Stendi ya Magufuli imefanya watu wa mikoani wengi kudhani Mbezi Luis ndio City Centre ya DSM na kuleta dharau

Stendi ya Magufuli imefanya watu wa mikoani wengi kudhani Mbezi Luis ndio City Centre ya DSM na kuleta dharau

Majiji ya Tanzania hayana mvuto na ni machafu sana sababu mpangilio wake ni sifuri
 
Actually,to be sincerely honest in my humble opinion,without being sentimental and of course without offending anyone who thinks differently from my point of view, and without hiding any thoughts in my mind, and without lies to the actual truth, with my clear open mind and clean heart,expressing whatever is embedded inside me for a long time which I didn't say because I was nervous. But today, by gathering all the courage and motivation, I just want to say that I actually feel and think that I have absolutely nothing to say. Thank you!
Huku ndio kuongea sana bila kusema chochote!
 
Muhimu, mtu anataka kwenda Bronx kutoka Brooklyn anajikuta kaingia daraja tofauti katokea Jones Beach.

Halafu gari limeisha mafuta na usiku unaingia, hana hela, simu inaisha chaji, halafu hamjui mtu huko.
Kwani huko New york hakuna vidumu? Na mitandao yenu ya simu hakuna nipige tafu, songesha na niwezeshe?
 
Kwani huko New york hakuna vidumu? Na mitandao yenu ya simu hakuna nipige tafu, songesha na niwezeshe?
Vidumu tena new york,kule mafuta ni bei rahisi na unajisevia mwenyewe station,kukuta gari cc4500 kawaida,hiyo gari ukileta hukuni kilio
 
Kipindi niko mdogo stendi ya kwenda mikoani kutokea Dar ilikuwa Kisutu na nyingine ilikuwa Mnazi mmoja

Ni mpaka early 90s meya au mkurugenzi wa Jiji Bwana Keenja slipoihamishia Ubungo,jamaa alikuwa mbunifu sana.

John Pombe Magufuli akaisogeza mbezi Luis

Hii imepekekea wamikoani wengi wakidhani mbezi ndio City centre,niliwahi kuleta uzi humu jinsi nilivyompoteza ndugu yangu mitaa ya Congo Kariakoo baada ya kuliponda jiji letu, yule bwana alitembea kwa miguu kutoka kariakoo mpaka mbezi malamba mawili maana hakuwa na nauli, kuanzia siku hiyo akawa mpole.

Ni kama Morogoro Town hufanya watu wadhani pale Msamvu ndio city center,bila kujua mji uko ndani huko,zamani miaka ya 70 barabara ilikuwa ikipita katikati ya mji wa Morogoro

Hivi unajua jiji la Dar ed Salaam huenda linazidi jiji la Detroit nchini marekani kwa mambo mengi?najua kuna watu watabisha,nimefika Detroit na naijua Dar tofauti kama ipo ni kidogo sana.

Niliwahi kufika Kinshasa nikashangaa mji unaanzia kama posta mpaka Kibaha ni mji tu. Kinshasa ni kubwa zaidi ya mara tatu ya Dar Es salaam kwa size na population, nadhani wako milioni 17 kwa anayesikia habari za waasi wa Congo anaweza kudhani Congo yote ni magofu.

Naomba tuupe heshima jiji letu la DSM kama hulijui omba utembezwe,au kama umefikia Kitunda au Chanika,bado hujalijua jiji.

Hapo kariakoo tu uwe umezaliwa Dar au umeletwa na mwenge lazima kuna siku uliwahi kupotea.

Miji na majiji yote ya Tanzania nimeyatembelea Dodoma after 15 year atleast wanaweza kuanza kuleta battle za kujishindanisha na Dar, mikoa mingine subirini kwanza miaka 60 ijayo

Kipindi tunapata uhuru Tanga ilikuwa nambari mbili after Dar,miaka 60 mbele iko nyuma sana
Mbezi ndio Dar Bwana

Cc kapeace
 
Sisi wa kuja tunasema
Pale Magufuli ndio jiji lenyewe sasa.

