Mbao za Mawe
JF-Expert Member
- May 11, 2015
- 23,372
- 54,943
Umejuaje ni utani ile hali hujui nauli?
Mkuu huu utani hapa si mahala pake
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu huu utani hapa si mahala pake
Jambo la kheri,, kila lakheri mkuuNashukuru sana mkuu.
Kwa sasa nipo Morogoro mjini hapa nata niende Ihumwa nikatafute kazi huko nasikia kuna fursa nyingi huko za ajira.
Sawa mkuu,Jambo la kheri,, kila lakheri mkuu
Tutakua majirani tu kwa wakazi wa dodoma
Sent using Jamii Forums mobile app
mbona unapotosha? ni nani amekwambia Stand ya Mabasi inahamia Ihumwa?Mkuu huu utani hapa si mahala pake
Hakuna haja yakufika nanenane stand, waambie wakushushie Ihumwa jeshini, Project ipo opposite na jeshiNashukuru sana mkuu.
Kwa sasa nipo Morogoro mjini hapa nata niende Ihumwa nikatafute kazi huko nasikia kuna fursa nyingi huko za ajira.
Niombe radhi siwezi kuwa kabila la hovyo hilo
sasa ihumwa kuna kazi gani za maana mkuu?Nashukuru sana mkuu.
Nataka nikatafute kazi huko mkuu
Acha kusumbua watu wapigie simu Sumatra Dodoma kwa no 0754378037.....,Mkuu hujalazimishwa kujibu
Biashara ya mbuzi na ubuyu....sasa ihumwa kuna kazi gani za maana mkuu?
Heading ya Uzi wako ingesomeka Nauli ya kutoka Stendi ya Mabasi Nanenane kuelekea IhumwaMkuu hujalazimishwa kujibu
Sawa mkuu.mbona unapotosha? ni nani amekwambia Stand ya Mabasi inahamia Ihumwa?
Standa ya Mabasi ipo Nzuguni ilipohamia kutoka Mjini Dodoma ni kilomita km 7 na nauli ni sh 400/= tu
haiona tofauti na Stand ya Ubungo au Mbezi huko Dar au Msamvu Morogoro umbali kutoka mjini Moro
Ihumwa ni mahali patakapokuwa stand ya mwendokasi Standard gauge kazi zimeanza katafute pale
Unajikomba kwa jiwe ili akuteue siwezi kuwa kabila la wajingahuna akili kabila la ovyo ni lako sio wasukuma wala hutaweza kuwa msukuma wewe kwa msukuma huna dhamani
Sent from my iPhone using JamiiForums
Apia...