SI KWELI Stendi ya Mabasi ya Magufuli (Mbezi Luis) Imebadilishwa Jina

Baada ya kuitathmini taarifa hii, tumebaini kuwa si ya kweli.
Ni Sio kubadilisha jina haitoshi wavunje madaraja wafukie mabwawa wang'oe reli wazamishe vivuko meli wauze ndege bado atakumbukwa kwa moyo wake wa kizalendo na kuipigania nchi na wananchi dhidi ya wala rushwa na mafisadi!
 
wananchi dhidi ya wala rushwa na mafisadi!
Heee kweli? Vipi pesa za plea bargain mbona hazikufika hazina?

Vipi ripoti ya wezi wa mali za CCM ikafichwa na hakuna aliyewekwa ndani?

Takukuru waliambiwa wachunguze watoa rushwa kampeni ccm mbona sikuona aliyekamatwa?

Ripoti ya makinikia kuna mafisadi walitajwa mbona sijaona aliyewekwa selo?

Vipi mwanyika kesi ya Billion 2 mkampa ubunge bado?

Nitajie mahakama ya mafisadi iliwahi mfunga nani kwa kumkuta na hatia?

JPM alikua na wafuasi wajinga sana, mnadanganywa na maneno wakati matendo tofauti.
 
Bora waliondoe maana yule hakuwa binadamu bali shetani muuaji akishirikiana na jambazi Makonda
 
Utaumia hadi upasuke.

Marehemu kawang'ang'ania hatari
 
Bora waliondoe maana yule hakuwa binadamu bali shetani muuaji akishirikiana na jambazi Makonda
 
Mwambie muhudumu akuongeze hiyo tembo unayo kunywa ili uzidi kulewa halafu utaongea vyema
 
Sasa mkuu mama yetu Tanganyika kabadilishwa jina kutoka December 9 Tanganyika kwenda December 9 Tanzania Bara hukuwa miongoni mwa walalamikaji,lkn hili sijui la stand tu ya stool umekuja mbiombio ili iweje?
 
Vilaza FC inaundwa na Mbowe form four failure, Msigwa babantilie la Tatu aliyeacha shule, Lema mwizi wa magari form two failure,sugu bwana mitepesho matakoni la 3D failure alizungusha Hisabati na masomo ya akapata wastani wa F
Wewe ni zero brain kweli. Kwenye ukoo wenu hakuna hata mmiliki wa pikipiki wakati wenzako walikuwa wakimiliki magari. Utaachaje kusema mwizi wa magari?? Wewe shukuru free WiFi huku usingeweza kuingia.
 
Vilaza FC inaundwa na Mbowe form four failure, Msigwa babantilie la Tatu aliyeacha shule, Lema mwizi wa magari form two failure,sugu bwana mitepesho matakoni la 3D failure alizungusha Hisabati na masomo ya akapata wastani wa F
Mkuu hawa watu uliowataja wamehusika vipi na mabadiliko ya nayo semwa na mtoa mada?? Punguza chuki mkuu, utaumia bure!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…