TUJITEGEMEE
JF-Expert Member
- Nov 6, 2010
- 25,225
- 25,488
Salaamu Wakuu: Nawasalimu kwa Jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,
Sote tuitikie: Kazi Iendelee!
Moja kwa moja kwenye mada.
Mbali na utaratibu mzuri walionao uongozi wa stendi wa kuwaelekeza utaratibu wa hapo stendi wasafiri wanaotumia eneo hilo wakati wa alfajiri; bado Bwana Afya anayekagua masuala ya usafi eneo hilo ameshindwa kutekeleza wajibu wake.
Vyoo vya abiria stendini hapo ni vichafu kupindukia! Ajipime muhusika huyo vile vile na uongozi ujitafakari juu ya kwa nini wanakusanya ushuru wa kutumia vyoo hivyo lakini bado wanaacha vyoo katika Hali Ile!
Ujumbe huu uwafikie Bwana Afya anayehudumia maeneo ya stendi ya Kaliua- na uongozi wa stendi hiyo!
N.B: Ujumbe huu pia uwafikie baadhi ya wale wanaohudumia vivuko mfano pale Jijini Mwanza!
Hapa natimiza wajibu kwani nipo katika kutekeleza mikakati ya kumshida adui tuliyetangaziwa awamu ya kwanza anayeitwa "Maradhi" ambaye hutumia mamuluki wake uchafu.
Karibuni kwenye mikakati ya namna hii.
Natanguliza Shukrani.
Sote tuitikie: Kazi Iendelee!
Moja kwa moja kwenye mada.
Mbali na utaratibu mzuri walionao uongozi wa stendi wa kuwaelekeza utaratibu wa hapo stendi wasafiri wanaotumia eneo hilo wakati wa alfajiri; bado Bwana Afya anayekagua masuala ya usafi eneo hilo ameshindwa kutekeleza wajibu wake.
Vyoo vya abiria stendini hapo ni vichafu kupindukia! Ajipime muhusika huyo vile vile na uongozi ujitafakari juu ya kwa nini wanakusanya ushuru wa kutumia vyoo hivyo lakini bado wanaacha vyoo katika Hali Ile!
Ujumbe huu uwafikie Bwana Afya anayehudumia maeneo ya stendi ya Kaliua- na uongozi wa stendi hiyo!
N.B: Ujumbe huu pia uwafikie baadhi ya wale wanaohudumia vivuko mfano pale Jijini Mwanza!
Hapa natimiza wajibu kwani nipo katika kutekeleza mikakati ya kumshida adui tuliyetangaziwa awamu ya kwanza anayeitwa "Maradhi" ambaye hutumia mamuluki wake uchafu.
Karibuni kwenye mikakati ya namna hii.
Natanguliza Shukrani.