10 August 2023
Mbeya, Tanzania
Dkt. Tulia - "Waliokwenda Mahakamani, Walikwenda Kupuyanga"
Spika wa bunge Dr. Tulia Ackson watu leo wameangushiwa kitu kizito mahakamani wameanguka chali .
Spika Tulia Ackson awasomea sehemu ya hukumu kupitia kifaa mpakato cha tabuleti huku akifafanua ktk lugha ya kiswahili kwa upeo na mtizamo wake maneno katika hukumu iliyoandikwa kwa lugha ya English ..... Suffice to state,
here and now, that the petitioners' interpretation of the provision is outrightly off the mark, if not far-fetched.
Spika Dr. Tulia Ackson anakwenda kunukuu zaidi hukumu ya Mahakama Kuu ... In the whole, we find that the invocation of Article 28 (1) and (3) of the URT Constitution as a testimony of erosion of sovereignty is utterly erroneous, as issues of sovereignty under the provision are limited to defence and security. We resist the temptation of stretching the import of the said provision to cover matters of trade and investment as Mr. Ngalimitumba sought to impress....
Spika Tulia ashutumu njia ya maandamano kupiga mkataba kwani wataishia kuvunjwa miguu ... Mahakama Kuu hii ni ya kikatiba au kwa maneno mengine yaliyonyooka ni Mahakama ya Katiba hivyo tafsiri ya leo katika hukumu kuhusu ni mkataba au makubaliano tumeipata asisitiza Spika Tulia kuwa ni makubaliano kama ilivyosomeka ktk hukumu ya mahakama kuu leo ...
Mbeya, Tanzania
Dkt. Tulia - "Waliokwenda Mahakamani, Walikwenda Kupuyanga"
Spika wa bunge Dr. Tulia Ackson watu leo wameangushiwa kitu kizito mahakamani wameanguka chali .
Spika Tulia Ackson awasomea sehemu ya hukumu kupitia kifaa mpakato cha tabuleti huku akifafanua ktk lugha ya kiswahili kwa upeo na mtizamo wake maneno katika hukumu iliyoandikwa kwa lugha ya English ..... Suffice to state,
here and now, that the petitioners' interpretation of the provision is outrightly off the mark, if not far-fetched.
Spika Dr. Tulia Ackson anakwenda kunukuu zaidi hukumu ya Mahakama Kuu ... In the whole, we find that the invocation of Article 28 (1) and (3) of the URT Constitution as a testimony of erosion of sovereignty is utterly erroneous, as issues of sovereignty under the provision are limited to defence and security. We resist the temptation of stretching the import of the said provision to cover matters of trade and investment as Mr. Ngalimitumba sought to impress....
Spika Tulia ashutumu njia ya maandamano kupiga mkataba kwani wataishia kuvunjwa miguu ... Mahakama Kuu hii ni ya kikatiba au kwa maneno mengine yaliyonyooka ni Mahakama ya Katiba hivyo tafsiri ya leo katika hukumu kuhusu ni mkataba au makubaliano tumeipata asisitiza Spika Tulia kuwa ni makubaliano kama ilivyosomeka ktk hukumu ya mahakama kuu leo ...