State Capture and Treason in Tanzania & Tanganyika -The Port Saga

State Capture and Treason in Tanzania & Tanganyika -The Port Saga

10 August 2023
Mbeya, Tanzania

Dkt. Tulia - "Waliokwenda Mahakamani, Walikwenda Kupuyanga"



Spika wa bunge Dr. Tulia Ackson watu leo wameangushiwa kitu kizito mahakamani wameanguka chali .

Spika Tulia Ackson awasomea sehemu ya hukumu kupitia kifaa mpakato cha tabuleti huku akifafanua ktk lugha ya kiswahili kwa upeo na mtizamo wake maneno katika hukumu iliyoandikwa kwa lugha ya English ..... Suffice to state,
here and now, that the petitioners' interpretation of the provision is outrightly off the mark, if not far-fetched.


Spika Dr. Tulia Ackson anakwenda kunukuu zaidi hukumu ya Mahakama Kuu ... In the whole, we find that the invocation of Article 28 (1) and (3) of the URT Constitution as a testimony of erosion of sovereignty is utterly erroneous, as issues of sovereignty under the provision are limited to defence and security. We resist the temptation of stretching the import of the said provision to cover matters of trade and investment as Mr. Ngalimitumba sought to impress....

Spika Tulia ashutumu njia ya maandamano kupiga mkataba kwani wataishia kuvunjwa miguu ... Mahakama Kuu hii ni ya kikatiba au kwa maneno mengine yaliyonyooka ni Mahakama ya Katiba hivyo tafsiri ya leo katika hukumu kuhusu ni mkataba au makubaliano tumeipata asisitiza Spika Tulia kuwa ni makubaliano kama ilivyosomeka ktk hukumu ya mahakama kuu leo ...
 
huyu Samia ni hatariiiiiiiiii katiba Ibara ya 34 inasemaaaa......
 
10 Agosti 2023
Buhongwa, Ilemela
Tanzania

Tundu Lissu azungumzia hukumu ya mahakama kuu ya kanda ya Mbeya, awachambua majaji na mahakama kukosa uhuru

 
Niliwaelewa sana cdm kutokwenda mahakamani baada ya dhalimu kupora uchaguzi wa 2020.

Na pia najua ni kwanini wazungu hawako tayari migogoro yao kuamuliwa kesi zao kwenye hizi mahakama kibogoyo.

Machafuko, ama mapinduzi ya kijeshi ndio yatarejesha heshima ya mifumo yetu ya kiutawala.
Mimi nafikiri badala ya maandamano tungeangalia namna ya kuchangishana fedha tuwalipe Wagner waje kutusaidia kuing'oa hii serikali ya kipumbavu ya CCM kutoka madarakani.
 
Kongole Mwambukusi na the Team WAZALENDO Kwa ushindi.

Court imethibitisha kuwa mkataba wa DP World ni FAKE na BATILI Kwa HOJA mlizoweka mezani.

Tukutane mahakama ya rufaa.
 
Habari za Wakati huu;

Nimepitia hukumu ya kesi ya IGA ambayo imetolewa na mahakama kuu kanda ya Mbeya.

Nimetafakari kwa uchache tu namna ambavyo hukumu hii imeandikwa. Kwanza nimejikuta najiuliza hivi Mahakimu hawa ndio walioandika hii hukumu au hii hukumu iliandikwa na DPW kisha wakatumiwa waisome?

Kwanza kabisa hukumu kwa ujumla wakili inakubaliana na Ukweli kwamba MKATABA wa DPW ni BATILI. Ila katika hukumu wamejivua uwajibikaji.

kinachoendelea sasa hivi hapa TANZANIA ni kitu kinaitwa STATE CAPTURE-Utekaji wa Nchi.Kwa nini ninasema ni State Capture? Hizi ndio sababu:
  1. Kwanza Sheria kadhaa zimerekebishwa katikamrengo wa kutaka kujenga mazingira ya kulinda maslahi ya DPW
  2. Pili tunaona namna ambavyo mahakama yetu imeshindwa kutimiza wajibu wa kisheria na kikatiba na kubaki na kigugumizi
  3. Tatu tuliona namna Bunge lilivyoendesha Mchakato wa kupitisha na hasa kwa kuzingatia kwamba mkataba huu ulikuja Bungeni kwa kuchelewa na kwa kimya
  4. Nne Tunaona namna ambavyo viongozi wa serikali akiwamo Rais SSH wanavohangaika kuutetea huu mkataba ambao kimsingi hauna maslahi na watanzania
Sasa tufanyeje?
  1. Kwanza kabisa Niwaalike Watanganyika POPOTE pale walipo washiriki katika kupinga jambo hili kwa kadiri ya nafasi na uwezo wao
  2. Pili Tanganyika na Watanganyika wote tutambue kwamba Watoto wetu watakuja kutulaumu na kutulaani
  3. Mwisho kwa wale ambao wanazo nafasi za kuhamasisha tuhamasishane sasa tuangalie namna ya kufanya Demonstration za kitaifa katika kila Mkoa,KIla Wilaya,Kila Mtaa na kila kijiji pamoja na wake zetu na watoto na marafiki tuandamane kwa pamoja kutetea Nchi yetu,Tanganyika yetu na Rasilimali zetu.
  4. Huu ni wito wangu Binafsi,Na mimi Tayari hapa nilipo ninajiandaa kwenda Dodoma kwa ajili ya Kuanza Maandamano Ampapo natarajia kufika Dodoma Tarehe 16 August.Nitaanza Maandamano hayo kutokea Dar es Salaam.Kwa yeyote ambaye yuko Tayari kushiriki anzia Popote Pale Ulipo Tukutane Dodoma Kuanzia Tarehe 16 August.
Karibuni kwa Mjadala zaidi.