Umeiponda Mbezi kwa kuilinganisha na Kariakooo...
Kariakoo ni sehemu iliyo na miundombinu mibovu,kumebanana hovyo.
Heri ungesema Mikocheni ndio Dsm.
 
Watu wa Dar akili za shamba, inakuwaje Konde anakuja kutoboa Dullayo anakula chupa tu?
Hata huko shamba kuna watu wametoka mjini wanalima wanapiga hela na kuwageuza wanakijiji vibarua,kawaida tu,konde boy alishikwa mkono na mtoto wa tandale,kondeboy hela zake zinaluwa na watoto wa mjini
 
Sisi wa kuja tunasema
Pale Magufuli ndio jiji lenyewe sasa.

Umeiponda Mbezi kwa kuilinganisha na Kariakooo...
Kariakoo ni sehemu iliyo na miundombinu mibovu,kumebanana hovyo.
Heri ungesema Mikocheni ndio Dsm.
Unaona , eti kumebanana,kariakoo sio mji,mji upo posta,kariakoo ni kitongoji cha biashara sasa ulitaka maduka yakae mbalimbali,kariakoo imepimwa na mkoloni iko poa
 
Long town Sana mkuu enzi za born ciy bus services, Wangapi hapa wamepanda gari kisutu kwenda mkoa
 
Kipindi niko mdogo stendi ya kwenda mikoani kutokea Dar ilikuwa Kisutu na nyingine ilikuwa Mnazi mmoja

Ni mpaka early 90s meya au mkurugenzi wa Jiji Bwana Keenja slipoihamishia Ubungo,jamaa alikuwa mbunifu sana.

John Pombe Magufuli akaisogeza mbezi Luis

Hii imepekekea wamikoani wengi wakidhani mbezi ndio City centre,niliwahi kuleta uzi humu jinsi nilivyompoteza ndugu yangu mitaa ya Congo Kariakoo baada ya kuliponda jiji letu, yule bwana alitembea kwa miguu kutoka kariakoo mpaka mbezi malamba mawili maana hakuwa na nauli, kuanzia siku hiyo akawa mpole.

Ni kama Morogoro Town hufanya watu wadhani pale Msamvu ndio city center,bila kujua mji uko ndani huko,zamani miaka ya 70 barabara ilikuwa ikipita katikati ya mji wa Morogoro

Hivi unajua jiji la Dar ed Salaam huenda linazidi jiji la Detroit nchini marekani kwa mambo mengi?najua kuna watu watabisha,nimefika Detroit na naijua Dar tofauti kama ipo ni kidogo sana.

Niliwahi kufika Kinshasa nikashangaa mji unaanzia kama posta mpaka Kibaha ni mji tu. Kinshasa ni kubwa zaidi ya mara tatu ya Dar Es salaam kwa size na population, nadhani wako milioni 17 kwa anayesikia habari za waasi wa Congo anaweza kudhani Congo yote ni magofu.

Naomba tuupe heshima jiji letu la DSM kama hulijui omba utembezwe,au kama umefikia Kitunda au Chanika,bado hujalijua jiji.

Hapo kariakoo tu uwe umezaliwa Dar au umeletwa na mwenge lazima kuna siku uliwahi kupotea.

Miji na majiji yote ya Tanzania nimeyatembelea Dodoma after 15 year atleast wanaweza kuanza kuleta battle za kujishindanisha na Dar, mikoa mingine subirini kwanza miaka 60 ijayo

Kipindi tunapata uhuru Tanga ilikuwa nambari mbili after Dar,miaka 60 mbele iko nyuma sana
Mji unanuka maji taka huo mkuu, acha kutisha wangu
 
Hata huko shamba kuna watu wametoka mjini wanalima wanapiga hela na kuwageuza wanakijiji vibarua,kawaida tu,konde boy alishikwa mkono na mtoto wa tandale,kondeboy hela zake zinaluwa na watoto wa mjini
Sawa ndo mshinde kwenye maduka ya simu na nguo bila kazi mmevaa viboxer mapaja yote wazi kutwa mkilamba lips...?
 
Back
Top Bottom