Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Msukuma Nini wewe?!!!88 imehamishwa?.wagogo sio watu wa kuwaonea huruma
khaaaa khaa khaaaaaa!!!Pale nauli haizidi 50,000 kama umepanda Luxury bus ila kama ni Ordinary basi ni 39,000.
Safari njema.
Niombe radhi siwezi kuwa kabila la hovyo hiloMsukuma Nini wewe?!!!
Wakuu naomba kufahamu nauli ya Kutoka Stendi kuu ya Mabasi Dodoma kwenda Ihumwa (Mji Mpya)
Ni shilingi ngapi?
Na pia nahitaji kujua Umbali wake.
Tafadhali sana nahitaji msaada wenu wakuu.
Ni shilingi 700 tu ,kutoka Dom mjini mpk ihumwa na haizidi km 25Wakuu naomba kufahamu nauli ya Kutoka Stendi kuu ya Mabasi Dodoma kwenda Ihumwa (Mji Mpya)
Ni shilingi ngapi?
Na pia nahitaji kujua Umbali wake.
Tafadhali sana nahitaji msaada wenu wakuu.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji119]Pale nauli haizidi 50,000 kama umepanda Luxury bus ila kama ni Ordinary basi ni 39,000.
Safari njema.
Ni shilingi 700/= from dom mjini kwenda IhumwaWakuu naomba kufahamu nauli ya Kutoka Stendi kuu ya Mabasi Dodoma kwenda Ihumwa (Mji Mpya)
Ni shilingi ngapi?
Na pia nahitaji kujua Umbali wake.
Tafadhali sana nahitaji msaada wenu wakuu.
Na wewe umeyajibu kitoto kabisa!Maswali ya kitoto kabisa...
Sent using Jamii Forums mobile app