Tunataka Tanhanyika yetu na tunataka Serikali isikie sauti ya Wananchi.
🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏 Mungu akubariki sana hakika Mahakama ya Tanzania ni mavi matupu, nafahamu vyombo vya Usalama wako makini na jambo hili na wanajua halifai tuwepo muda hadi mwisho tuone jitihada za libibi zitaishia wapi wanamchora tu.
 
Live : Mbowe akiwa Nasio Ukerewe Operation+255#KATIBA MPYA # BANDARI ZETU

KURUDISHA MADARAKA KWA WANANCHI KUPITIA KATIBA MPYA



Nchi imekuwa mateka wa viongozi wachache wa chama dola kongwe.

Maelfu wajitokeza kusikia habari ya umuhimu wa wananchi kuelewa katiba mpya inagusa maisha yote ikiwemo mfumo wa haki jinai, mahakama, serikali ya vijiji n.k na itawarudishia Wananchi mamlaka ya kuwadhibiti viongozi wa chama tawala kiwe cha CHADEMA au CCM, wasisitiza viongozi wa CHADEMA
 
Mwisho umeandika
Tunataka Tanhanyika yetu....daah nimecheka sana. Yaani umesoma hukumu lakini hamna nukuu ata moja umeweka hapa. Kwanini tusiseme wewe muongo?
Mkuu,LABDA MM NI MUONGO ILA NDO UWEZO WANGU UMEFIKIA HAPO.KAMA UNATAKA VIFUNGU VYA SHERIA AU HUKUMU UTAVIPATA MUDA MWINGINE
 
Habari za Wakati huu;

Nimepitia hukumu ya kesi ya IGA ambayo imetolewa na mahakama kuu kanda ya Mbeya.

Nimetafakari kwa uchache tu namna ambavyo hukumu hii imeandikwa. Kwanza nimejikuta najiuliza hivi Mahakimu hawa ndio walioandika hii hukumu au hii hukumu iliandikwa na DPW kisha wakatumiwa waisome?

Kwanza kabisa hukumu kwa ujumla wakili inakubaliana na Ukweli kwamba MKATABA wa DPW ni BATILI. Ila katika hukumu wamejivua uwajibikaji.

kinachoendelea sasa hivi hapa TANZANIA ni kitu kinaitwa STATE CAPTURE-Utekaji wa Nchi.Kwa nini ninasema ni State Capture? Hizi ndio sababu:
  1. Kwanza Sheria kadhaa zimerekebishwa katikamrengo wa kutaka kujenga mazingira ya kulinda maslahi ya DPW
  2. Pili tunaona namna ambavyo mahakama yetu imeshindwa kutimiza wajibu wa kisheria na kikatiba na kubaki na kigugumizi
  3. Tatu tuliona namna Bunge lilivyoendesha Mchakato wa kupitisha na hasa kwa kuzingatia kwamba mkataba huu ulikuja Bungeni kwa kuchelewa na kwa kimya
  4. Nne Tunaona namna ambavyo viongozi wa serikali akiwamo Rais SSH wanavohangaika kuutetea huu mkataba ambao kimsingi hauna maslahi na watanzania
Sasa tufanyeje?
  1. Kwanza kabisa Niwaalike Watanganyika POPOTE pale walipo washiriki katika kupinga jambo hili kwa kadiri ya nafasi na uwezo wao
  2. Pili Tanganyika na Watanganyika wote tutambue kwamba Watoto wetu watakuja kutulaumu na kutulaani
  3. Mwisho kwa wale ambao wanazo nafasi za kuhamasisha tuhamasishane sasa tuangalie namna ya kufanya Demonstration za kitaifa katika kila Mkoa,KIla Wilaya,Kila Mtaa na kila kijiji pamoja na wake zetu na watoto na marafiki tuandamane kwa pamoja kutetea Nchi yetu,Tanganyika yetu na Rasilimali zetu.
  4. Huu ni wito wangu Binafsi,Na mimi Tayari hapa nilipo ninajiandaa kwenda Dodoma kwa ajili ya Kuanza Maandamano Ampapo natarajia kufika Dodoma Tarehe 16 August.Nitaanza Maandamano hayo kutokea Dar es Salaam.Kwa yeyote ambaye yuko Tayari kushiriki anzia Popote Pale Ulipo Tukutane Dodoma Kuanzia Tarehe 16 August.
Karibuni kwa Mjadala zaidi.

Tunataka Tanhanyika yetu na tunataka Serikali isikie sauti ya Wananchi.
Kitendo cha vyombo vya dola kuanza kukamata wanaoonesha njia kuhusu uporaji wa rasilimali za wanannchi wanachochea zaidi imani hasi dhidi ya serikali na kutumia mabavu ya polisi hautasaidia
 
Back
Top Bottom