Damaso
JF-Expert Member
- Jul 18, 2018
- 3,978
- 6,739
8.2.2025 pale kwa Tata Madiba, Zero Brainer alishinda TUZO ya mtengeneza maudhui bora ya michezo wa mwaka kutoka TIKTOK.
Tuzo hii ililipa TAIFA la Tanzania heshima kubwa sana, alikuwa anashindana na watu wakubwa kutoka mataifa mbali mbali duniani.
Maudhui yake Zero brainer ndio mtanzania anaeongoza kufuatiliwa TANZANIA na kamzidi Followers msanii mkubwa EAST AFRICA Diamond platnumz pale Tiktok kwa kuwa na wafuasi zaidi ya 13.2M mpaka sasa.
Huko instagram jamaa ana wafuasi zaidi ya 2.7M na ndio mtengeneza MAUDHUI mwenye wafuasi wengi kuliko wote wanaolilia tuzo unaowajua wewe hapa TANZANIA.
Huko youtube jamaa ana subscribers 2.33M hakuna hata KICHAA mmoja kati ya hao wanaolilia TUZO anaemgusa kwa subscribers.
Content zake hazina UCHAWA, hazina sijui Mama kafanya nini ama Mama amefanya kitu fulani, yeye anakula jezi ambayo inaonyesha kuwa ni mtanzania, mazingira ya Africa kabisa basi (simple and original).
Huyu jana ilibidi atambuliwe kwenye jukwaa lile lile lililojaa MACHAWA kwasababu aliletea TAIFA heshima. Ila kwakuwa tuna CHAWA NA WALAMBA VIATU wengi hakuna hata mwaliko aliopewa wala media yoyote kumzunguza.
Ukiongea ukweli huyu Zero Brainer ana mashabiki wengi wanaofuatilia content zake, na anafuatiliwa na watu wengi sana na namba zinaongea. Yeye kutotaka kutambulika jana kwa kulipa heshima taifa wala lisimuumize kwani watanzania tunaelewa kuwa yeye sio mmoja wa vipenzi vya Mama kwa sababu haoneshi uchawa.
Zero Brainer endelea kufurahisha dunia na maudhui yako ambayo hayana HARUFU ZA UCHAWA NA WALA KULAMBA MIGUU WATU. Naamini unatengeneza pesa nyingi sana, na utaendelea kutengeneza nyingi zaidi kwasababu upo kibunifu na sio KICHAWA.
Hao watoto wa mama wanaolilia TUZO kisa vipesa vya mboga za majani wacha waendelee kutumika kama BIG G kwenye kampeni, baada ya 2025 kuna NJAA kubwa inakuja kwenye maisha yao hawataamini macho yao.
Stay OG zero brainer 🫡 Stay Strong Captain 💪🏾
Tuzo hii ililipa TAIFA la Tanzania heshima kubwa sana, alikuwa anashindana na watu wakubwa kutoka mataifa mbali mbali duniani.
Maudhui yake Zero brainer ndio mtanzania anaeongoza kufuatiliwa TANZANIA na kamzidi Followers msanii mkubwa EAST AFRICA Diamond platnumz pale Tiktok kwa kuwa na wafuasi zaidi ya 13.2M mpaka sasa.
Huko instagram jamaa ana wafuasi zaidi ya 2.7M na ndio mtengeneza MAUDHUI mwenye wafuasi wengi kuliko wote wanaolilia tuzo unaowajua wewe hapa TANZANIA.
Huko youtube jamaa ana subscribers 2.33M hakuna hata KICHAA mmoja kati ya hao wanaolilia TUZO anaemgusa kwa subscribers.
Content zake hazina UCHAWA, hazina sijui Mama kafanya nini ama Mama amefanya kitu fulani, yeye anakula jezi ambayo inaonyesha kuwa ni mtanzania, mazingira ya Africa kabisa basi (simple and original).
Huyu jana ilibidi atambuliwe kwenye jukwaa lile lile lililojaa MACHAWA kwasababu aliletea TAIFA heshima. Ila kwakuwa tuna CHAWA NA WALAMBA VIATU wengi hakuna hata mwaliko aliopewa wala media yoyote kumzunguza.
Ukiongea ukweli huyu Zero Brainer ana mashabiki wengi wanaofuatilia content zake, na anafuatiliwa na watu wengi sana na namba zinaongea. Yeye kutotaka kutambulika jana kwa kulipa heshima taifa wala lisimuumize kwani watanzania tunaelewa kuwa yeye sio mmoja wa vipenzi vya Mama kwa sababu haoneshi uchawa.
Zero Brainer endelea kufurahisha dunia na maudhui yako ambayo hayana HARUFU ZA UCHAWA NA WALA KULAMBA MIGUU WATU. Naamini unatengeneza pesa nyingi sana, na utaendelea kutengeneza nyingi zaidi kwasababu upo kibunifu na sio KICHAWA.
Hao watoto wa mama wanaolilia TUZO kisa vipesa vya mboga za majani wacha waendelee kutumika kama BIG G kwenye kampeni, baada ya 2025 kuna NJAA kubwa inakuja kwenye maisha yao hawataamini macho yao.
Stay OG zero brainer 🫡 Stay Strong Captain 💪🏾