaona namna ambavyo mahakama yetu imeshindwa kutimiza wajibu wa kisheria na kikatiba na kubaki na kigugumizi
- Tatu tuliona namna Bunge lilivyoendesha Mchakato wa kupitisha na hasa kwa kuzingatia kwamba mkataba huu ulikuja Bungeni kwa kuchelewa na kwa kimya
- Nne Tunaona namna ambavyo viongozi wa serikali akiwamo Rais SSH wanavohangaika kuutetea huu mkataba ambao kimsingi hauna maslahi na watanzania
Karibuni kwa Mjadala zaidi.
- Kwanza kabisa Niwaalike Watanganyika POPOTE pale walipo washiriki katika kupinga jambo hili kwa kadiri ya nafasi na uwezo wao
- Pili Tanganyika na Watanganyika wote tutambue kwamba Watoto wetu watakuja kutulaumu na kutulaani
- Mwisho kwa wale ambao wanazo nafasi za kuhamasisha tuhamasishane sasa tuangalie namna ya kufanya Demonstration za kitaifa katika kila Mkoa,KIla Wilaya,Kila Mtaa na kila kijiji pamoja na wake zetu na watoto na marafiki tuandamane kwa pamoja kutetea Nchi yetu,Tanganyika yetu na Rasilimali zetu.
- Huu ni wito wangu Binafsi,Na mimi Tayari hapa nilipo ninajiandaa kwenda Dodoma kwa ajili ya Kuanza Maandamano Ampapo natarajia kufika Dodoma Tarehe 16 August.Nitaanza Maandamano hayo kutokea Dar es Salaam.Kwa yeyote ambaye yuko Tayari kushiriki anzia Popote Pale Ulipo Tukutane Dodoma Kuanzia Tarehe 16 August.
Tunataka Tanhanyika yetu na tunataka Serikali isikie sauti ya Wananchi.
Acheni ujingaa ..Dr. Wilbrod Slaa - Rais na baraza lake la mawaziri yaani kabineti lenye jumla ya watu wasiozidi 30 wameteka nchi
Alama za nyakati zipo kila mahali kuonesha nchi imehodhiwa na watu wachache ..
Nchi hazipinduliwi na wskuu wa majeshi! Rejea vyeo vya maaskari waliojaribu kumpindua Nyerere!Mapinduzi pekee yanayoweza kufanyika ni ya humu Jamii Forum huko mtaani ukijaribu utaumia vibaya sana.
Mkuu wa majeshi Mabeyo alimhakikishia utii rais Samia siku ile wakati wa msiba wa JPM kule Chato.
Sio kwa Tanzania hii mkuu Bulesi, hii ni nchi yenye wana CCM wengi huko jeshini na huwa wanateuliwa kuwa wakuu wa mikoa ya pembezoni kwa mkakati maalum.Nchi hazipinduliwi na wskuu wa majeshi! Rejea vyeo vya maaskari waliojaribu kumpindua Nyerere!
wewe mwenye akili za ulaya umefanya Nini?Wewe akili zako ni za kibongo 100%. Kazi kukosoa huku hujafanya chochote. Kwanza nikuulize: Ni lini yalishaitishwa maandamano kuhusu hili suala? Hakuna maandamano yaliyokwishafanyika. Pili kuomba mchango ni kuonyesha kutojiandaa? Wewe unadhani hata wangejiandaa miaka kumi, gharama za kuendesha kesi zingeshuka kutoka juu? Si lazima zingechangwa na by the way kuchanga ni njia nzuri kabisa ya kuwashirikisha wananchi!
Kesi imeenda vizuri mno mno, na mahakama imeonyesha udhaifu mkubwa kwani imekubali mkataba siyo halali ila wakaogopa kutoa amri ya ni nini kifanyike.
Unaelewa unachoandika wewe..hivi tatizo ni kuona au kusikia wizi na utapeli unaofanyika au tatizo ni kuchukua hatua dhidi ya wizi na utapeli unapofanyika..unaweza kuweka huo ustaarabu mpya hata nchi nzima kuona kila linalofanyika lkn bila kuchukua hatua yote hayo ni BURE!Rais Samia alisema ndani ya miezi sita atakuwa akisoma moja kwa moja kile kinachofanyika pale ikulu akiwa ofisini kwake Dodoma au Dar.
Kuna ustaarabu mpya kabisa wa kimaisha unaenda kuwakuta wachache waliozoea maisha ya wizi na utapeli pale bandarini.
Mbinu yao ya kutegemea kuuhadaa umma wa watanzania humu mitandaoni imekwenda kukwama mazima.
Unateseka ukiwa wapi kamanda?Yanahitajika mapinduzi makubwa sana nchi hii. Kisiasa, Kijamii na Kiuchumi.
Kikubwa ni Kijamii. Uhuru wa Mtanzania unaenda kuratibiwa na Wakoloni wetu wote hivi karibuni, Wazungu na Waarabu na hivi sasa Wazanzibari na wafiadini. Tusikubali hali hii.
CCM must go. Wakae wajitafakari na kujitathmini
Amani ikufikie.